Sakata la Bandari: Tunafungua Shauri Mahakama Kuu kwa Hati ya Dharura

Sakata la Bandari: Tunafungua Shauri Mahakama Kuu kwa Hati ya Dharura

Hivi mtu hata hajawahi kuandika Concept Note, na sio Proposal halafu anaitwa Docta.

Docta Musu-kumad ndio Think Tank ya Tanganyika.

Ma Profesa wako Kimyaaa.
Yaani nahuzunika kuwa Mwafrika Mweusi.
Ni kizazi Kipumbavu sijawahi kushuhudia.
Ajuza Mzee anawauza mnamwangalia tu. Maprofesa wa kusubiri Mshahala wa mwisho wa Mwezi.
 
Bunge la kuhuni sana lile.

Hakuna watu mule ni matutusa tu yamejaa.
 
Rwan
Rwanda wao wamesaini ujinga kama huu??
Hakuna nchi inaojitambua kama UAE, Saudi Arabia, USA, UK, EU itasaini mkataba wa kijinga kama huu.

Halafu unatetewa na wabunge badala ya kupingwa!

Haiwezi kutoka nchi yoyote duniani inayojitambau.
 
Kwani mkataba wa TICTS ni sawa na wa DPWORLD? huoni kuwa wa ticts umeisha lkn wa dpw utakuwa wa milele, nakushauri uache kufuatilia vitu ambavyo viko juu ya uwezo wako, kama na hilo dogo tu limekushinda.
Upuuzi mtupu. Makubaliano ni mkataba? Porojo za kisiasa na tafsiri ya kisheria ni vitu viwili tofauti.
 
Huwezi kufanya mkataba kama huu na mtu yoyote duniani kuhusu vitu vyako binafsi.

Ni mkataba wa upande mmoja. Wengine wawakilishi wetu wamesaini tu. Hawajali hata kimoja, kila kitu kilichoandikwa. Hawajausoma.
 
Sakata la bandari zetu kupigwa mnada wakili Boniface Mwabukusi Boniface Mwabukusi amefanya uchambuzi wa mwisho na kuanisha mapungu ya kisheria yaliyopo kwenye mkataba huo.

Kwamba kutokana na mapungufu hayo ya kisheria tutaenda Mahakama Kuu Tanzania kufungua shauri kwa hati ya dharura. Tutaiomba Mahakama imuamuru mara moja Waziri mwenye dhamanakuurejesha Mkataba ule Bungeni ukiwa na MoU, IGA na Mchanganuo wa Mradi ili Bunge na wananchi wapate haki yao ya Kikatiba ya Kutoa maoni.

Kwamba lengo la shauri hilo ni:

(a) kuwezesha na Kutoa Muda wa Kutosha wa Bunge Kuujadili na kuufanyia Marekebisho.

(b) Kutoa Muda wa Kutosha kwa wadau na Wananchi kuuelewa, kuujadili na kutoa Maoni yao kuhusu mambo yanayojumuishwa katika IGA.

(c) Kuweka Utaratibu maalum ambao wadau wote (ikiwemo Indegenous people) ambao kwa msingi wa Maisha yao, Maeneo yao, jamii yao na shughuli zao Kiuchumi zimefungamana na Maziwa. Kwamba jamii yao na shughuli zao Kiuchumi zimefungamana na Maziwa , bahari ,Strategic Economic Zone ambazo utekelezwaji wa IGA hii unaweza moja kwamoja kwa kwanjia zisizo za moja kuathiri maisha, Mila, itikadi za watu hawa ni (Wenyeji wa asili wa Maeneo ambayo mradi inayojumuishwa katika IGA –katika ukanda wa bahari na maziwa makuu.

(d) Ili kuondoa Utata uliopo Mahakama iamuru serikali kupitia Waziri mwenye dhamana kutoa IGA katika lugha ya Kiswahili na kuisambaza kwa wadau na wananchi wote pamoja na kuzingatia matakwa yote ya kisheria kwa mujibu wa Mikataba ya namna hii.

(e) Kuboresha Makubaliano ya IGA na kuweka bayana

i. Ukomo na mawanda ya Mradi na utekelezwaji wa shughuli zote
zilizokubaliwa katika mradi husika

ii. Kuweka kifungu cha kuongoza uvunjaji wa Mkataba.

iii. Kuondoa Vifungu vinavyoashiria umilele.

iv. Kuondoa Vifungu vyote ambavyo moja kwa moja au kwa matokeo yake vinaondoa Haki ya nchi ya umiliki wa raslimali (Sovereignty), haki ya nchi kufanya ushindani na fursa ya nchi kuruhusu wawekezaji wengine katika eneo la uwekezaji wa bandari.

v. Kuhakikisha Uzingatiwaji wa Sheria Zingine za Nchi na kuhakikisha kwamba Mkataba huu hauwi juu ya Katiba ya nchi, sheria za Ardhi na sheria zinazolinda raslimali asili za nchi.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Kagame kaifungua nchi yake kwa uwekezaji wa DP World wakati huku bongo kina Mwabukusi wakiwajaza ujinga mamilioni ya watanzania!.

Huu ni zaidi ya upuuzi wa kiwango cha lami. Siasa nyepesi zinapochukua nafasi ya uwekezaji wenye lengo la kuipeleka nchi katika uchumi wa kweli wa kati.

Hiyo reli inajengwa kwa thamani ya trilioni 15, kwa akili inayofikiria mambo kwa kina hiyo pesa inarudishwa kwa mamlaka za kiserikali kuja na wawekezaji wa viwango vyenye faida pana kuliko pesa iliyotumika.

Dunia haisubiri eti mpaka wajinga wapate akili sahihi, yenyewe inasonga mbele.
 
Sakata la bandari zetu kupigwa mnada wakili Boniface Mwabukusi Boniface Mwabukusi amefanya uchambuzi wa mwisho na kuanisha mapungu ya kisheria yaliyopo kwenye mkataba huo.

Kwamba kutokana na mapungufu hayo ya kisheria tutaenda Mahakama Kuu Tanzania kufungua shauri kwa hati ya dharura. Tutaiomba Mahakama imuamuru mara moja Waziri mwenye dhamanakuurejesha Mkataba ule Bungeni ukiwa na MoU, IGA na Mchanganuo wa Mradi ili Bunge na wananchi wapate haki yao ya Kikatiba ya Kutoa maoni.

Kwamba lengo la shauri hilo ni:

(a) kuwezesha na Kutoa Muda wa Kutosha wa Bunge Kuujadili na kuufanyia Marekebisho.

(b) Kutoa Muda wa Kutosha kwa wadau na Wananchi kuuelewa, kuujadili na kutoa Maoni yao kuhusu mambo yanayojumuishwa katika IGA.

(c) Kuweka Utaratibu maalum ambao wadau wote (ikiwemo Indegenous people) ambao kwa msingi wa Maisha yao, Maeneo yao, jamii yao na shughuli zao Kiuchumi zimefungamana na Maziwa. Kwamba jamii yao na shughuli zao Kiuchumi zimefungamana na Maziwa , bahari ,Strategic Economic Zone ambazo utekelezwaji wa IGA hii unaweza moja kwamoja kwa kwanjia zisizo za moja kuathiri maisha, Mila, itikadi za watu hawa ni (Wenyeji wa asili wa Maeneo ambayo mradi inayojumuishwa katika IGA –katika ukanda wa bahari na maziwa makuu.

(d) Ili kuondoa Utata uliopo Mahakama iamuru serikali kupitia Waziri mwenye dhamana kutoa IGA katika lugha ya Kiswahili na kuisambaza kwa wadau na wananchi wote pamoja na kuzingatia matakwa yote ya kisheria kwa mujibu wa Mikataba ya namna hii.

(e) Kuboresha Makubaliano ya IGA na kuweka bayana

i. Ukomo na mawanda ya Mradi na utekelezwaji wa shughuli zote
zilizokubaliwa katika mradi husika

ii. Kuweka kifungu cha kuongoza uvunjaji wa Mkataba.

iii. Kuondoa Vifungu vinavyoashiria umilele.

iv. Kuondoa Vifungu vyote ambavyo moja kwa moja au kwa matokeo yake vinaondoa Haki ya nchi ya umiliki wa raslimali (Sovereignty), haki ya nchi kufanya ushindani na fursa ya nchi kuruhusu wawekezaji wengine katika eneo la uwekezaji wa bandari.

v. Kuhakikisha Uzingatiwaji wa Sheria Zingine za Nchi na kuhakikisha kwamba Mkataba huu hauwi juu ya Katiba ya nchi, sheria za Ardhi na sheria zinazolinda raslimali asili za nchi.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Kama kuna hitajika kuchangia leteni namba ya kucnangia hapa
 
Aibu kabisa, kwa nn hawataki kusikiliza matakwa ya wananchi?

Kwanini wanataka kuwakatili watanzania? Watanzania wanachohoji kina mantiki kubwa sana!! Huu mkataba upewe muda wa marejeo!! Hakuna anayekataa DP World ila waweke mkataba unaoleweka!!

Kweli kwa dunia ya Leo utaingia mkataba wa nchi wa hovyo namna hiyo na watu wakae kimya tu? Hapana?

Pawepo na marejeo mkataba maana watanzania kwa miaka ijayo lazima kutakuwa na kilio na tayari itakuwa hamna namna ya kurudi nyuma!!

Hii nchi ni yetu wote, wanaongoza wamepewa dhamana ya watanzania ni sii kwamba wao ni tofauti sana!!
Unajua kuwa huwa mkataba usioeleweka unakwenda kuzaa mikataba kadhaa yenye kueleweka?.

Utekelezaji wa hicho kilichopelekwa bungeni unakwenda kutoa njia kwa uwepo wa mikataba ya kibiashara kati ya DP World na taasisi za humu nchini zenye kufuata sheria za ndani.

Haupo uwezekano wa mkataba uliopelekwa bungeni kuwa ndio huo unaotumika huku uraiani. Elimu pana inatakiwa iwafikie wananchi juu ya aina hii ya biashara kwani ni mara ya kwanza kufanyika hapa nchini hivyo maoni mengi ya wadau ni kuona kama vile tunataka kuibiwa.
 
Sakata la bandari zetu kupigwa mnada wakili Boniface Mwabukusi Boniface Mwabukusi amefanya uchambuzi wa mwisho na kuanisha mapungu ya kisheria yaliyopo kwenye mkataba huo.

Kwamba kutokana na mapungufu hayo ya kisheria tutaenda Mahakama Kuu Tanzania kufungua shauri kwa hati ya dharura. Tutaiomba Mahakama imuamuru mara moja Waziri mwenye dhamanakuurejesha Mkataba ule Bungeni ukiwa na MoU, IGA na Mchanganuo wa Mradi ili Bunge na wananchi wapate haki yao ya Kikatiba ya Kutoa maoni.

Kwamba lengo la shauri hilo ni:

(a) kuwezesha na Kutoa Muda wa Kutosha wa Bunge Kuujadili na kuufanyia Marekebisho.

(b) Kutoa Muda wa Kutosha kwa wadau na Wananchi kuuelewa, kuujadili na kutoa Maoni yao kuhusu mambo yanayojumuishwa katika IGA.

(c) Kuweka Utaratibu maalum ambao wadau wote (ikiwemo Indegenous people) ambao kwa msingi wa Maisha yao, Maeneo yao, jamii yao na shughuli zao Kiuchumi zimefungamana na Maziwa. Kwamba jamii yao na shughuli zao Kiuchumi zimefungamana na Maziwa , bahari ,Strategic Economic Zone ambazo utekelezwaji wa IGA hii unaweza moja kwamoja kwa kwanjia zisizo za moja kuathiri maisha, Mila, itikadi za watu hawa ni (Wenyeji wa asili wa Maeneo ambayo mradi inayojumuishwa katika IGA –katika ukanda wa bahari na maziwa makuu.

(d) Ili kuondoa Utata uliopo Mahakama iamuru serikali kupitia Waziri mwenye dhamana kutoa IGA katika lugha ya Kiswahili na kuisambaza kwa wadau na wananchi wote pamoja na kuzingatia matakwa yote ya kisheria kwa mujibu wa Mikataba ya namna hii.

(e) Kuboresha Makubaliano ya IGA na kuweka bayana

i. Ukomo na mawanda ya Mradi na utekelezwaji wa shughuli zote
zilizokubaliwa katika mradi husika

ii. Kuweka kifungu cha kuongoza uvunjaji wa Mkataba.

iii. Kuondoa Vifungu vinavyoashiria umilele.

iv. Kuondoa Vifungu vyote ambavyo moja kwa moja au kwa matokeo yake vinaondoa Haki ya nchi ya umiliki wa raslimali (Sovereignty), haki ya nchi kufanya ushindani na fursa ya nchi kuruhusu wawekezaji wengine katika eneo la uwekezaji wa bandari.

v. Kuhakikisha Uzingatiwaji wa Sheria Zingine za Nchi na kuhakikisha kwamba Mkataba huu hauwi juu ya Katiba ya nchi, sheria za Ardhi na sheria zinazolinda raslimali asili za nchi.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
Mnajisumbua mwacheni mama aupige mwingi mpaka umwagike
 
Back
Top Bottom