Sakata la Askofu Alex Malasusa lachukua Sura Mpya, Watoto Watoroshwa

Sakata la Askofu Alex Malasusa lachukua Sura Mpya, Watoto Watoroshwa

Wale wanaosemaga solution ya ugoni kwa mapadri kuoa, nadhani hawajui. Huyu ana mke na familia, so is Gwajima, Geordavie.
 
MUME wa mwanamke anayedaiwa kumkamata ugoni Askofu Dk Alex Malasusa wa Kanisa la Kiinjili la Kiluteri Tanzania (KKK) Dayosisi ya Mashariki na Pwani, (DMP) anatafuta watoto waliotoroshwa kwa maelekezo ya Malasusa na Jeshi la Polisi,
Akizungumza na MwanaHALISI online baada ya kuachiwa huru kutoka polisi kwa tuhuma za kushambulia, amesema watoto wake walichukuliwa na raia mmoja mjerumani aliyeolewa na mtanzania, anaitwa Caroline Shedafa.

Caroline Shedafa ametuhumiwa kuwa ametumia mwanya wa malalamiko ya Mwakilima na Malasusa kwa sababu ya urafiki alifanikiwa kuwatorosha watoto hao na kwamba ana mpango wa kuwasafirisha kwenda nje ya nchi wakati wowote.

MwanaHALISI limemtafuta Shedafa kwa tuhuma hizo, alipokea simu na baada ya kuambiwa kuwa anaongea na MwanaHALISI alikata simu na kukataa kuongea suala hili na mwandishi.

Malasusa anadaiwa kuwa anadaiwa kushirikiana na mfanyakazi wa hospitali ya Muhimbili anayeitwa Julieti, aliyewaambia ndugu wa mume anayenyang’anywa mke wake na malasusa kuwa atakiona.

“Huyu kaka anajidai mjuaji, hapti kitu, utaratibu uko tayari wa kuwasafirisha watoto kwenda nje ya nchi na hatawaona tena, ataishia kuwasikia tu, mimi ni mtu wa Karibu na Askofu Malasusa ndo nawaambia”. Alinukuliwa dada huyo akiongea kwa ujasiri.

Hadi sasa watoto wanaotafutwa na baba yao ambao Jeshi la Polisi linadaiwa kushirikiana na Malasusa licha ya taarifa zao kufika polisi kituo cha Wazo na kutochukuliwa hatua ni Sijenuni, Sephania, na Simon wote wanadaiwa kuwa watoto wa Venance Mwakilima.

Taarifa za leo usiku zilizofikiwa MwanaHALISI online zinadai kuwa baadhi ya Maaskofu Jijini Dar es Salaam wameamua kujitokea kulinda heshima ya uaskofu baada ya kudhalilishwa na Malasusa.

Maaskofu ambao hawakupenda kutajwa majina yao kwa kuwa si wasemaji wa vikao halali wamesema “hili suala tunalichukua,

Malasusa ana tuhuma nzito nchini, na baada ya gazeti kuandika watu wamejitolea kujieleza tunaomba muda kesho (Jumanne) tutaliongelea hadharani baada ya kukutana na mume wa me.

Aidha Malasusa hakupatikana kwenye simu zake wala kujibu ujumbe wa simu aliotumiwa tangu juzi wakati gazeti la MwanaHALISI likiendelea kufuatilia sakata hili.
Hizi siasa za kuchafuana kumbe ni mpaka makanisani?nilifikiri ni kwenye siasa na mpira tu
 
Ama kweli binadamu huwezi kwenda kinyume na maumbile, maaskofu oeni au kama vipi mhasiwe basi!
KKKT INARUHUSU WACHUNGAJI KUOA... ASKOFU ANAPASWA KUWA MUME WA MKE MMOJA., MWENYE TABIA NJEMA ISIYOTIA MASHAKA !!! KAMA KATENDA HAYO NI CHUKIZO NA ANAAIBISHA KANISA... HASTAHILI UASKOFU

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Wameufufua baada ya Malasusa kuwa Askofu mkuu tena.
Nimeufufuwa mimi. Ukisoma uzi wowote wa JF ukifika chini utakuta nyuzi zinazihusiana na maudhui hiyo, hata za zamani.

Nilikuwa nasoma uzi wa uchaguzi wa KKKT nikakuta chini uzi huu wa zamani, nikaufunguwa.

KKKT Akichaguliwa malasusa au hata Mwambulukusi, hawanihusu ndee wala sikio. Mimi ni Muislam na Kiislam hakuna uchaguzi wa viongozi.
 
Nimeufufuwa mimi. Ukisoma uzi wowote wa JF ukifika chini utakuta nyuzi zinazihusiana na maudhui hiyo, hata za zamani.

Nilikuwa nasoma uzi wa uchaguzi wa KKKT nikakuta chini uzi huu wa zamani, nikaufunguwa.

KKKT Akichaguliwa malasusa au hata Mwambulukusi, hawanihusu ndee wala sikio. Mimi ni Muislam na Kiislam hakuna uchaguzi wa viongozi.
Nitaftie binti wa ki Islam mashaalaaah...nawakubali kwa uswafi...🙂🙂
 
Nimeufufuwa mimi. Ukisoma uzi wowote wa JF ukifika chini utakuta nyuzi zinazihusiana na maudhui hiyo, hata za zamani.

Nilikuwa nasoma uzi wa uchaguzi wa KKKT nikakuta chini uzi huu wa zamani, nikaufunguwa.

KKKT Akichaguliwa malasusa au hata Mwambulukusi, hawanihusu ndee wala sikio. Mimi ni Muislam na Kiislam hakuna uchaguzi wa viongozi.
Haya Bibi,Malasusa ni Askofu mkuu tena.Mungu ampe Hekima na Busara.Ninamuombea Mungu amtunze ili aongonze Kanisa.
 
Akili kubwa zinajadili maendeleo.
Akili za kawaida zinajadili matukio.
Akili mbovu zinajadili mtu.
Huu usemi ni wa kipumbavu,walioutunga walifanya hivi ili kuwakatisha watu kuwasema.Vyote hivyo maendeleo ,matukio yanafanywa na watu.Hivyo watu lazima wajadiliwe.
 
Haya Bibi,Malasusa ni Askofu mkuu tena.Mungu ampe Hekima na Busara.Ninamuombea Mungu amtunze ili aongonze Kanisa.
Namuombea kwa Allah aachane na kanisa aingie kwenye Uislam kama Askofu huyu:

Askofu Awa Uislamu, Ageuza Kanisa kuwa Msikiti​




Nakuombea na wewe pia uione nuru ya Uislam.
 
Huu usemi ni wa kipumbavu,walioutunga walifanya hivi ili kuwakatisha watu kuwasema.Vyote hivyo maendeleo ,matukio yanafanywa na watu.Hivyo watu lazima wajadiliwe.
Jadili maendeleo binti, siyo mtu. Wacha umbea na ufataani. Ukishindwa jadili matukio.
 
Back
Top Bottom