Sakata la DP WORLD: Rais Samia asema Serikali itatafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi

Sakata la DP WORLD: Rais Samia asema Serikali itatafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi

FaizaFoxy umepotea kipindi chote cha utawala JPM naona umerudi unaanzia ulikoishia.
Tulitishwa sana na "bwana yule" wengi wetu tukawa wakimbizi. Jiulize Lissu yuko wapi? Ambae hajatishika wakati ule ujuwe ni sukuma gang tu.
 
Watafute hata CEO wa kigeni aweke mifumo vizuri
 
Nimeona Rais akisema Serikali kutafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar es Salaam ili kuleta ufanisi na kuongeza mapato.

Ni kweli tunahitaji mbia wa kuiendesha bandari ya Dar? Sisi wenyewe imeshindikana kabisa?

Tumewahi kufanya hivi kwenye reli, shirika la ndege lakini tunajua kilichotukuta.

Hii haiwezi kuja kuiua hii bandari kwa maana tunajuana vizuri sisi hasa linapokuja suala la maslahi.

--
Rais Samia Suluhu amesema maboresho yanafanyika kwenye Bandari ya Dar es Salaam ikiwa ni pamoja na kupata mbia wa kuiendesha, kubadili uongozi na miundombinu ili kuongeza ufanisi.

Amesema robo tatu ya bajeti ya nchi inaweza kutegemea bandari endapo zitafanya kazi inavyotakiwa.

Tumpe GSM au Dangote aendeshe hii Bandari, hawa jamaa ni akili kubwa sana...!

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Its like am Witnessing A Crash in Slow Motion..., but maybe am just a Worrisome Person...

The Future Tanzania that I see is for the Few to have Wealthy which they can not Consume it for generations to Come..., and for the Majority to never even know when their next meal will come from.... Its Scary to Say the Least; I wonder if this was the dream of the Founders of this Once a Great Nation...

Tutaishia kuwa kama Nigeria au Kenya. Familia chache na wageni kumilki kila kitu.

Migogoro ya ardhi, ukabila, udini, kitabaka. Uhalifu kutamalaki.
 
Nimeona Rais akisema Serikali kutafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar es Salaam ili kuleta ufanisi na kuongeza mapato.

Ni kweli tunahitaji mbia wa kuiendesha bandari ya Dar? Sisi wenyewe imeshindikana kabisa?

Tumewahi kufanya hivi kwenye reli, shirika la ndege lakini tunajua kilichotukuta.

Hii haiwezi kuja kuiua hii bandari kwa maana tunajuana vizuri sisi hasa linapokuja suala la maslahi.

--
Rais Samia Suluhu amesema maboresho yanafanyika kwenye Bandari ya Dar es Salaam ikiwa ni pamoja na kupata mbia wa kuiendesha, kubadili uongozi na miundombinu ili kuongeza ufanisi.

Amesema robo tatu ya bajeti ya nchi inaweza kutegemea bandari endapo zitafanya kazi inavyotakiwa.

Umesahau netgroup solutions ya Tanesco. Taasisi nyingi zitabinafsishwa, stand up.
 
Je umesha jiuuliza Kama tuna watu wanaojua kuingia Mikataba ya win win na Makampuni binafsi!? Kuingia Ubia siyo kiti kibaya,lakini je hawa Viongozi wetu wanaweza wakasimamia Mikataba vizuri!? Maana Africa tunapigwa sana Mali ghafi zetu kutokana na Mikataba mibovu walioingia hao Waheshimiwa wetu!!?
Inawezekana. Kumbuka kitu kimoja "You're either with us or you are against us" - George Bush.

Hayo maneno yasome vizurihalafu tazama kilichompata Gaddafi na Saddam Hiussein na kinachoendelea kuwatesa Iran sasa hivi.

Magufuli alijidai kuminya kwenye dhahabu, akabanwa kidogo kidogo mpaka mwenyewe akaachia. Kwa maana hiyo,ukitaka bandari yako ife miaka hii basi jifanye hodari uiendeshe mwenyewe, itaminywa kidogodo mpaka ikate roho huku unaiona. Just go with the wind.


Kabla ya Maagufuli tulijidai kubana wakati wa Nyerere, tulikoma ubishi, mzee yule mpaka anang'atuka nchi ipo hoi bin taabani, masikini wa mwisho duniani. Dah tuliouona hmasikini kabla Nyerere hajang'atuka tunafahamu umasikini kama ule si kitu kizuri hata kidogo na hatutaki utukumbe tena, tusife na tai shingoni. Once was mpore than enough.

Namuunga mkono mama Samia 100% kwenye hili.
 
Umesahau netgroup solutions ya Tanesco. Taasisi nyingi zitabinafsishwa, stand up.
Netgroup walikuwaa wahuni wachache wa hapahapa waliozuga na kuja na wazungu waaliowaajiri. Ule ulikuwa upigaji tu. Uliona ilidumu ilipostukiwa?

Sasa hivi mambo ni tofauti, hakuna kuchinjana kwa visu vyetu wenyewe.
 
Ila kuna biashara zingine si nzuri kuwapa watu binafsi kuziendesha, maana hao watu binafsi wakisha zikamata hizo biashara muhimu, wao ndiyo watakua wanaipangia Serekali yako nini cha kufanya,badala ya Serekali kuwapangia wao! Uchumi wa Dunia ya leo umeja Ma Mafia kibao,na wako tayari kufanya lolote lile ili yao yaeende!!
Serikali yenye maana hupangiwa na raia zake binafsi nini cha kufanya. Ndiyo maana ya serikali sikivu.
 
Serikali yenye maana hupangiwa na raia zake binafsi nini cha kufanya. Ndiyo maana ya serikali sikivu.
Wenzetu wakibahatika kua na putin, xian wanaenda nae kuleta maendeleo. Sisi tukipata magufuli wetu unasikia serikali sikivu. Huku kwetu unafikiri serikali kama sio sikivu kwa mabwanyenye wakala wa ubeberu wa nje itakua sikivu kwa nani? Hawa raia wanyonge?
Huku kwetu tunahitaji 'Popular authoritarianism' uliberali hautupeleki popote. Tunahitaji kina thomas sankara, kina gaddafi, kina samora machel. Ona south africa ya mandela. Uhuru wa bendera lakini ukaburu bado haujatikiswa.
 
Ndiyo GSM ni akili kubwa sana, enzi za Shopping Centre hukumbuki? Sisi wafanyabiashara kariakoo tulineemeka sana

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Sio kweli
GSM ni kivuli cha royal family, hivyo ilikua lazima wafanye vile kwa kuwa hawana vikwazo vyovyote.
Ni sawa na kusema bashite ni akili kubwa kisa tu anaweza kufanikisha au kukufanikishia jambo lolote bila shida, bila kujua tu kwa sababu yupo karibu na ofisi kubwa.
 
Wenzetu wakibahatika kua na putin, xian wanaenda nae kuleta maendeleo. Sisi tukipata magufuli wetu unasikia serikali sikivu. Huku kwetu unafikiri serikali kama sio sikivu kwa mabwanyenye wakala wa ubeberu wa nje itakua sikivu kwa nani? Hawa raia wanyonge?
Huku kwetu tunahitaji 'Popular authoritarianism' uliberali hautupeleki popote. Tunahitaji kina thomas sankara, kina gaddafi, kina samora machel. Ona south africa ya mandela. Uhuru wa bendera lakini ukaburu bado haujatikiswa.


Kwanini nitetemeke kwa hasira? Hujaoona pesa za Watanzania zimeenda kujenga Uwanja wa ndege wa Kimataifa pasipostahiki?

Nadhani ulishindwa hata kutetemesha makalio.
 
Nimeona Rais akisema Serikali kutafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar es Salaam ili kuleta ufanisi na kuongeza mapato.

Ni kweli tunahitaji mbia wa kuiendesha bandari ya Dar? Sisi wenyewe imeshindikana kabisa?

Tumewahi kufanya hivi kwenye reli, shirika la ndege lakini tunajua kilichotukuta.

Hii haiwezi kuja kuiua hii bandari kwa maana tunajuana vizuri sisi hasa linapokuja suala la maslahi.

--
Rais Samia Suluhu amesema maboresho yanafanyika kwenye Bandari ya Dar es Salaam ikiwa ni pamoja na kupata mbia wa kuiendesha, kubadili uongozi na miundombinu ili kuongeza ufanisi.

Amesema robo tatu ya bajeti ya nchi inaweza kutegemea bandari endapo zitafanya kazi inavyotakiwa.

Anataka kuuwa bandari ya dar ijengwe ya bagamoyo JK behind this deal, take my word.
 
Tusikae kimya sasa kusubiri miaka 10 ijayo Rais wetu aandike Kitabu cha kujutia kuingia mkataba huu mbovu wa Bandari, tumkosoe mapema ili akija kuandika kitabu hicho aseme nilishauriwa ila nilikataa Ushauri"-Baba Paroko wetu leo 27/08/2023
 
Ushaambiwa wafanyakazi wataopinga kuhamia DP WORLD Watahamishiwa Ukerewe halafu bado unauliza tena !
 
Back
Top Bottom