Namna pekee sio kutafuta mbia - ni kuondoa governmental oversigh!!! Bodi ya Bandari ni jambo la kisiasa na bahati mbaya ndio inapeleka maazimio yake yasiyozingatia taalum na biashara kwa mkurugenzi kwa utekelezaji!!
Bodi ni mkono wa serikali katika jambo la kitaalum! Na sio sahihi coz hata huyo mbia hana mamlaka kuliko Bodi.
Ni wazi hatujui bado tunataka nini!
Bodi ni mkono wa serikali katika jambo la kitaalum! Na sio sahihi coz hata huyo mbia hana mamlaka kuliko Bodi.
Ni wazi hatujui bado tunataka nini!