Sakata dogo kama hilo la Kariakoo Magufuli angelimaliza kwa kupiga simu moja tu

Sakata dogo kama hilo la Kariakoo Magufuli angelimaliza kwa kupiga simu moja tu

Watz wengi wanajitoa ufahamu mimi sijawai mkumbuka magu katika matatizo yote yanayotokea hspa tz koz yanatatuliwa kabla ya magu watu waliishi vip?
Tunataka strong institutions Katiba bora mpya.
 
Ki sakata ( uchwara ) kidogo cha Kariakoo kimetuonyesha ni kwa namna gani demokrasia inaweza kusababisha usumbufu wa hovyo kwa wananchi!

Hivi ki sakata cha kumalizwa na RC ndiyo kinasumbua watu namna hii?!

Ndugu zangu mambo kama hayo ndiyo yanatufanya tuendelee kumpa Magufuli maua yake! JPM changamoto ndogo kama hiyo ingetatuliwa na simu moja tu yenye suluhisho la kudumu ndaniye huku wale wote waliosababisha wangekuwa wanacheka na wake zao majumbani mwao.

Siyo siri SAKATA HILO CHANZO NI UZEMBE WA MTU WA ELIMU YA MLIPA KODI AMBAYE yupo chini ya Kamishna wa TRA. Sasa hadi mda huu KAMISHNA WA TRA ANABAKI OFISINI KUFANYEJE?!

MAMA PUNGUZA UPOLE BWANA NA WAJIBISHA KUANZIA KAMISHINA HADI MENEJA WA MKOA WA KIKODI WA KARIAKOO MAISHA YAENDELEE KWA SABABU WAWILI HAO ( TRA NA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO ) HAWAAMINIANI TENA.

NI UWENDAWAZIMU DOLA KUSHINDWA KUTATUA KI MGOGORO UCHWARA CHA NAMNA ILE LEO IKIWA NI ZAIDI YA MASAA 40!

Ushauri:

Rais Samia mtume RC Chalamila pale KARIAKOO nyanyua simu mpigie live ukitamka KUMWONDOA MENEJA WA TRA WA MKOA WA KARIAKOO KIKODI VILEVILE WAAMBIE WAFANYABIASHARA WAENDELEE NA BIASHARA ZAO KUPITIA UTARATIBU WA AWALI HADI UTAKAPOTOA MWONGOZO MWINGINE. CASE CLOSED NA MAYOWE KAMA YOTE YATAPIGWA PALE HUKU MADUKA YAKIFUNGULIWA KWA HARAKA!

Mgogoro huo hauwezi kutatulika haraka kisheria. Sasa ili maisha yaendelee ni wajibu wa Rais Samia kuutatua ki siasa ili maisha yaendelee huku utatuzi wa kisheria ukifanyiwa kazi.

JUST LIKE THAT!
Dadake naungana nawe , Magufuli angetatua fasta Tena pengine hata mgomo wenyewe usingetokea
 
Hivi ulivyo mjinga hujui kuwa sakata hili kiini chake ni sheria mbovu iliyopitishwa na bunge haramu lililowekwa na shetani Magufuli kwa uroho wake wa pesa?

Unachotaka kutueleza ni kuwa huyo shetani Magufuli angemaliza sakata hili kwa simu kwa kuvunja sheria?

Haya kalale juu ya kaburi lake kwa kumlilia zaidi!
Naona umemkumbuka aliekua anamkuna mama Yako[emoji1787][emoji1787]
 
Hivi ulivyo mjinga hujui kuwa sakata hili kiini chake ni sheria mbovu iliyopitishwa na bunge haramu lililowekwa na shetani Magufuli kwa uroho wake wa pesa?

Unachotaka kutueleza ni kuwa huyo shetani Magufuli angemaliza sakata hili kwa simu kwa kuvunja sheria?

Haya kalale juu ya kaburi lake kwa kumlilia zaidi!
Maana we ni mtoto wa shetani
 
Ki sakata ( uchwara ) kidogo cha Kariakoo kimetuonyesha ni kwa namna gani demokrasia inaweza kusababisha usumbufu wa hovyo kwa wananchi!

Hivi ki sakata cha kumalizwa na RC ndiyo kinasumbua watu namna hii?!

Ndugu zangu mambo kama hayo ndiyo yanatufanya tuendelee kumpa Magufuli maua yake! JPM changamoto ndogo kama hiyo ingetatuliwa na simu moja tu yenye suluhisho la kudumu ndaniye huku wale wote waliosababisha wangekuwa wanacheka na wake zao majumbani mwao.

Siyo siri SAKATA HILO CHANZO NI UZEMBE WA MTU WA ELIMU YA MLIPA KODI AMBAYE yupo chini ya Kamishna wa TRA. Sasa hadi mda huu KAMISHNA WA TRA ANABAKI OFISINI KUFANYEJE?!

MAMA PUNGUZA UPOLE BWANA NA WAJIBISHA KUANZIA KAMISHINA HADI MENEJA WA MKOA WA KIKODI WA KARIAKOO MAISHA YAENDELEE KWA SABABU WAWILI HAO ( TRA NA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO ) HAWAAMINIANI TENA.

NI UWENDAWAZIMU DOLA KUSHINDWA KUTATUA KI MGOGORO UCHWARA CHA NAMNA ILE LEO IKIWA NI ZAIDI YA MASAA 40!

Ushauri:

Rais Samia mtume RC Chalamila pale KARIAKOO nyanyua simu mpigie live ukitamka KUMWONDOA MENEJA WA TRA WA MKOA WA KARIAKOO KIKODI VILEVILE WAAMBIE WAFANYABIASHARA WAENDELEE NA BIASHARA ZAO KUPITIA UTARATIBU WA AWALI HADI UTAKAPOTOA MWONGOZO MWINGINE. CASE CLOSED NA MAYOWE KAMA YOTE YATAPIGWA PALE HUKU MADUKA YAKIFUNGULIWA KWA HARAKA!

Mgogoro huo hauwezi kutatulika haraka kisheria. Sasa ili maisha yaendelee ni wajibu wa Rais Samia kuutatua ki siasa ili maisha yaendelee huku utatuzi wa kisheria ukifanyiwa kazi.

JUST LIKE THAT!
Sema angewasaka viongozi wa mgomo na msinge waona tena walikopotelea..

Mama ana roho nzuri,imagine PM ameenda kuwaona na Bado eti wamegoma sijui wakifinywa watamlaumu nani na mbaya zaidi kesho Kuna kikao tena na PM.
 
Ki sakata ( uchwara ) kidogo cha Kariakoo kimetuonyesha ni kwa namna gani demokrasia inaweza kusababisha usumbufu wa hovyo kwa wananchi!

Hivi ki sakata cha kumalizwa na RC ndiyo kinasumbua watu namna hii?!

Ndugu zangu mambo kama hayo ndiyo yanatufanya tuendelee kumpa Magufuli maua yake! JPM changamoto ndogo kama hiyo ingetatuliwa na simu moja tu yenye suluhisho la kudumu ndaniye huku wale wote waliosababisha wangekuwa wanacheka na wake zao majumbani mwao.

Siyo siri SAKATA HILO CHANZO NI UZEMBE WA MTU WA ELIMU YA MLIPA KODI AMBAYE yupo chini ya Kamishna wa TRA. Sasa hadi mda huu KAMISHNA WA TRA ANABAKI OFISINI KUFANYEJE?!

MAMA PUNGUZA UPOLE BWANA NA WAJIBISHA KUANZIA KAMISHINA HADI MENEJA WA MKOA WA KIKODI WA KARIAKOO MAISHA YAENDELEE KWA SABABU WAWILI HAO ( TRA NA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO ) HAWAAMINIANI TENA.

NI UWENDAWAZIMU DOLA KUSHINDWA KUTATUA KI MGOGORO UCHWARA CHA NAMNA ILE LEO IKIWA NI ZAIDI YA MASAA 40!

Ushauri:

Rais Samia mtume RC Chalamila pale KARIAKOO nyanyua simu mpigie live ukitamka KUMWONDOA MENEJA WA TRA WA MKOA WA KARIAKOO KIKODI VILEVILE WAAMBIE WAFANYABIASHARA WAENDELEE NA BIASHARA ZAO KUPITIA UTARATIBU WA AWALI HADI UTAKAPOTOA MWONGOZO MWINGINE. CASE CLOSED NA MAYOWE KAMA YOTE YATAPIGWA PALE HUKU MADUKA YAKIFUNGULIWA KWA HARAKA!

Mgogoro huo hauwezi kutatulika haraka kisheria. Sasa ili maisha yaendelee ni wajibu wa Rais Samia kuutatua ki siasa ili maisha yaendelee huku utatuzi wa kisheria ukifanyiwa kazi.

JUST LIKE THAT!
Rule of law vs anarchy state?
 
Mie nadhani hatua za serikali so far ni sahihi. Muhimu ni kuhakikisha walio tayari kuendelea na biashara zao wasitishiwe na wengine.

Wanaogoma waachwe wagome maumivu ya pande mbili, serikali isikubali kutishiwa nyau asietaka afunge biashara.

Halikadhalika hoja za msingi za wafanyabiashara za usumbufu watu kwenda madukani kwao kila siku na kukamata wateja hilo lazima litazamwe.

Kuchunguzana miaka 5 nyuma bila ya sababu za msingi pia sio sahihi, unafanya hivyo pale ambapo umebaini kuna makosa kwanza ya kukwepa kodi mwaka husika kama kuna ushahidi huo; ndio unaweza kuchunguza na nyuma. Lakini hilo sio swala la random testing huo sasa ni usumbufu.

Kuhusu access ya storage hiyo sio hoja, inapobidi kufanya ivyo, iwe ivyo ni halali kabisa kisheria. But then ni kama swala la kurudi nyuma miaka 5 mambo kama hayo ufanyika kwenye tax investigation tu au random checks kuonyesha serikali aijalala lakini sio kila afisa anapojisikia kutaka kuingia store za watu huo sasa unakuwa usumbufu.
Mkuu kulipa kodi ni lazima kama unafanya biashara lkn nahisi wewe sio mfanya biashra kama ni mfanya biashara basi ni nje ya kko..
Ivi ulipie forodha ulipie mzigo ukiwa store, ulipie mzigo ukiwa dukani.. bado una kodi ya pango la store unakodi ya pango la duka.. hujalipa kodi zingine za serikali
 
Mkuu kulipa kodi ni lazima kama unafanya biashara lkn nahisi wewe sio mfanya biashra kama ni mfanya biashara basi ni nje ya kko..
Ivi ulipie forodha ulipie mzigo ukiwa store, ulipie mzigo ukiwa dukani.. bado una kodi ya pango la store unakodi ya pango la duka.. hujalipa kodi zingine za serikali
Viwango vya kodi awapangi TRA bali waziri wa fedha wao wanakusanya tu kwa niaba ya serikali.

Kodi za serikali ni import duty, vat na income tax (hizo ndio TRA zinawahusu) kwenye kuzikusanya.

Hizo zingine ni za halmashauri, port authorities na watu binafsi wanapoweka mizigo.

Sasa kwa utaratibu huo there is enough blame to pass around kuliko kila lawama apewe mtu mmoja.

Upande wa serikali kuu hoja hapo ni CIF na import duty. Ili wafanyabiashara waeleweke wanatakiwa waeleze fair ni kiwango gani cha import duty kwa bidhaa mbali mbali.

Kwa sababu serikali inaweza weka viwango vya import duty vikubwa kwa lengo la ku discourage importation ili kuchochea manunuzi ya home made products.

Iwapo hizo bidhaa ni adimu kiasi kwamba inabidi waagize kuna hoja kama import duty ni kubwa kiasi kwamba inasababisha mzigo usiende. Au kama uzalishaji wa ndani ni mdogo kwa sababu ya gharama za kuanzisha viwanda ni mambo ya kushauriana na serikali kwenye sera rafiki.

The point is malalamiko yao yana angle nyingi kuna hoja za kiuchumi ambazo unataka kusikia na upande wa serikali pia, kuna hoja za halmashauri kujibu on business rates, kuna hoja za bandari kujibu au waziri wa uchukuzi na kuja hoja za business 2 business kujibu kwanini wanatozana hizo fees kubwa kwenye storage.

Either way kama wanalipa income tax hizo business rates zote za halmashauri, port fees, storage fees ni expenses ambazo unaruhusiwa kuzitoa kwenye income tax.

VAT sijaweka kuanzia bandarini kwa sababu kwa mfanyabiashara una claim back, utakiwi kulipa wewe na excise duty kwa wafanyabiashara biashara ya kariakoo aiwahusu unless kama wanaagiza pombe na sigara kutoka nje. Hiyo aipo kwenye nguo wala vyombo vya jikoni wanavyouza kwa wingi.

Wana hoja fulani ambazo serikali inabidi wasikilize au wazijibu na kutolea ufafanuzi sababu ya viwango vyao vya kodi tofauti.

Shida kubwa zaidi ya wafanyabiashara ni kuwa too generic kwenye hoja zenu na kupachika ya uongo ili tu mpate huruma ya jamii hapo ndio mnapokosea; inafikia hatua mnataka kuwaona mpaka hao watunga sera ni mazuzu wasiofahamu kodi tofauti walizotunga wenyewe kwa kupachika pachika yale yaliyopo na ambayo hayapo kwenye kujenga hoja zenu.

Hayo mambo ya kuongeza chumvi yanawaondelea huu seriousness wa malalamiko yenu ili watu wachukue upande wenu kwa sababu kweli ata hizo kodi mnazolipa kuna zingine inabidi viwango viangaliwe given the fact baadhi ya bidhaa hazizalishwi kabisa Tanzania na ni necessary kwa watumiaji ivyo import duty itazamwe au excise duty in some instances.
 
Ki sakata ( uchwara ) kidogo cha Kariakoo kimetuonyesha ni kwa namna gani demokrasia inaweza kusababisha usumbufu wa hovyo kwa wananchi!

Hivi ki sakata cha kumalizwa na RC ndiyo kinasumbua watu namna hii?!

Ndugu zangu mambo kama hayo ndiyo yanatufanya tuendelee kumpa Magufuli maua yake! JPM changamoto ndogo kama hiyo ingetatuliwa na simu moja tu yenye suluhisho la kudumu ndaniye huku wale wote waliosababisha wangekuwa wanacheka na wake zao majumbani mwao.

Siyo siri SAKATA HILO CHANZO NI UZEMBE WA MTU WA ELIMU YA MLIPA KODI AMBAYE yupo chini ya Kamishna wa TRA. Sasa hadi mda huu KAMISHNA WA TRA ANABAKI OFISINI KUFANYEJE?!

MAMA PUNGUZA UPOLE BWANA NA WAJIBISHA KUANZIA KAMISHINA HADI MENEJA WA MKOA WA KIKODI WA KARIAKOO MAISHA YAENDELEE KWA SABABU WAWILI HAO ( TRA NA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO ) HAWAAMINIANI TENA.

NI UWENDAWAZIMU DOLA KUSHINDWA KUTATUA KI MGOGORO UCHWARA CHA NAMNA ILE LEO IKIWA NI ZAIDI YA MASAA 40!

Ushauri:

Rais Samia mtume RC Chalamila pale KARIAKOO nyanyua simu mpigie live ukitamka KUMWONDOA MENEJA WA TRA WA MKOA WA KARIAKOO KIKODI VILEVILE WAAMBIE WAFANYABIASHARA WAENDELEE NA BIASHARA ZAO KUPITIA UTARATIBU WA AWALI HADI UTAKAPOTOA MWONGOZO MWINGINE. CASE CLOSED NA MAYOWE KAMA YOTE YATAPIGWA PALE HUKU MADUKA YAKIFUNGULIWA KWA HARAKA!

Mgogoro huo hauwezi kutatulika haraka kisheria. Sasa ili maisha yaendelee ni wajibu wa Rais Samia kuutatua ki siasa ili maisha yaendelee huku utatuzi wa kisheria ukifanyiwa kazi.

JUST LIKE THAT!
Kalifufueni
 
Ki sakata ( uchwara ) kidogo cha Kariakoo kimetuonyesha ni kwa namna gani demokrasia inaweza kusababisha usumbufu wa hovyo kwa wananchi!

Hivi ki sakata cha kumalizwa na RC ndiyo kinasumbua watu namna hii?!

Ndugu zangu mambo kama hayo ndiyo yanatufanya tuendelee kumpa Magufuli maua yake! JPM changamoto ndogo kama hiyo ingetatuliwa na simu moja tu yenye suluhisho la kudumu ndaniye huku wale wote waliosababisha wangekuwa wanacheka na wake zao majumbani mwao.

Siyo siri SAKATA HILO CHANZO NI UZEMBE WA MTU WA ELIMU YA MLIPA KODI AMBAYE yupo chini ya Kamishna wa TRA. Sasa hadi mda huu KAMISHNA WA TRA ANABAKI OFISINI KUFANYEJE?!

MAMA PUNGUZA UPOLE BWANA NA WAJIBISHA KUANZIA KAMISHINA HADI MENEJA WA MKOA WA KIKODI WA KARIAKOO MAISHA YAENDELEE KWA SABABU WAWILI HAO ( TRA NA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO ) HAWAAMINIANI TENA.

NI UWENDAWAZIMU DOLA KUSHINDWA KUTATUA KI MGOGORO UCHWARA CHA NAMNA ILE LEO IKIWA NI ZAIDI YA MASAA 40!

Ushauri:

Rais Samia mtume RC Chalamila pale KARIAKOO nyanyua simu mpigie live ukitamka KUMWONDOA MENEJA WA TRA WA MKOA WA KARIAKOO KIKODI VILEVILE WAAMBIE WAFANYABIASHARA WAENDELEE NA BIASHARA ZAO KUPITIA UTARATIBU WA AWALI HADI UTAKAPOTOA MWONGOZO MWINGINE. CASE CLOSED NA MAYOWE KAMA YOTE YATAPIGWA PALE HUKU MADUKA YAKIFUNGULIWA KWA HARAKA!

Mgogoro huo hauwezi kutatulika haraka kisheria. Sasa ili maisha yaendelee ni wajibu wa Rais Samia kuutatua ki siasa ili maisha yaendelee huku utatuzi wa kisheria ukifanyiwa kazi.

JUST LIKE THAT!
Ivi Kwa magufuli ilishawai kutokea ivi,
 
Ki sakata ( uchwara ) kidogo cha Kariakoo kimetuonyesha ni kwa namna gani demokrasia inaweza kusababisha usumbufu wa hovyo kwa wananchi!

Hivi ki sakata cha kumalizwa na RC ndiyo kinasumbua watu namna hii?!

Ndugu zangu mambo kama hayo ndiyo yanatufanya tuendelee kumpa Magufuli maua yake! JPM changamoto ndogo kama hiyo ingetatuliwa na simu moja tu yenye suluhisho la kudumu ndaniye huku wale wote waliosababisha wangekuwa wanacheka na wake zao majumbani mwao.

Siyo siri SAKATA HILO CHANZO NI UZEMBE WA MTU WA ELIMU YA MLIPA KODI AMBAYE yupo chini ya Kamishna wa TRA. Sasa hadi mda huu KAMISHNA WA TRA ANABAKI OFISINI KUFANYEJE?!

MAMA PUNGUZA UPOLE BWANA NA WAJIBISHA KUANZIA KAMISHINA HADI MENEJA WA MKOA WA KIKODI WA KARIAKOO MAISHA YAENDELEE KWA SABABU WAWILI HAO ( TRA NA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO ) HAWAAMINIANI TENA.

NI UWENDAWAZIMU DOLA KUSHINDWA KUTATUA KI MGOGORO UCHWARA CHA NAMNA ILE LEO IKIWA NI ZAIDI YA MASAA 40!

Ushauri:

Rais Samia mtume RC Chalamila pale KARIAKOO nyanyua simu mpigie live ukitamka KUMWONDOA MENEJA WA TRA WA MKOA WA KARIAKOO KIKODI VILEVILE WAAMBIE WAFANYABIASHARA WAENDELEE NA BIASHARA ZAO KUPITIA UTARATIBU WA AWALI HADI UTAKAPOTOA MWONGOZO MWINGINE. CASE CLOSED NA MAYOWE KAMA YOTE YATAPIGWA PALE HUKU MADUKA YAKIFUNGULIWA KWA HARAKA!

Mgogoro huo hauwezi kutatulika haraka kisheria. Sasa ili maisha yaendelee ni wajibu wa Rais Samia kuutatua ki siasa ili maisha yaendelee huku utatuzi wa kisheria ukifanyiwa kazi.

JUST LIKE THAT!
Huyo jamaa yako mbona alishakufa ?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Ki sakata ( uchwara ) kidogo cha Kariakoo kimetuonyesha ni kwa namna gani demokrasia inaweza kusababisha usumbufu wa hovyo kwa wananchi!

Hivi ki sakata cha kumalizwa na RC ndiyo kinasumbua watu namna hii?!

Ndugu zangu mambo kama hayo ndiyo yanatufanya tuendelee kumpa Magufuli maua yake! JPM changamoto ndogo kama hiyo ingetatuliwa na simu moja tu yenye suluhisho la kudumu ndaniye huku wale wote waliosababisha wangekuwa wanacheka na wake zao majumbani mwao.

Siyo siri SAKATA HILO CHANZO NI UZEMBE WA MTU WA ELIMU YA MLIPA KODI AMBAYE yupo chini ya Kamishna wa TRA. Sasa hadi mda huu KAMISHNA WA TRA ANABAKI OFISINI KUFANYEJE?!

MAMA PUNGUZA UPOLE BWANA NA WAJIBISHA KUANZIA KAMISHINA HADI MENEJA WA MKOA WA KIKODI WA KARIAKOO MAISHA YAENDELEE KWA SABABU WAWILI HAO ( TRA NA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO ) HAWAAMINIANI TENA.

NI UWENDAWAZIMU DOLA KUSHINDWA KUTATUA KI MGOGORO UCHWARA CHA NAMNA ILE LEO IKIWA NI ZAIDI YA MASAA 40!

Ushauri:

Rais Samia mtume RC Chalamila pale KARIAKOO nyanyua simu mpigie live ukitamka KUMWONDOA MENEJA WA TRA WA MKOA WA KARIAKOO KIKODI VILEVILE WAAMBIE WAFANYABIASHARA WAENDELEE NA BIASHARA ZAO KUPITIA UTARATIBU WA AWALI HADI UTAKAPOTOA MWONGOZO MWINGINE. CASE CLOSED NA MAYOWE KAMA YOTE YATAPIGWA PALE HUKU MADUKA YAKIFUNGULIWA KWA HARAKA!

Mgogoro huo hauwezi kutatulika haraka kisheria. Sasa ili maisha yaendelee ni wajibu wa Rais Samia kuutatua ki siasa ili maisha yaendelee huku utatuzi wa kisheria ukifanyiwa kazi.

JUST LIKE THAT!
RC mgogoro kama huo wa kikodi uliochini ya wizara ya fedha atautatua vipi?hata waziri wa biashara ni ngumu!!ukiwasikia wao hawataki tamko tu hata awe PM wanataka maandishi tena ya RAIS!!Bunge limetunga sheria,rais ameipitisha imeanza kutumika,leo wasimamizi tena TRA,wanayoisimamia wanaonekana wabaya?!!!japo wana sema wana malalamiko mengi,ila hayo yamekuwepo miaka yote,hili jipya la usajiri wa stores ndipo kwenye balaaa!!!Suala la kisheria ukilituliza kisiasa lina madhara yake.Mambo yanayohusu kodi sio ya kucheka na nyani,Rais ni kusema tu sheria iko pale tu,ambaye hawezi kufanya biashara aache wanaoweza,na baada ya wiki tunachukua leseni yetu kwisha!!mbona jana kuna wengibe walikuwa wanataka kufungua boashara ila wanatishwa na wengine?
 
Ki sakata ( uchwara ) kidogo cha Kariakoo kimetuonyesha ni kwa namna gani demokrasia inaweza kusababisha usumbufu wa hovyo kwa wananchi!

Hivi ki sakata cha kumalizwa na RC ndiyo kinasumbua watu namna hii?!

Ndugu zangu mambo kama hayo ndiyo yanatufanya tuendelee kumpa Magufuli maua yake! JPM changamoto ndogo kama hiyo ingetatuliwa na simu moja tu yenye suluhisho la kudumu ndaniye huku wale wote waliosababisha wangekuwa wanacheka na wake zao majumbani mwao.

Siyo siri SAKATA HILO CHANZO NI UZEMBE WA MTU WA ELIMU YA MLIPA KODI AMBAYE yupo chini ya Kamishna wa TRA. Sasa hadi mda huu KAMISHNA WA TRA ANABAKI OFISINI KUFANYEJE?!

MAMA PUNGUZA UPOLE BWANA NA WAJIBISHA KUANZIA KAMISHINA HADI MENEJA WA MKOA WA KIKODI WA KARIAKOO MAISHA YAENDELEE KWA SABABU WAWILI HAO ( TRA NA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO ) HAWAAMINIANI TENA.

NI UWENDAWAZIMU DOLA KUSHINDWA KUTATUA KI MGOGORO UCHWARA CHA NAMNA ILE LEO IKIWA NI ZAIDI YA MASAA 40!

Ushauri:

Rais Samia mtume RC Chalamila pale KARIAKOO nyanyua simu mpigie live ukitamka KUMWONDOA MENEJA WA TRA WA MKOA WA KARIAKOO KIKODI VILEVILE WAAMBIE WAFANYABIASHARA WAENDELEE NA BIASHARA ZAO KUPITIA UTARATIBU WA AWALI HADI UTAKAPOTOA MWONGOZO MWINGINE. CASE CLOSED NA MAYOWE KAMA YOTE YATAPIGWA PALE HUKU MADUKA YAKIFUNGULIWA KWA HARAKA!

Mgogoro huo hauwezi kutatulika haraka kisheria. Sasa ili maisha yaendelee ni wajibu wa Rais Samia kuutatua ki siasa ili maisha yaendelee huku utatuzi wa kisheria ukifanyiwa kazi.

JUST LIKE THAT!
Kweli kabisa na wakaidi wangekatwa pumbu na kwenda kuozea jela. Mtu mdogo anayumbisha nchi huku akichekewa?
 
Back
Top Bottom