Sakata la Bandari linaidhalilisha Taaluma ya Sheria!

Sakata la Bandari linaidhalilisha Taaluma ya Sheria!

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
7,828
Reaction score
10,527
Katika kipindi Cha mwezi mmoja Sasa .. Bila shaka Taifa limeingia kwenye sitofahamu kubwa ! HII ni kuhusu Mkataba wa Uwekezaji baina ya JMT na DPW!

Mengi yamesemwa ,Kuandikwa na kujadiliwa ! Kinachoshagaza ni namna tasinia ya Sheria inayotumika kukosoa au kutetea Mkataba au Makubaliano haya!

Upande wa wanaopinga wanajielekeza kwenye Vipengele Mahususi,kwenye Mkataba ,lakini Bahati mbaya sana upande wa utetezi mara nyingi unaongelea vitu Kwa ujumla!

Binafsi nilishangazwa na kumhurumia Mwana Sheria Mkuu wa Serikali alipokuwa anajibu hoja kinzani !
Mwisho wa Siku Tasinia ya Sheria katika hili imetukwamisha..!

Wamekuwa kama Wanasiasa! Wanatafuta ufuasi badala ya kueleza ukweli !

Bila shaka sakata hili litaaandikiwa Vitabu ! Yaani Msukuma ,Kibajaji,Haji Manara,Zenbwela ,na Masheikh Uchwara wanaungana baadhi ya Wanasheira na Mawaikili kujibu HOJA za Prof.Shivji,Warioba ,Mwanukisi,Dk Slaa,TLS,Rugemaliza Nshala na wengineo...Hakika hamtundei Haki Watanzania!
Hata kama mnalinda ugali...hii imezidi!
 
Katika kipindi Cha mwezi mmoja Sasa .. Bila shaka Taifa limeingia kwenye sitofahamu kubwa ! HII ni kuhusu Mkataba wa Uwekezaji baina ya JMT na DPW!
Mengi yamesemwa ,Kuandikwa na kujadiliwa ! Kinachoshagaza ni namna tasinia ya Sheria inayotumika kukosoa au kutetea Mkataba au Makubaliano haya!
Upande wa wanaopinga wanajielekeza kwenye Vipengele Mahususi,kwenye Mkataba ,lakini Bahati mbaya sana upande wa utetezi mara nyingi unaongelea vitu Kwa ujumla!
Binafsi nilishangazwa na kumhurumia Mwana Sheria Mkuu wa Serikali alipokuwa anajibu hoja kinzani !
Mwisho wa Siku Tasinia ya Sheria katika hili imetukwamisha..!
Wamekuwa kama Wanasiasa! Wanatafuta ufuasi badala ya kueleza ukweli !
Bila shaka sakata hili litaaandikiwa Vitabu ! Yaani Msukuma ,Kibajaji,Haji Manara,Zenbwela ,na Masheikh Uchwara ..wanaungana baadhi ya Wanasheira na Mawaikili kujibu HOJA za Prof.Shivji,Warioba ,Mwanukisi,Dk Slaa,TLS,Rugemaliza Nshala na wengineo...Hakika hamtundei Haki Watanzania!
Hata kama mnalinda ugali...hii imezidi!
kibajaji ndio nani?
 
Katika kipindi Cha mwezi mmoja Sasa .. Bila shaka Taifa limeingia kwenye sitofahamu kubwa ! HII ni kuhusu Mkataba wa Uwekezaji baina ya JMT na DPW!
Mengi yamesemwa ,Kuandikwa na kujadiliwa ! Kinachoshagaza ni namna tasinia ya Sheria inayotumika kukosoa au kutetea Mkataba au Makubaliano haya!
Upande wa wanaopinga wanajielekeza kwenye Vipengele Mahususi,kwenye Mkataba ,lakini Bahati mbaya sana upande wa utetezi mara nyingi unaongelea vitu Kwa ujumla!
Binafsi nilishangazwa na kumhurumia Mwana Sheria Mkuu wa Serikali alipokuwa anajibu hoja kinzani !
Mwisho wa Siku Tasinia ya Sheria katika hili imetukwamisha..!
Wamekuwa kama Wanasiasa! Wanatafuta ufuasi badala ya kueleza ukweli !
Bila shaka sakata hili litaaandikiwa Vitabu ! Yaani Msukuma ,Kibajaji,Haji Manara,Zenbwela ,na Masheikh Uchwara ..wanaungana baadhi ya Wanasheira na Mawaikili kujibu HOJA za Prof.Shivji,Warioba ,Mwanukisi,Dk Slaa,TLS,Rugemaliza Nshala na wengineo...Hakika hamtundei Haki Watanzania!
Hata kama mnalinda ugali...hii imezidi!
Ugali unalindwa hata kama una mchanga.Kuna nchi huyo jamaa katimuliwa sasa iweje huku kwetu apewe mkataba wa milele? Kiingozi mmoja anasimama anasema mkataba huu na mwingine yuko kwenye luninga anasema huu sio mkataba kwanini hawaongei lugha moja.
 
Katika kipindi Cha mwezi mmoja Sasa .. Bila shaka Taifa limeingia kwenye sitofahamu kubwa ! HII ni kuhusu Mkataba wa Uwekezaji baina ya JMT na DPW!

Mengi yamesemwa ,Kuandikwa na kujadiliwa ! Kinachoshagaza ni namna tasinia ya Sheria inayotumika kukosoa au kutetea Mkataba au Makubaliano haya!

Upande wa wanaopinga wanajielekeza kwenye Vipengele Mahususi,kwenye Mkataba ,lakini Bahati mbaya sana upande wa utetezi mara nyingi unaongelea vitu Kwa ujumla!

Binafsi nilishangazwa na kumhurumia Mwana Sheria Mkuu wa Serikali alipokuwa anajibu hoja kinzani !
Mwisho wa Siku Tasinia ya Sheria katika hili imetukwamisha..!

Wamekuwa kama Wanasiasa! Wanatafuta ufuasi badala ya kueleza ukweli !

Bila shaka sakata hili litaaandikiwa Vitabu ! Yaani Msukuma ,Kibajaji,Haji Manara,Zenbwela ,na Masheikh Uchwara wanaungana baadhi ya Wanasheira na Mawaikili kujibu HOJA za Prof.Shivji,Warioba ,Mwanukisi,Dk Slaa,TLS,Rugemaliza Nshala na wengineo...Hakika hamtundei Haki Watanzania!
Hata kama mnalinda ugali...hii imezidi!
Wale wote wanaolalamikia Mikataba mibovu baina ya Serikali ya Tanzania na makapuni Ni hivi Mkataba wa Muungano ndio Mkataba mbovu kuliko Mikataba yote Tanzania ni kauli ya Makoma wa kwanza wa Raisi wa Zanzibar mhe Othman Masoud Othman aloitoa jana mkwajuni kaskazini unguja
 
Back
Top Bottom