Ushauri mzuri sn watampangia tu muda wa kwenda huko radio sautNenda kasome mm nimemaliza Saut mwanza public relations and marketing French ni lazima, utasoma uchumi kidogo utasoma photo jornalism. Angalizo jitahidi uwe unaenda radio Saut ujiongezee nafasi ya kufanya kazi redioni kama presenter mbali na kuwa Radio program manager.
Ile mechi mlienda ukerewe kuturoga kwanza mpira wetu ukapotea kabisa, hata jezi za wadhamini nafikiri walikuwa tigo mligoma kuvaaFr. Maziku na makeke yake yote kipindi hicho ndio bado mgeni mwaka 2009 alitengeneza team yake ha Eduche bhana weee...
Fainaili(Fawasco) tukakutana Eduche Vs Baso hapakutosha kabisaaa. Ulipigwa mpira mmoja wa hatari haijatokeaga. Ila mwisho wa siku Fr Maziku na team yake (Eduche) walikalishwa Baso tukabeba ndoo yetu.
Sub woofer namkumbuka vzr mduma Geography teacherNimecheka sana, sijui kama Muduma bado yupo pale? Maana nakumbuka alimzingua dogo mmoja alikosea chumba cha mtihani akawa anayosha mkono ili atoke nje mduma anakataa, dogo ikabidi aanze kulia
Walituroga hawa hawakuwa watu wazuri, kitima kaweka million 9 nakombe mezani kwanini wasiende kwa babu ukereweIle mechi mlienda ukerewe kuturoga kwanza mpira wetu ukapotea kabisa, hata jezi za wadhamini nafikiri walikuwa tigo mligoma kuvaa
Nakumbuka kuna sista mmoja mvaa kilemba kabisa hadi alianguka baada ya mechi kuisha, hata kula, hatukula na kusoma prepo hatukwenda ilibidi tulale mapema tu, kule darfu kukapoa sana, duuuuWalituroga hawa hawakuwa watu wazuri, kitima kaweka million 9 nakombe mezani kwanini wasiende kwa babu ukerewe
Hakuna aliyeenda ukerewe mkuu ni ufundi tu wa mguuni. Baso tulikuwa na mafundi wa kuchezea mpira.Ile mechi mlienda ukerewe kuturoga kwanza mpira wetu ukapotea kabisa, hata jezi za wadhamini nafikiri walikuwa tigo mligoma kuvaa
Student Management Information System (SMIS) kupitia https://smis.saut.ac.tz inapatikana hata kwa simu ya mkononi kwa waliosajiliwa tu. Huduma unazoweza kupata:-Hebu ifafanue kidogo mkuu nami nipate uzoefu ni kupitia simu yako ya mkononi tuu?
Mkuu nipe lonja kidogo huko patamuArusha campus mkuje huku kama mpo. Nakubali hiki chuo wako vizuri
Duuuh Darful ilikuwa ya wagumu sana enzi hizoo hahahTumepiga sana Lampard pale darfull,sasa kama mademu wameletwa hapo karibu,poleni sana vijana! Sasa mtakua mnaoga mara tatu kwa siku,utuli wakufa mtu,mavazi mnabadili Mara tatu kwa siku! Enzi zetu tulikua tunanukia marashi ya guchi tu,kidume naoga Mara moja tu kwa siku! Morning to morning
Ili nijisajili kupata password na user name nafanyaje mkuuStudent Management Information System (SMIS) kupitia https://smis.saut.ac.tz inapatikana hata kwa simu ya mkononi kwa waliosajiliwa tu. Huduma unazoweza kupata:-
1. Taarifa zako za kifedha/malipo/madai n.k
2. Taarifa za coursework na mchanganuo wake kama vile marks zaTests, QUIZ, assignments, Presentation n.k; kwa kila somo
3. Matokeo ya mitihani yote kama ilivyokuwa SARIS
4. Exam number/ID inaonekana kupitia SMIS baada ya kukidhi vigezo vya UE kwa kumaliza malipo ya ada.
5. Ratiba yoyote utaipata smis kadilli utakavyo; mfano ratiba ya Mwalimu mmoja mmoja, ratiba ya venue moja moja; ratiba za masomo mbalimbali, ratiba za mitihani mbalimbali na yote haya ni PDF downloadable
6. Unaweza tuma na/au kupokea sms kwa lecturer(s) kupitia smis
7. Matangazo mbalimbali yanayowahusu wanajumuia wa SAUT pekee yanapitia SMIS
Nipo na-screenshot baadhi ya mambo ujionee
Ni kuwa mwanachuo wa SAUT kwa ngazi yoyote ile (Cert - Ph.D) kuanzia mwaka wa masomo 2015/2016 na kuendeleaIli nijisajili kupata password na user name nafanyaje mkuu