Sakata dogo kama hilo la Kariakoo Magufuli angelimaliza kwa kupiga simu moja tu

Sakata dogo kama hilo la Kariakoo Magufuli angelimaliza kwa kupiga simu moja tu

Hivi ulivyo mjinga hujui kuwa sakata hili kiini chake ni sheria mbovu iliyopitishwa na bunge haramu lililowekwa na shetani Magufuli kwa uroho wake wa pesa?

Unachotaka kutueleza ni kuwa huyo shetani Magufuli angemaliza sakata hili kwa simu kwa kuvunja sheria?

Haya kalale juu ya kaburi lake kwa kumlilia zaidi!
Huyu majuZi alisema alipokufa baba yake mzazi hakulia sana ..ila alipokufa Jpm alilia mno mnoo..nikamuuliza una uhakika alikua baba yako?☹
 
Ki sakata ( uchwara ) kidogo cha Kariakoo kimetuonyesha ni kwa namna gani demokrasia inaweza kusababisha usumbufu wa hovyo kwa wananchi!

Hivi ki sakata cha kumalizwa na RC ndiyo kinasumbua watu namna hii?!

Ndugu zangu mambo kama hayo ndiyo yanatufanya tuendelee kumpa Magufuli maua yake! JPM changamoto ndogo kama hiyo ingetatuliwa na simu moja tu yenye suluhisho la kudumu ndaniye huku wale wote waliosababisha wangekuwa wanacheka na wake zao majumbani mwao.

Siyo siri SAKATA HILO CHANZO NI UZEMBE WA MTU WA ELIMU YA MLIPA KODI AMBAYE yupo chini ya Kamishna wa TRA. Sasa hadi mda huu KAMISHNA WA TRA ANABAKI OFISINI KUFANYEJE?!

MAMA PUNGUZA UPOLE BWANA NA WAJIBISHA KUANZIA KAMISHINA HADI MENEJA WA MKOA WA KIKODI WA KARIAKOO MAISHA YAENDELEE KWA SABABU WAWILI HAO ( TRA NA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO ) HAWAAMINIANI TENA.

NI UWENDAWAZIMU DOLA KUSHINDWA KUTATUA KI MGOGORO UCHWARA CHA NAMNA ILE LEO IKIWA NI ZAIDI YA MASAA 40!

Ushauri:

Rais Samia mtume RC Chalamila pale KARIAKOO nyanyua simu mpigie live ukitamka KUMWONDOA MENEJA WA TRA WA MKOA WA KARIAKOO KIKODI VILEVILE WAAMBIE WAFANYABIASHARA WAENDELEE NA BIASHARA ZAO KUPITIA UTARATIBU WA AWALI HADI UTAKAPOTOA MWONGOZO MWINGINE. CASE CLOSED NA MAYOWE KAMA YOTE YATAPIGWA PALE HUKU MADUKA YAKIFUNGULIWA KWA HARAKA!

Mgogoro huo hauwezi kutatulika haraka kisheria. Sasa ili maisha yaendelee ni wajibu wa Rais Samia kuutatua ki siasa ili maisha yaendelee huku utatuzi wa kisheria ukifanyiwa kazi.

JUST LIKE THAT!
Kumwondoa Boss wa TRA,sio suluhisho.
Kwanini unataka kuwaaminisha watu kwamba,TRA ilijipangia mambo ya kufanya kuhusu Kodi pale sokoni,na Raisi,mskamu,Waziri mkuu,waziri wa fedha,kstibu wa wizara wote Hawa walikua hawafahamu!!!
Kodi zote zimepitishwa na Samia na Baraza lake la mawaziri,kila kitu wanajua,nafikiri wanajiuliza kwa Kodi nyingi vile,Hawa jamaa mbona wamechukua muda mrefu kugoma!!
 
Ki sakata ( uchwara ) kidogo cha Kariakoo kimetuonyesha ni kwa namna gani demokrasia inaweza kusababisha usumbufu wa hovyo kwa wananchi!

Hivi ki sakata cha kumalizwa na RC ndiyo kinasumbua watu namna hii?!

Ndugu zangu mambo kama hayo ndiyo yanatufanya tuendelee kumpa Magufuli maua yake! JPM changamoto ndogo kama hiyo ingetatuliwa na simu moja tu yenye suluhisho la kudumu ndaniye huku wale wote waliosababisha wangekuwa wanacheka na wake zao majumbani mwao.

Siyo siri SAKATA HILO CHANZO NI UZEMBE WA MTU WA ELIMU YA MLIPA KODI AMBAYE yupo chini ya Kamishna wa TRA. Sasa hadi mda huu KAMISHNA WA TRA ANABAKI OFISINI KUFANYEJE?!

MAMA PUNGUZA UPOLE BWANA NA WAJIBISHA KUANZIA KAMISHINA HADI MENEJA WA MKOA WA KIKODI WA KARIAKOO MAISHA YAENDELEE KWA SABABU WAWILI HAO ( TRA NA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO ) HAWAAMINIANI TENA.

NI UWENDAWAZIMU DOLA KUSHINDWA KUTATUA KI MGOGORO UCHWARA CHA NAMNA ILE LEO IKIWA NI ZAIDI YA MASAA 40!

Ushauri:

Rais Samia mtume RC Chalamila pale KARIAKOO nyanyua simu mpigie live ukitamka KUMWONDOA MENEJA WA TRA WA MKOA WA KARIAKOO KIKODI VILEVILE WAAMBIE WAFANYABIASHARA WAENDELEE NA BIASHARA ZAO KUPITIA UTARATIBU WA AWALI HADI UTAKAPOTOA MWONGOZO MWINGINE. CASE CLOSED NA MAYOWE KAMA YOTE YATAPIGWA PALE HUKU MADUKA YAKIFUNGULIWA KWA HARAKA!

Mgogoro huo hauwezi kutatulika haraka kisheria. Sasa ili maisha yaendelee ni wajibu wa Rais Samia kuutatua ki siasa ili maisha yaendelee huku utatuzi wa kisheria ukifanyiwa kazi.

JUST LIKE THAT!
Ulishawai kumiliki hata genge mtaani kwenu au unaongea?
 
Ki sakata ( uchwara ) kidogo cha Kariakoo kimetuonyesha ni kwa namna gani demokrasia inaweza kusababisha usumbufu wa hovyo kwa wananchi!

Hivi ki sakata cha kumalizwa na RC ndiyo kinasumbua watu namna hii?!

Ndugu zangu mambo kama hayo ndiyo yanatufanya tuendelee kumpa Magufuli maua yake! JPM changamoto ndogo kama hiyo ingetatuliwa na simu moja tu yenye suluhisho la kudumu ndaniye huku wale wote waliosababisha wangekuwa wanacheka na wake zao majumbani mwao.

Siyo siri SAKATA HILO CHANZO NI UZEMBE WA MTU WA ELIMU YA MLIPA KODI AMBAYE yupo chini ya Kamishna wa TRA. Sasa hadi mda huu KAMISHNA WA TRA ANABAKI OFISINI KUFANYEJE?!

MAMA PUNGUZA UPOLE BWANA NA WAJIBISHA KUANZIA KAMISHINA HADI MENEJA WA MKOA WA KIKODI WA KARIAKOO MAISHA YAENDELEE KWA SABABU WAWILI HAO ( TRA NA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO ) HAWAAMINIANI TENA.

NI UWENDAWAZIMU DOLA KUSHINDWA KUTATUA KI MGOGORO UCHWARA CHA NAMNA ILE LEO IKIWA NI ZAIDI YA MASAA 40!

Ushauri:

Rais Samia mtume RC Chalamila pale KARIAKOO nyanyua simu mpigie live ukitamka KUMWONDOA MENEJA WA TRA WA MKOA WA KARIAKOO KIKODI VILEVILE WAAMBIE WAFANYABIASHARA WAENDELEE NA BIASHARA ZAO KUPITIA UTARATIBU WA AWALI HADI UTAKAPOTOA MWONGOZO MWINGINE. CASE CLOSED NA MAYOWE KAMA YOTE YATAPIGWA PALE HUKU MADUKA YAKIFUNGULIWA KWA HARAKA!

Mgogoro huo hauwezi kutatulika haraka kisheria. Sasa ili maisha yaendelee ni wajibu wa Rais Samia kuutatua ki siasa ili maisha yaendelee huku utatuzi wa kisheria ukifanyiwa kazi.

JUST LIKE THAT!
Hizi Kodi za kimafia zinaitaji elimu ya nini ccm inatakiwa kuondolewa kwanguvu ya kwanguvu ya umma ili bahari itulie.
 
Sio simu moja! Sasa hivi viongozi wote wa migomo wangekuwa hawajulikani walipo au wangekamatwa na kwenda kupasuliwa korodani.
 
Magufuli ndio nan? Hv kwa nn wengi wenu mnashindwa kuzikubali nyakati hayupo na hatokuepo milele
 
Ki sakata ( uchwara ) kidogo cha Kariakoo kimetuonyesha ni kwa namna gani demokrasia inaweza kusababisha usumbufu wa hovyo kwa wananchi!

Hivi ki sakata cha kumalizwa na RC ndiyo kinasumbua watu namna hii?!

Ndugu zangu mambo kama hayo ndiyo yanatufanya tuendelee kumpa Magufuli maua yake! JPM changamoto ndogo kama hiyo ingetatuliwa na simu moja tu yenye suluhisho la kudumu ndaniye huku wale wote waliosababisha wangekuwa wanacheka na wake zao majumbani mwao.

Siyo siri SAKATA HILO CHANZO NI UZEMBE WA MTU WA ELIMU YA MLIPA KODI AMBAYE yupo chini ya Kamishna wa TRA. Sasa hadi mda huu KAMISHNA WA TRA ANABAKI OFISINI KUFANYEJE?!

MAMA PUNGUZA UPOLE BWANA NA WAJIBISHA KUANZIA KAMISHINA HADI MENEJA WA MKOA WA KIKODI WA KARIAKOO MAISHA YAENDELEE KWA SABABU WAWILI HAO ( TRA NA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO ) HAWAAMINIANI TENA.

NI UWENDAWAZIMU DOLA KUSHINDWA KUTATUA KI MGOGORO UCHWARA CHA NAMNA ILE LEO IKIWA NI ZAIDI YA MASAA 40!

Ushauri:

Rais Samia mtume RC Chalamila pale KARIAKOO nyanyua simu mpigie live ukitamka KUMWONDOA MENEJA WA TRA WA MKOA WA KARIAKOO KIKODI VILEVILE WAAMBIE WAFANYABIASHARA WAENDELEE NA BIASHARA ZAO KUPITIA UTARATIBU WA AWALI HADI UTAKAPOTOA MWONGOZO MWINGINE. CASE CLOSED NA MAYOWE KAMA YOTE YATAPIGWA PALE HUKU MADUKA YAKIFUNGULIWA KWA HARAKA!

Mgogoro huo hauwezi kutatulika haraka kisheria. Sasa ili maisha yaendelee ni wajibu wa Rais Samia kuutatua ki siasa ili maisha yaendelee huku utatuzi wa kisheria ukifanyiwa kazi.

JUST LIKE THAT!
Kamlete
 
Watoto wa marehemu mnatia huruma watu waache kudai haki zao kisa magufuli ila mlitekwa vibaya sana mazuzu
Yaani yule mwehu aliwashika kweli akili hawa jamaa.Sasa hivi hata wakiumwa tumbo wanasema JPM angekuwapo angewaponya.
 
Back
Top Bottom