Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Chezeiya ubuyu na mambo ya shilawadu, Daudi alikuwa anawafanyia recycling tu ya hawa wasanii had issue ya masogange ilivo mbumbulika, tena maso amshukuru Daudi kumsitiri maana hata chumba cha kulala hakuwa nacho.Aisee watu wana ubuyu hapa mjini hadi unaweza kupagawa kabisa
Sasa hela za UPUNDA alikuwa halipwi?Chezeiya ubuyu na mambo ya shilawadu, Daudi alikuwa anawafanyia recycling tu ya hawa wasanii had issue ya masogange ilivo mbumbulika, tena maso amshukuru Daudi kumsitiri maana hata chumba cha kulala hakuwa nacho.
Dah sikuizi hata wale wachumia tumbo wanajiita makada.Mmh!! Uwoya siku hizi unapenda sana kiki,yani hupitwi
Masogange ule mzigo mkubwa waliobeba hela waliyopewa haikufika million tano yeye na nduguye melisa, maana South walibanwa had kuingizwa shimoni mwa siafu wataje mzigo wa nani. Upunda wa kibongo huzulumiwa hela tofauti na wanaopeleka ka China na US ambao kilo moja kubeba dollar alfu kumi.Sasa hela za UPUNDA alikuwa halipwi?
Alaaa, sasa kuna faida gani kama hela yenyewe hata milioni 5 haifiki, si ujinga huo?Masogange ule mzigo mkubwa waliobeba hela waliyopewa haikufika million tano yeye na nduguye melisa, maana South walibanwa had kuingizwa shimoni mwa siafu wataje mzigo wa nani. Upunda wa kibongo huzulumiwa hela tofauti na wanaopeleka ka China na US ambao kilo moja kubeba dollar alfu kumi.
Wauza ngada huwatumia wasanii maana wanawalipa cheap sana, ujue wauza ngada ni mtandao hatari wanakuwa wameshawaonga watu wa airport kabisa sasa yule waliye mhonga akibadilishwa ndo unadakwa hivo. Hawa kina masogange nadhani njaa zao ndo zawafanya walipwe kidogo hivoAlaaa, sasa kuna faida gani kama hela yenyewe hata milioni 5 haifiki, si ujinga huo?
Hivi hawa wanaobebeshwa huwa wanarubuniwa kitu gani labda hadi wanabeba?mfano mtu anakubali kupeleka mzigo china labda
Maisha magumu mkuu unaambiwa hata chumba amepangiwa na daudiAlaaa, sasa kuna faida gani kama hela yenyewe hata milioni 5 haifiki, si ujinga huo?
Hivi hawa wanaobebeshwa huwa wanarubuniwa kitu gani labda hadi wanabeba?mfano mtu anakubali kupeleka mzigo china labda
Ushamuona ana drama za ajabu ajabu kama sepenga??Kipi kilikuwa kinakufanya umuone wa maana?
Maisha ya kuigiza yana wakosti hawa akina dada,si kingine......wakibeba hayo matakataka wanaenda kumalizia hela kwenye malls huko walikopeleka mizigoMaisha magumu mkuu unaambiwa hata chumba amepangiwa na daudi
Aiseee, nibebe mzgo nilipwe chini ya mil 30.......wakat najua kabisa mzgo ni wa mil 150 ni USENGEREMA wa hali ya juuWauza ngada huwatumia wasanii maana wanawalipa cheap sana, ujue wauza ngada ni mtandao hatari wanakuwa wameshawaonga watu wa airport kabisa sasa yule waliye mhonga akibadilishwa ndo unadakwa hivo. Hawa kina masogange nadhani njaa zao ndo zawafanya walipwe kidogo hivo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lazima atetee maana alikua chakula cha yule aliepata fa fa fa!! Umenichekesha hiyo fa fa fa ![emoji23][emoji23]Wale wale kina nani? Waliozungusha yani? Yani fa fa faa?? Auuu ?? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Watanzania kwa hali ngumu ndo hudaganyika na ndo wengi waliokamatwa sana kwa gandaAiseee, nibebe mzgo nilipwe chini ya mil 30.......wakat najua kabisa mzgo ni wa mil 150 ni USENGEREMA wa hali ya juu
Yeah,labda hali mbaya ya maisha ndo inachangia ila kama wanalipwa chini ya milioni 10 basi ni tatizoWatanzania kwa hali ngumu ndo hudaganyika na ndo wengi waliokamatwa sana kwa ganda
kwakweliBatuli nilikua namuona wa maana ila kumbe ndiyo wale wale, ila uwoya kaongea point wafanye kazi zinazowahusu mambo ya siasa wawaachie wakina kinana
Shigongo tu hakulipwawanageukana wenyewe kwa wenyewe na wema atakua hajaongea uongo sema batuli lazima atetee si alikua chakula ya daudi
Na Bashite kapita hapo?wanageukana wenyewe kwa wenyewe na wema atakua hajaongea uongo sema batuli lazima atetee si alikua chakula ya daudi
Hivi unaposema amewachakaza una maanisha nini mkuuu.Daudi amewachakaza mno Bongo movie kina wolper hawa wasanii ni jipu kweli