Waminyato
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,197
- 4,525
uwezo wao ni kubeba wachezaji wa mkopo na waburebure gsm awezi kumwaga hela kwa timu ya hapahapa f.c.Mi nilitaka kushangaa yaani aziz ki aache ku sign simba aende utopolo kumbe ile ilikuwa ni propaganda ya kuombea kura kwa engineer aende yanga team inaheza mechi mbili kimataifa inarudi beach kidimbwi.
timu yangu ya Pyramids tumemtengea bi 1.6 Aziz ki.