Sakata la Bandari linaenda kuongeza mpasuko wa kidini. Tukosoe kwa tahadhari

Sakata la Bandari linaenda kuongeza mpasuko wa kidini. Tukosoe kwa tahadhari

Nominee

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2017
Posts
464
Reaction score
1,260
Ni haki na wajibu wa kila Mtanzania kuhakikisha rasilimali za nchi yake hazichezewi hovyo.Nawapongeza nyote munaotoa maoni yenu ya kuukosoa huu mkataba ila chonde chonde, tujitahidi kuongeza umakini tunapokosoa.

Kikawaida,imani ina nguvu sana kwenye suala la ushawishi. Unaweza kushangaa mtu tangu abalehe hajawahi kukanyaga msikitini wala kanisani lakini ukikashifu dini yake anabadilika kuwa mbogo.Hiyo ndo nguvu ya imani.

Hili suala la bandari lijadiliwe bila kuweka mitizamo ya kidini. Nimeona baadhi ya watu wanasema "Mama anataka kuhonga bandari kwa waislamu wenzake wa uarabuni". Hii sio kauli yenye afya. Huyu ni Rais wetu sote,sio Rais wa waislamu tu.

Je, na waislamu nao wakiamua kufukua mikataba ya hovyo iliyofanyika kipindi cha Marais wakristo,patakalika kweli?.Tunashindwa nini kujadili maswala ya kitaifa bila kuingiza udini?

Kulikuwa na ulazima gani wa kupeleka waraka makanisani ama misikitini?.Munafahamu madhara ya hiki munachokifanya?.

Sisi sote ni WaTanzania bila kujali dini zetu wala makabila yetu.Tusimame kutetea na kukosoa mikataba kwa sababu ni Watanzania na sio kwasababu aliyeingia mkataba ni Mkristo ama Muislamu.

MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRIKA.
 
Ni haki na wajibu wa kila Mtanzania kuhakikisha rasilimali za nchi yake hazichezewi hovyo.Nawapongeza nyote munaotoa maoni yenu ya kuukosoa huu mkataba ila chonde chonde, tujitahidi kuongeza umakini tunapokosoa.

Kikawaida,imani ina nguvu sana kwenye suala la ushawishi. Unaweza kushangaa mtu tangu abalehe hajawahi kukanyaga msikitini wala kanisani lakini ukikashifu dini yake anabadilika kuwa mbogo.Hiyo ndo nguvu ya imani.

Hili suala la bandari lijadiliwe bila kuweka mitizamo ya kidini. Nimeona baadhi ya watu wanasema "Mama anataka kuhonga bandari kwa waislamu wenzake wa uarabuni". Hii sio kauli yenye afya. Huyu ni Rais wetu sote,sio Rais wa waislamu tu.

Je, na waislamu nao wakiamua kufukua mikataba ya hovyo iliyofanyika kipindi cha Marais wakristo,patakalika kweli?.Tunashindwa nini kujadili maswala ya kitaifa bila kuingiza udini?

Kulikuwa na ulazima gani wa kupeleka waraka makanisani ama misikitini?.Munafahamu madhara ya hiki munachokifanya?.

Sisi sote ni WaTanzania bila kujali dini zetu wala makabila yetu.Tusimame kutetea na kukosoa mikataba kwa sababu ni Watanzania na sio kwasababu aliyeingia mkataba ni Mkristo ama Muislamu.

MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRIKA.
Wewe ni kati ya matahira kudhani kuna udini.

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
 
Vifungu vya mkataba virekebishwe tuu sisi hatujali mwekezaji ni mwislamu,mkristu,mpagani nk. sisi Dini yetu na kelele zote hizi ni 50/50 hapo tuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Vifungu vya mkataba virekebishwe tuu sisi hatujali mwekezaji ni mwislamu,mkristu,mpagani nk. sisi Dini yetu na kelele zote hizi ni 50/50 hapo tuuuuuuuuuuuuuuuuu
Hicho ndicho cha msingi.I
 
Udini mnaleta nyie chawa,mmejipachika kwenye mbawa za udini,sisi DINI yetu ni 50/50 uwekezaji bandari aje,mwarabu,mhindi,mzungu nk,twende,aje mwislamu,mkristu,mpagani atuhakikishie 50/50 zetu twende kazi,wekezeni
 
Ni haki na wajibu wa kila Mtanzania kuhakikisha rasilimali za nchi yake hazichezewi hovyo.Nawapongeza nyote munaotoa maoni yenu ya kuukosoa huu mkataba ila chonde chonde, tujitahidi kuongeza umakini tunapokosoa.

Kikawaida,imani ina nguvu sana kwenye suala la ushawishi. Unaweza kushangaa mtu tangu abalehe hajawahi kukanyaga msikitini wala kanisani lakini ukikashifu dini yake anabadilika kuwa mbogo.Hiyo ndo nguvu ya imani.

Hili suala la bandari lijadiliwe bila kuweka mitizamo ya kidini. Nimeona baadhi ya watu wanasema "Mama anataka kuhonga bandari kwa waislamu wenzake wa uarabuni". Hii sio kauli yenye afya. Huyu ni Rais wetu sote,sio Rais wa waislamu tu.

Je, na waislamu nao wakiamua kufukua mikataba ya hovyo iliyofanyika kipindi cha Marais wakristo,patakalika kweli?.Tunashindwa nini kujadili maswala ya kitaifa bila kuingiza udini?

Kulikuwa na ulazima gani wa kupeleka waraka makanisani ama misikitini?.Munafahamu madhara ya hiki munachokifanya?.

Sisi sote ni WaTanzania bila kujali dini zetu wala makabila yetu.Tusimame kutetea na kukosoa mikataba kwa sababu ni Watanzania na sio kwasababu aliyeingia mkataba ni Mkristo ama Muislamu.

MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRIKA.
Waambie na "wao" wafukue ili mambo yawe oyaoya!
 
Kusoma waraka kanisani haikua sahihi,hii imeonyesha kwamba waraka ule umeandaliwa na waislanu na wanaoupinga ni wakristo.
Afadhali wangeusomea hata mbele ya waandishi wa habari na vyombo vingine isingeeleweka vibaya,lakini kanisani hapana.
Haya ni maoni yangu,Jenga hoja ukitaka kunikosoa.
 
Ni haki na wajibu wa kila Mtanzania kuhakikisha rasilimali za nchi yake hazichezewi hovyo.Nawapongeza nyote munaotoa maoni yenu ya kuukosoa huu mkataba ila chonde chonde, tujitahidi kuongeza umakini tunapokosoa.

Kikawaida,imani ina nguvu sana kwenye suala la ushawishi. Unaweza kushangaa mtu tangu abalehe hajawahi kukanyaga msikitini wala kanisani lakini ukikashifu dini yake anabadilika kuwa mbogo.Hiyo ndo nguvu ya imani.

Hili suala la bandari lijadiliwe bila kuweka mitizamo ya kidini. Nimeona baadhi ya watu wanasema "Mama anataka kuhonga bandari kwa waislamu wenzake wa uarabuni". Hii sio kauli yenye afya. Huyu ni Rais wetu sote,sio Rais wa waislamu tu.

Je, na waislamu nao wakiamua kufukua mikataba ya hovyo iliyofanyika kipindi cha Marais wakristo,patakalika kweli?.Tunashindwa nini kujadili maswala ya kitaifa bila kuingiza udini?

Kulikuwa na ulazima gani wa kupeleka waraka makanisani ama misikitini?.Munafahamu madhara ya hiki munachokifanya?.

Sisi sote ni WaTanzania bila kujali dini zetu wala makabila yetu.Tusimame kutetea na kukosoa mikataba kwa sababu ni Watanzania na sio kwasababu aliyeingia mkataba ni Mkristo ama Muislamu.

MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRIKA.
Sijui ni kwanini Nchi hii watu walio serious na mambo makubwa. Hizi habari za udini watu wanazitoa wapi?
Watu wamezungumzia kipengele kwa kipengele hiyo dini nani kataja?

Kama suala ni viongozi wa dini kwani nani anayetetea au kukataa asiye na dini.
Vema kujikita kwenye hoja. Vipengele vilivyotajwa vielezewe na siyo kusema kuna udini. Unatoka wapi?
Hao wabinge waliopitisha ni wa dini gani na ni dini gani inabaguliwa?. Hoja hapa ni mkataba ifanyike mbinu usitekelezwe kwa gharama ndogo kuliko gharama itakayokuja huko mbele.

Tisipotezane maboya kwa mambo muhimu yenye point zake zinazojitegemea.

Tujikite na hoja

Watu wengi wanao
 
Kusoma waraka kanisani haikua sahihi,hii imeonyesha kwamba waraka ule umeandaliwa na waislanu na wanaoupinga ni wakristo.
Afadhali wangeusomea hata mbele ya waandishi wa habari na vyombo vingine isingeeleweka vibaya,lakini kanisani hapana.
Haya ni maoni yangu,Jenga hoja ukitaka kunikosoa.
Hata wangeusoma kwa waandishi bado ungesema wanafanya siasa.Wameusomea kwenye altars ili muuelewe zaidi.Hiyo inaitwa mgambo wanaruka na kukanyagana.
 
Kuna watu wakiona unakumbusha watu kuwa na tahadhari na umakini kuepuka mtafaruku kwny Jamii wanajifanya hamnazo

Mungu atuepushe sana na mifarakano kwa kuwa maeneo yote yaliyotokea matatizo hayajatulia hadi leo

sometime ukizaliwa ukakuta kitu home huwezi kujua thamani yake hadi kiondoke ndio utakumbuka
 
Comrade mo, documents kama hizo unapozisomea nyumba ya ibada inaleta shida kidogo kuelewa kama sio muumini wa nyumba hiyo ya ibada,Kwa sababu ambae sio muumini wa hapo atasema wa kidini,lakini ungesomewa mbele ya waandishi wa habari au vyombo vya habari,usingeleta mkanganyiko.angalia Leo,thread nyingi Kwa kuwa umesomewa ndani ya nyumba ya ibada na SI kingine,hiyo haileti afya Kwa taifa.
Watz watagawanyika kidini kuhusubwaraka kuanzia Leo,tofauti na ulivyokuwa unachukuliwa siku za nyuma.
Mbaya zaidi watu wanaandika sauti ya TEC ni sauti ya MUNGU he wasioamini TEC unawashawishi vipi?
Kuna watu hawana dini,he tunawashawishi vipi Kwa kusoma waraka kanisani?
 
Ni haki na wajibu wa kila Mtanzania kuhakikisha rasilimali za nchi yake hazichezewi hovyo.Nawapongeza nyote munaotoa maoni yenu ya kuukosoa huu mkataba ila chonde chonde, tujitahidi kuongeza umakini tunapokosoa.

Kikawaida,imani ina nguvu sana kwenye suala la ushawishi. Unaweza kushangaa mtu tangu abalehe hajawahi kukanyaga msikitini wala kanisani lakini ukikashifu dini yake anabadilika kuwa mbogo.Hiyo ndo nguvu ya imani.

Hili suala la bandari lijadiliwe bila kuweka mitizamo ya kidini. Nimeona baadhi ya watu wanasema "Mama anataka kuhonga bandari kwa waislamu wenzake wa uarabuni". Hii sio kauli yenye afya. Huyu ni Rais wetu sote,sio Rais wa waislamu tu.

Je, na waislamu nao wakiamua kufukua mikataba ya hovyo iliyofanyika kipindi cha Marais wakristo,patakalika kweli?.Tunashindwa nini kujadili maswala ya kitaifa bila kuingiza udini?

Kulikuwa na ulazima gani wa kupeleka waraka makanisani ama misikitini?.Munafahamu madhara ya hiki munachokifanya?.

Sisi sote ni WaTanzania bila kujali dini zetu wala makabila yetu.Tusimame kutetea na kukosoa mikataba kwa sababu ni Watanzania na sio kwasababu aliyeingia mkataba ni Mkristo ama Muislamu.

MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRIKA.
Huyo aliesema kuwa anataka kugawa Bandari kwa Waislamu wenzake nan?
 
Back
Top Bottom