Kwa ufupi kwamba nguo fupi na zakuabana ,modal najinsi zenu za.kibongo flava usije nazo sauti.Duuh hiyo imekaaje mkuu hebu nifafanulie
Kabisa yaani.....umemaliza mwaka gani mkuu?Hata Mimi nashangaa wakati wetu tulikuwa tunazama tuu M13, M11, M12, M9
Hivi ile ilikuwaga na viti vya mbao ndio ilikuwa M ngapi vile?Mie M13 ilikuwa inanichanganya sanaaa
M10Hivi ile ilikuwaga na viti vya mbao ndio ilikuwa M ngapi vile?
mwaka kama wako, Graduu mgeni rasmi Mark MwandosyaHahaha kweli PR wauza sura.....ulimaliza mwaka gani?
Dah nimepamiss sana SAUT
PR mbwembwe hahah nakumbuka mashindano ya FAWASCO PR na Sociology walikuwa na mbwembwe nyingi Sana sie father Maziku alitueleza tuache mbwembwe nyingi tucheze mpira tukashika nafasi ya pilimwaka kama wako, Graduu mgeni rasmi Mark Mwandosya