Sakata la Bandari: Serikali inaposhindwa kujieleza, sisi wananchi tuchukue hatua gani?

Sakata la Bandari: Serikali inaposhindwa kujieleza, sisi wananchi tuchukue hatua gani?

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Kuanzia Mawaziri, Wakurugenzi na hata Wabunge wa chama chetu (CCM) na viongozi wa kichama na kiserikali wameshindwa kuiona, kuipata na kuijibu hoja ya wananchi kuhusu mkataba wa uwekezaji kwenye Bandari zetu. Ni mkataba kati ya Tanzania na Emirati kupitia kampuni ya DP World.

Hoja kuu ya wananchi ( wale wanaoitwa wapinzani; viongozi wa kidini; wananchi wa kawaida na wananchi wasio wa kawaida) ni kuhusu vipengele vya mkataba. Mkataba huzungumza kupitia masharti yake yaliyomo kwenye mkataba husika. Masharti huwekwa kama vipengele viitwavyo ibara au vifungu au aya na kadhalika.

Wananchi, kila wanaposoma vipengele vya Hati ya Makubaliano na Mkataba, wanatishika. Wanaisikia sauti ya kuogofya kutokana na vipengele hivyo kuzungumza. Sauti hiyo ya kuogofya ya vipengele vya mikataba hiyo ndizo zinazotakiwa kutolewa majibu na Serikali.

Serikali na wadau wake niliowagusia wao wanang'ang'ania kuelewesha na kutaka kueleweka juu ya manufaa na faida za mikataba hiyo, yaani uwekezaji/ubinafsishaji/ukodishwaji wa bandari yetu. Wao wanasisitiza kuhusu manufaa ya kibiashara na kiuchumi tutakayoyapata. Hawazungumzii na kueleweka kuhusu vipengele vyenye kelele vya mikataba husika.

Kwenye mkataba wowote wa kitaifa au kimataifa (kama ulivyo wa Bandari), vipengele kama pande husika za mkataba; majukumu ya kila pande; haki za kila pande; muda wa mkataba; sheria zitumikazo; utatuzi wa migogoro; uhuishaji wa mkataba; taarifa za kimkataba; kuvunja mkataba;usiri na haki miliki ni zaidi ya mambo muhimu. Yote haya yana ukakasi uletao wasiwasi na yamekosa majibu.

Sasa, Serikali inaposhindwa kutoa majibu/ufafanuzi juu ya mikataba hii ya Bandari, sisi wananchi tuchukue hatua gani?

Kosa lolote kuhusu Bandari ni hatari!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Chato, Geita)
 
We binafsi utachukua maamuzi gani?

Ova
 
Labda alikuwepo kwenye maandamano...
Thubutu yake!! aonekane kwenye maandamano gani?

Alafu anasema Serikali haijajibu haijajibu kivipi? Hakusikiliza hoja za Serikali Bungeni? Hakusikiliza majibu ya Prof Mbarawa?

Sasa anasema Serikali ijibu ijibu nini? kipi hakijatolewa ufafanuzi? Au anataka leo akiongea huyu kesho Serikali wajitokeze pia? Huo si utakuwa mchezo wa kitoto sasa?
 
Thubutu yake!! aonekane kwenye maandamano gani?

Alafu anasema Serikali haijajibu haijajibu kivipi? Hakusikiliza hoja za Serikali Bungeni? Hakusikiliza majibu ya Prof Mbarawa?

Sasa anasema Serikali ijibu ijibu nini? kipi hakijatolewa ufafanuzi? Au anataka leo akiongea huyu kesho Serikali wajitokeze pia? Huo si utakuwa mchezo wa kitoto sasa?
Prof. Mbarawa alisemaje?
 
Serikali haiwezi kutetea kwasabab serkali imefanya uhaini wa kuuza nchi kwa waarabu
 
Kuanzia Mawaziri, Wakurugenzi na hata Wabunge wa chama chetu (CCM) na viongozi wa kichama na kiserikali wameshindwa kuiona, kuipata na kuijibu hoja ya wananchi kuhusu mkataba wa uwekezaji kwenye Bandari zetu. Ni mkataba kati ya Tanzania na Emirati kupitia kampuni ya DP World.

Hoja kuu ya wananchi ( wale wanaoitwa wapinzani; viongozi wa kidini; wananchi wa kawaida na wananchi wasio wa kawaida) ni kuhusu vipengele vya mkataba. Mkataba huzungumza kupitia masharti yake yaliyomo kwenye mkataba husika. Masharti huwekwa kama vipengele viitwavyo ibara au vifungu au aya na kadhalika.

Wananchi, kila wanaposoma vipengele vya Hati ya Makubaliano na Mkataba, wanatishika. Wanaisikia sauti ya kuogofya kutokana na vipengele hivyo kuzungumza. Sauti hiyo ya kuogofya ya vipengele vya mikataba hiyo ndizo zinazotakiwa kutolewa majibu na Serikali.

Serikali na wadau wake niliowagusia wao wanang'ang'ania kuelewesha na kutaka kueleweka juu ya manufaa na faida za mikataba hiyo, yaani uwekezaji/ubinafsishaji/ukodishwaji wa bandari yetu. Wao wanasisitiza kuhusu manufaa ya kibiashara na kiuchumi tutakayoyapata. Hawazungumzii na kueleweka kuhusu vipengele vyenye kelele vya mikataba husika.

Kwenye mkataba wowote wa kitaifa au kimataifa (kama ulivyo wa Bandari), vipengele kama pande husika za mkataba; majukumu ya kila pande; haki za kila pande; muda wa mkataba; sheria zitumikazo; utatuzi wa migogoro; uhuishaji wa mkataba; taarifa za kimkataba; kuvunja mkataba;usiri na haki miliki ni zaidi ya mambo muhimu. Yote haya yana ukakasi uletao wasiwasi na yamekosa majibu.

Sasa, Serikali inaposhindwa kutoa majibu/ufafanuzi juu ya mikataba hii ya Bandari, sisi wananchi tuchukue hatua gani?

Kosa lolote kuhusu Bandari ni hatari!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Chato, Geita)
Imagine wanatumwa watu calibre ya Lord denning, Faizafoxy and co!
 
Kuanzia Mawaziri, Wakurugenzi na hata Wabunge wa chama chetu (CCM) na viongozi wa kichama na kiserikali wameshindwa kuiona, kuipata na kuijibu hoja ya wananchi kuhusu mkataba wa uwekezaji kwenye Bandari zetu. Ni mkataba kati ya Tanzania na Emirati kupitia kampuni ya DP World.

Hoja kuu ya wananchi ( wale wanaoitwa wapinzani; viongozi wa kidini; wananchi wa kawaida na wananchi wasio wa kawaida) ni kuhusu vipengele vya mkataba. Mkataba huzungumza kupitia masharti yake yaliyomo kwenye mkataba husika. Masharti huwekwa kama vipengele viitwavyo ibara au vifungu au aya na kadhalika.

Wananchi, kila wanaposoma vipengele vya Hati ya Makubaliano na Mkataba, wanatishika. Wanaisikia sauti ya kuogofya kutokana na vipengele hivyo kuzungumza. Sauti hiyo ya kuogofya ya vipengele vya mikataba hiyo ndizo zinazotakiwa kutolewa majibu na Serikali.

Serikali na wadau wake niliowagusia wao wanang'ang'ania kuelewesha na kutaka kueleweka juu ya manufaa na faida za mikataba hiyo, yaani uwekezaji/ubinafsishaji/ukodishwaji wa bandari yetu. Wao wanasisitiza kuhusu manufaa ya kibiashara na kiuchumi tutakayoyapata. Hawazungumzii na kueleweka kuhusu vipengele vyenye kelele vya mikataba husika.

Kwenye mkataba wowote wa kitaifa au kimataifa (kama ulivyo wa Bandari), vipengele kama pande husika za mkataba; majukumu ya kila pande; haki za kila pande; muda wa mkataba; sheria zitumikazo; utatuzi wa migogoro; uhuishaji wa mkataba; taarifa za kimkataba; kuvunja mkataba;usiri na haki miliki ni zaidi ya mambo muhimu. Yote haya yana ukakasi uletao wasiwasi na yamekosa majibu.

Sasa, Serikali inaposhindwa kutoa majibu/ufafanuzi juu ya mikataba hii ya Bandari, sisi wananchi tuchukue hatua gani?

Kosa lolote kuhusu Bandari ni hatari!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Chato, Geita)
Ni kuandamana tu ndio wataelewa.
 
Kuanzia Mawaziri, Wakurugenzi na hata Wabunge wa chama chetu (CCM) na viongozi wa kichama na kiserikali wameshindwa kuiona, kuipata na kuijibu hoja ya wananchi kuhusu mkataba wa uwekezaji kwenye Bandari zetu. Ni mkataba kati ya Tanzania na Emirati kupitia kampuni ya DP World.

Hoja kuu ya wananchi ( wale wanaoitwa wapinzani; viongozi wa kidini; wananchi wa kawaida na wananchi wasio wa kawaida) ni kuhusu vipengele vya mkataba. Mkataba huzungumza kupitia masharti yake yaliyomo kwenye mkataba husika. Masharti huwekwa kama vipengele viitwavyo ibara au vifungu au aya na kadhalika.

Wananchi, kila wanaposoma vipengele vya Hati ya Makubaliano na Mkataba, wanatishika. Wanaisikia sauti ya kuogofya kutokana na vipengele hivyo kuzungumza. Sauti hiyo ya kuogofya ya vipengele vya mikataba hiyo ndizo zinazotakiwa kutolewa majibu na Serikali.

Serikali na wadau wake niliowagusia wao wanang'ang'ania kuelewesha na kutaka kueleweka juu ya manufaa na faida za mikataba hiyo, yaani uwekezaji/ubinafsishaji/ukodishwaji wa bandari yetu. Wao wanasisitiza kuhusu manufaa ya kibiashara na kiuchumi tutakayoyapata. Hawazungumzii na kueleweka kuhusu vipengele vyenye kelele vya mikataba husika.

Kwenye mkataba wowote wa kitaifa au kimataifa (kama ulivyo wa Bandari), vipengele kama pande husika za mkataba; majukumu ya kila pande; haki za kila pande; muda wa mkataba; sheria zitumikazo; utatuzi wa migogoro; uhuishaji wa mkataba; taarifa za kimkataba; kuvunja mkataba;usiri na haki miliki ni zaidi ya mambo muhimu. Yote haya yana ukakasi uletao wasiwasi na yamekosa majibu.

Sasa, Serikali inaposhindwa kutoa majibu/ufafanuzi juu ya mikataba hii ya Bandari, sisi wananchi tuchukue hatua gani?

Kosa lolote kuhusu Bandari ni hatari!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Chato, Geita)
Ni kwamba wewe huelewi hata ungechapwa viboko. We ni slow learner utakuja kuelewa baadaye sana, kwa sasa we tulia kuangalia maana utatuchelewesha tukikusikiza.
 
Lakin kabla ya kutoa maamzi ya kuweka mikataba wabunge na mawazili unakuta hawajui ama wanajua,, maan ukisema sisi wanainch tutafanyaj maana yake ni maandamano,,na maandamano hayana maana sababu tayali tuna wawakilishi ambao tumewachagua wakatuteteena wasipotutetea wanakuwa hawana maan hata ya kukaa huko bungeni,,
 
Kuanzia Mawaziri, Wakurugenzi na hata Wabunge wa chama chetu (CCM) na viongozi wa kichama na kiserikali wameshindwa kuiona, kuipata na kuijibu hoja ya wananchi kuhusu mkataba wa uwekezaji kwenye Bandari zetu. Ni mkataba kati ya Tanzania na Emirati kupitia kampuni ya DP World.

Hoja kuu ya wananchi ( wale wanaoitwa wapinzani; viongozi wa kidini; wananchi wa kawaida na wananchi wasio wa kawaida) ni kuhusu vipengele vya mkataba. Mkataba huzungumza kupitia masharti yake yaliyomo kwenye mkataba husika. Masharti huwekwa kama vipengele viitwavyo ibara au vifungu au aya na kadhalika.

Wananchi, kila wanaposoma vipengele vya Hati ya Makubaliano na Mkataba, wanatishika. Wanaisikia sauti ya kuogofya kutokana na vipengele hivyo kuzungumza. Sauti hiyo ya kuogofya ya vipengele vya mikataba hiyo ndizo zinazotakiwa kutolewa majibu na Serikali.

Serikali na wadau wake niliowagusia wao wanang'ang'ania kuelewesha na kutaka kueleweka juu ya manufaa na faida za mikataba hiyo, yaani uwekezaji/ubinafsishaji/ukodishwaji wa bandari yetu. Wao wanasisitiza kuhusu manufaa ya kibiashara na kiuchumi tutakayoyapata. Hawazungumzii na kueleweka kuhusu vipengele vyenye kelele vya mikataba husika.

Kwenye mkataba wowote wa kitaifa au kimataifa (kama ulivyo wa Bandari), vipengele kama pande husika za mkataba; majukumu ya kila pande; haki za kila pande; muda wa mkataba; sheria zitumikazo; utatuzi wa migogoro; uhuishaji wa mkataba; taarifa za kimkataba; kuvunja mkataba;usiri na haki miliki ni zaidi ya mambo muhimu. Yote haya yana ukakasi uletao wasiwasi na yamekosa majibu.

Sasa, Serikali inaposhindwa kutoa majibu/ufafanuzi juu ya mikataba hii ya Bandari, sisi wananchi tuchukue hatua gani?

Kosa lolote kuhusu Bandari ni hatari!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Chato, Geita)
Mkuu

The best alternative to get rid of this nuisance is to replace the regime with a strong opposition movement to reshape the mishap otherwise Tanzanians risk losing every valuable resource for some classified individuals' personal gain at the normal citizens' tax paying burden.

The current regime has lost moral authority to decide on behalf of 'Wananchi' if we can clearly make it.

Once you privatize the country's main economic generation sources such as port, airport, energy, natural resources, minerals, e-government, etc you are inadvertently exposed to HIGH-security threats with minimal preventive measures.

Tanzanian society should think in-depth and broadly to discern the adverse consequences that are potentially at their risk the soonest as a mess is taken on board.

I am waiting there to witness an astray momentum expected to shadow the lovely soil...
 
Mkuu

The best alternative to get rid of this nuisance is to replace the regime with a strong opposition movement to reshape the mishap otherwise Tanzanians risk losing every valuable resource for some classified individuals' personal gain at the normal citizens' tax paying burden.

The current regime has lost moral authority to decide on behalf of 'Wananchi' if we can clearly make it.

Once you privatize the country's main economic generation sources such as port, airport, energy, natural resources, minerals, e-government, etc you are inadvertently exposed to HIGH-security threats with minimal preventive measures.

Tanzanian society should think in-depth and broadly to discern the adverse consequences that are potentially at their risk the soonest as a mess is taken on board.

I am waiting there to witness an astray momentum expected to shadow the lovely soil...
Habari za Nairobi ndugu?
 
Thubutu yake!! aonekane kwenye maandamano gani?

Alafu anasema Serikali haijajibu haijajibu kivipi? Hakusikiliza hoja za Serikali Bungeni? Hakusikiliza majibu ya Prof Mbarawa?

Sasa anasema Serikali ijibu ijibu nini? kipi hakijatolewa ufafanuzi? Au anataka leo akiongea huyu kesho Serikali wajitokeze pia? Huo si utakuwa mchezo wa kitoto sasa?
Wakishindwa kufikisha mapato ya asilimia 67, tuwafanyaje na wao maana mbwembwe kama hizo tumeshazisikia sana na hazina tija kwa mwananchi?
 
Back
Top Bottom