Tulitishwa sana na "bwana yule" wengi wetu tukawa wakimbizi. Jiulize Lissu yuko wapi? Ambae hajatishika wakati ule ujuwe ni sukuma gang tu.FaizaFoxy umepotea kipindi chote cha utawala JPM naona umerudi unaanzia ulikoishia.
Tumpe GSM au Dangote aendeshe hii Bandari, hawa jamaa ni akili kubwa sana...!Nimeona Rais akisema Serikali kutafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar es Salaam ili kuleta ufanisi na kuongeza mapato.
Ni kweli tunahitaji mbia wa kuiendesha bandari ya Dar? Sisi wenyewe imeshindikana kabisa?
Tumewahi kufanya hivi kwenye reli, shirika la ndege lakini tunajua kilichotukuta.
Hii haiwezi kuja kuiua hii bandari kwa maana tunajuana vizuri sisi hasa linapokuja suala la maslahi.
--
Rais Samia Suluhu amesema maboresho yanafanyika kwenye Bandari ya Dar es Salaam ikiwa ni pamoja na kupata mbia wa kuiendesha, kubadili uongozi na miundombinu ili kuongeza ufanisi.
Amesema robo tatu ya bajeti ya nchi inaweza kutegemea bandari endapo zitafanya kazi inavyotakiwa.
GSM akili kubwa?[emoji23]Tumpe GSM au Dangote aendeshe hii Bandari, hawa jamaa ni akili kubwa sana...!
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Ndiyo GSM ni akili kubwa sana, enzi za Shopping Centre hukumbuki? Sisi wafanyabiashara kariakoo tulineemeka sanaGSM akili kubwa?[emoji23]
Its like am Witnessing A Crash in Slow Motion..., but maybe am just a Worrisome Person...
The Future Tanzania that I see is for the Few to have Wealthy which they can not Consume it for generations to Come..., and for the Majority to never even know when their next meal will come from.... Its Scary to Say the Least; I wonder if this was the dream of the Founders of this Once a Great Nation...
Umesahau netgroup solutions ya Tanesco. Taasisi nyingi zitabinafsishwa, stand up.Nimeona Rais akisema Serikali kutafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar es Salaam ili kuleta ufanisi na kuongeza mapato.
Ni kweli tunahitaji mbia wa kuiendesha bandari ya Dar? Sisi wenyewe imeshindikana kabisa?
Tumewahi kufanya hivi kwenye reli, shirika la ndege lakini tunajua kilichotukuta.
Hii haiwezi kuja kuiua hii bandari kwa maana tunajuana vizuri sisi hasa linapokuja suala la maslahi.
--
Rais Samia Suluhu amesema maboresho yanafanyika kwenye Bandari ya Dar es Salaam ikiwa ni pamoja na kupata mbia wa kuiendesha, kubadili uongozi na miundombinu ili kuongeza ufanisi.
Amesema robo tatu ya bajeti ya nchi inaweza kutegemea bandari endapo zitafanya kazi inavyotakiwa.
Ililetwa kwa kazi moja tu: kumtoa DG, alie iga wakubwa kuchota hela kila weekend pale Tanesco.Unaikumbuka Net Group Solutions?
Inawezekana. Kumbuka kitu kimoja "You're either with us or you are against us" - George Bush.Je umesha jiuuliza Kama tuna watu wanaojua kuingia Mikataba ya win win na Makampuni binafsi!? Kuingia Ubia siyo kiti kibaya,lakini je hawa Viongozi wetu wanaweza wakasimamia Mikataba vizuri!? Maana Africa tunapigwa sana Mali ghafi zetu kutokana na Mikataba mibovu walioingia hao Waheshimiwa wetu!!?
Netgroup walikuwaa wahuni wachache wa hapahapa waliozuga na kuja na wazungu waaliowaajiri. Ule ulikuwa upigaji tu. Uliona ilidumu ilipostukiwa?Umesahau netgroup solutions ya Tanesco. Taasisi nyingi zitabinafsishwa, stand up.
Serikali yenye maana hupangiwa na raia zake binafsi nini cha kufanya. Ndiyo maana ya serikali sikivu.Ila kuna biashara zingine si nzuri kuwapa watu binafsi kuziendesha, maana hao watu binafsi wakisha zikamata hizo biashara muhimu, wao ndiyo watakua wanaipangia Serekali yako nini cha kufanya,badala ya Serekali kuwapangia wao! Uchumi wa Dunia ya leo umeja Ma Mafia kibao,na wako tayari kufanya lolote lile ili yao yaeende!!
Wenzetu wakibahatika kua na putin, xian wanaenda nae kuleta maendeleo. Sisi tukipata magufuli wetu unasikia serikali sikivu. Huku kwetu unafikiri serikali kama sio sikivu kwa mabwanyenye wakala wa ubeberu wa nje itakua sikivu kwa nani? Hawa raia wanyonge?Serikali yenye maana hupangiwa na raia zake binafsi nini cha kufanya. Ndiyo maana ya serikali sikivu.
Sio kweliNdiyo GSM ni akili kubwa sana, enzi za Shopping Centre hukumbuki? Sisi wafanyabiashara kariakoo tulineemeka sana
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Wenzetu wakibahatika kua na putin, xian wanaenda nae kuleta maendeleo. Sisi tukipata magufuli wetu unasikia serikali sikivu. Huku kwetu unafikiri serikali kama sio sikivu kwa mabwanyenye wakala wa ubeberu wa nje itakua sikivu kwa nani? Hawa raia wanyonge?
Huku kwetu tunahitaji 'Popular authoritarianism' uliberali hautupeleki popote. Tunahitaji kina thomas sankara, kina gaddafi, kina samora machel. Ona south africa ya mandela. Uhuru wa bendera lakini ukaburu bado haujatikiswa.
Anataka kuuwa bandari ya dar ijengwe ya bagamoyo JK behind this deal, take my word.Nimeona Rais akisema Serikali kutafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar es Salaam ili kuleta ufanisi na kuongeza mapato.
Ni kweli tunahitaji mbia wa kuiendesha bandari ya Dar? Sisi wenyewe imeshindikana kabisa?
Tumewahi kufanya hivi kwenye reli, shirika la ndege lakini tunajua kilichotukuta.
Hii haiwezi kuja kuiua hii bandari kwa maana tunajuana vizuri sisi hasa linapokuja suala la maslahi.
--
Rais Samia Suluhu amesema maboresho yanafanyika kwenye Bandari ya Dar es Salaam ikiwa ni pamoja na kupata mbia wa kuiendesha, kubadili uongozi na miundombinu ili kuongeza ufanisi.
Amesema robo tatu ya bajeti ya nchi inaweza kutegemea bandari endapo zitafanya kazi inavyotakiwa.