Saikolojia: Ishara zinazoonesha wewe ni handsome/una mvuto wa kiume tofauti unavyodhani

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi huyo shoga kuna sehemu hayupo vizuri, yaan anakwama wapi had kumsumbua mdogo wako.
Wewe acha tu mimi pia najiuliza swali hilihili dogo mwenyewe mwanafunzi
 
Tumeshajua ww ni mzuri hivyo lipia tangazo
 
Kwa kuwa huu uzi unaongelea sana saikolojia,bahati mbaya nimejikuta mwana saikolojia kuamini wewe ni BWABWA [emoji817].
 
[emoji28][emoji28][emoji28] na mm nmoooo
 
1:-.........

2:-.........

3:-........

4:-........

5:-.......

Jazeni nafasi zilizoachwa wazi, Kila swali moja maksi 20
 
Inawezekana ww n mmoja wapo maana unawajulia sana
 
aiseee...yaani unatongozwa hivi hivi
 
kwa hiyo ukimkataa inakuwa beef?
 
Suala la ushoga ni gumu. Top kumfuata bottom na ikiwa sio ataonekana amedharau, bottom kumfuata Top ni simple hata ikiwa mtu hayuko interested haiharibu sana

Bottom wa kwanza niliyemla alinifuata yeye... Mimi kama Top huwa naogopa kumtongoza mwanaume kwa sababu kuna ambao huwa masharobaro na sio bottoms, so mitandao inasaidia kukutana ambako huwa sio kwa heshima kivile

The fact is mahusiano ya jinsia moja ni changamoto kwa Afrika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…