Sakata la Bundles - Suluhisho

Nimeanza kuelewa kwanini Magufuli aliamua kuanza kuipa uwezo na mtaji TTCL ili iweze ku dominate market kutokana na good and quality products nad service care ili wengine waweze kuiga kwao na mwisho wa siku mnufaika mkubwa ni sisi watumiaji wa mwisho/wa chini/mwananchi wa kawaida. Ila toka 21/03/2021 mambo ya CARTEL ndio yamerudi kutunyonya. Tuna safari ndefu sana
 
100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…