Mbona kama umekasirika ? Kwani huyu Bibi ndo kawachagulia Malasusa? Hameni mje kanisa moja takatifu katoliki la mitume.
Basi ni dhahiri kuwa nawe ni mmojawapo wa wenye AKILI MBOVU, maana ulidamka huyoo chonjole chonjole kufufua uzi unaomjadili mtu na sio maendeleo.