Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mkuu
Mkuu kwa data gani inayo onyesha hivyo?Mwaka huu hiki chuo kimekosa wanafunzi kabisa.
Mkuu kwa data gani inayo onyesha hivyo?
Nimeangalia data hizo za chuo sioni kama wamekosa kabisa kama ulivyo andika.Data za tcu na chuo
Nimeangalia data hizo za chuo sioni kama wamekosa kabisa kama ulivyo andika.
Wapi nimeandika wamekosa? Nimeandika wamepata wanafunzi wachache tofauti na miaka ya uko nyuma.
ada na compasary charge vipojeMuda wa kuripoti au?
Tuition fee + administrative fee=1,551,000ada na compasary charge vipoje
Shida ya Saut ndo hapo why wana wa force watu walipe bima laki moja ilihali hata bima hawagawiTuition fee + administrative fee=1,551,000
Kitapata wanafunzi elf 33 wametemwa waliochaguliwa awamu ya kwanza ni elf 44 tuData za tcu na chuo
Duu hapo sasa wiziShida ya Saut ndo hapo why wana wa force watu walipe bima laki moja ilihali hata bima hawagawi
Engineering courses 1.7mHii ni ada ya nini?
Sijaelewa kiongozi fafanua tenaKitapata wanafunzi elf 33 wametemwa waliochaguliwa awamu ya kwanza ni elf 44 tu
Kwa wwnzetu wasabato kwa jumamosi huwa hawasumbuliw kuingia kweny vpnd?Dini kivipi mkuu fafanua kidogo
OK huo utaratibu ulizua mgogoro sana hapo Saut kwa maana wasabato waliomba kupatiwa muda wa kuingia ibadani kila jumamosi, na kila jumamosi unakuta tunavipindi lakini VC aliwakatalia kabisa lakini pia Saut UE huwa inafanyika hadi jumamosi aliwakatalia swala la kupatiwa muda wa jumamosi kusali na akawaita M13 na kuwapa maelekezo asiyetaka kufanya mitihani jumamosi atafute ustaarabu mwingine wa chuo, walikuwa ktk changamoto kubwa sana ila iliwalazimu wafanye mitihani tuu.Kwa wwnzetu wasabato kwa jumamosi huwa hawasumbuliw kuingia kweny vpnd?
Umenielewaje ndugu, hebu fafanuaUmumbati sasa nimekuelewa