Sakata la Diamond na Hamissa: Wanafiki ndio wapo kazini

Sakata la Diamond na Hamissa: Wanafiki ndio wapo kazini

3e96867051dca6587d469ae90d3ba9cd.jpg

Huku domo anamsifia zari

9c87ff8f9a27b2c583bbec0d328f3bcb.jpg

Huku hamisa anamwita mwanae baby dee

Ngoja tuone hii movie itaishia wapi maana hakuna mwanzo uso na mwisho ila naona kama zari anachezewa akili vile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahahaha ujue kuna Vitu inabidi uanze kucheka tena unacheka kwa dharau kubwaa...Kama sahizi unamsikia sana Hamissa mobeto ujue kuwa Wanafiki wapo kazini kuhakikisha wanamtingisha Diamond katika mahusiano yake na Target ni kumuumiza ZARI

Kama ZARI Atakubali kutikiswa na Wanafiki kupitia HAMISSA mobeto basi atakuwa amejishushia heshima sana.....Mimi Zari mbali ya kumkubali kama mwanamke mtafutaji na mkubali pia kama mwanamke anae pitia challenge nyingi sana tena na kubwa kubwa.....wakati wa Mimba ya TIFFAH alisemwa sanaa hadi nikajiuliza huyu mtoto atakae zaliwa atakuwaje? Lakini Mungu si Mwanadamu....kapitia misiba 2 mikubwa hivyo hizi kelele za kuwa HAMISSA ana Mtoto wa Diamond Sio za kushangaza sanaaaa!!!

Watu wameanza kumjua HAMISSA na DIAMOND baada ya Wimbo wa Salome na Ile birthday lakini ukweli ni kwamba HAMISSA na diamond Wameanza urafiki kabla hata diamond hajawa na Wema Sepetu hivyo kama diamond angemuhitaji Hamissa alikuwa anampata toka kitambo!! ASINGEENDA KWA PENNY......

Hamissa Kaoneka Kwenye video ya Diamond ya MAWAZO wimbo ulitoka 2012 sijui 2013 kitambo hichoooooo HAMISSA walikuwa washkaji na Diamond kabla ya wema na penny

Ndio maana nasema Kuwa Wanafiki ndio wanao eneza story za Diamond na HAMISSA ........Hamissa hajaanza kupenda kazi za diamond leo! Sasa hizo story za kuwa Hamissa ana Mimba Ya diamond sijui ana mtoto wa Diamond hizo story za KUOKOTWA .....Ila Diamond atachelewa kupotea kwenye Game sababu ni kama hizii anaongelewa kuliko msanii yeyote yulee

Hili nalo litapitaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Bongo majungu tu Siku zote.
 
Aaah Bongo bana, acha tu yaan ukiwa celeb bora u keep low profile aisee maana utaish kwa shida,sana. Enzi zangu wakati naigiza muvi ya shamba kubwa haya mambo hayakuepo kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnafiki nambari uno niMange jamni!! Huyu mama sijui Zari alimkosea nini!! Huwa anatafuta kijisababu chochote amdhalilishe au kumfedhehesha Zari. Leo kamnaaaanga Zari wa watu huko insta kisa zati kasema wasimtag mtoto wake kwenye nyuzi za misa.
Zari naye angekaa kimya tuu, kwani kimya ni jibu la mjinga.
Wema is super cool, seems kesha move on. Ila dada ake wa kuchovya Mange naona atafanya sherehe siku mondi na Zari wakiachana, utadhani yee atafaidika. Roho ya huyu dada chibokooo

Wivu ameona age mate wake anamaendeleo makubwa south na Uganda na kiserengeti boy juu tena anapesa nyingi mpaka kanunuliwa nyumba wakati yeye kadanga wazungu lakini hana hata banda la mbwa anaringia mali za urithi
 
Wale waliokua wanamsema diamond hana uwezo wa kumbebesha mimba mwanamke eti katoa kafara uzazi wake. Ndio hao walioshupalia kua mtoto wa hamisa wa diamond. Leo hii wanasema tiffa kapata mdogo mwingine wakati walisema tiffa mtoto wa katunzi
Huu nao ni upepo kama pepo nyingine
Ndo vichupi kunuka hivo diamond anavisema
 
Wenye wivu au nyongo na maisha ya Zari wapambane na hali zao, ila wakati wanapambana wasisumbue hali ya Zari maana watachelewa kuyanya yao..
 
Acha kutulaghai....Watu walianza kumjua Hamisa kipindi aliposhiriki miss tanzania....


Pili Domo kama mwanaume bachela wa kitanzania /kiafrika (baadhi) kuzaa na Hamisa wala sio kitu cha ajabu wala cha kishangaza...... ukizingatia domo hajaoa anaweza kanyaga popote pale akazaa hata watoto 20 kwa mama tofautitofauti

Halafu wote 3 wangekuwa wanafanya mahusiano yao ya kimapenzi kuwa siri haya yote yasingetokea......... ndio gharama za umaarufu na kupenda kuwa midomoni mwa watu

Anyway

Acha wapambane na hali zao
 
Watu kama nyinyi ndio mliomuharibia Diamond
 
Back
Top Bottom