Sakata la Fei Toto, Yanga inachekesha na kusikitisha

Yondani anaidai yanga
Lamine moro anaidai yanga
Carlinyo aliondoka anadai
Tambwe aliwapeleka CAS
ali sonso amefariki anaidai yanga
Baadhi ya wachezaji wa kigeni ndio kidogo wana uwezo wa kudai stahiki ila wenyeji wanadhulumiwa sana ukidai haki unageuziwa kibano.
 

Kwa uelewa wako upo sahihi
 
kunywa soda upunguze makali ya maisha!YANGA inakutesa ukiwa wapi??hahaha
 
CAS haina utaratibu wa press unasema, kwa nini haina utaratibu wa press wakati kulingana na wewe kutokufanya press unakua unaficha vitu, Je ni sahihi tukisema majibu yote ya CAS yana ukakasi kwa kua hayana press conference?

Unasema CAS wanatuma majibu kwa TFF iyasome kwa umma, umewahi kuona mangapi wameitisha press conference kushare? Maana kesi nyingi tuu zimewahi hamuliwa za ex-players wa Simba na Yanga against them, je TFF iliitisha press conference kushare majibu ya CAS kwa Yanga against Morrison?
 
Kwanini swala hili TFF imeamua kulifanya siri haitaki kutoa mchanganuo wa kanuni zilizotumika kuhukumu pamoja na sheria aliyovunja Feisal kila mtu aone

Hiyo ndio hoja yangu mimi
Wamesema kila kitu kitawekwa wazi Jumatatu ya tarehe 6 March 2023.
 
HUna hoja. Umeweka hisia zako badala ya uhalisia
 
Kwenye kesi ya Msuva Simon Vs Wydad chama cha soka Morroco kilitumiwa majibu na CAS kikashare na public?
 
Umesikia Fatuma Karume? kama haumuamini na yeye basi kazi ipo

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Fri😅😅😅
 

Attachments

  • 1677857038475.jpg
    54.7 KB · Views: 4
Kupita YANGA ...unless unataka tu u- star wa simba na YANGA...
Lakini YANGA sio club ya future wa wachezaji wa ndani...
Hii ni darasa tosha kwa players mnaotaka future
 
CAS haina utaratibu wa Press lakini TFF inao that's different

CAS inapotoa taarifa ya hukumu inatumwa moja kwa moja kwenye shirikisho, shirikisho ndio wanao share hiyo habari public kwasababu yenyewe ina huo utaratibu.

Sijui kwanini umejifungia kwenye neno "pres conference?"

Hoja ya msingi ni kutaka kuonesha namna swala la ufafanuzi wa hukumu haikupaswa kuwekwa siri

TFF kupitia post zao ambazo wamekuwa wakitupa update kuhusu mwenendo wa kesi basi huko huko ndio walipaswa kutupa mrejesho wa sheria iliyotumika kuhukumu watu wajue.

Ex player gani? Onyango mwenyewe aliuandikia barua TFF na wote tulijua malalamiko yake. Wala haikuwa siri
 
Wamesema kila kitu kitawekwa wazi Jumatatu ya tarehe 6 March 2023.
Hiyo juma tatu, hawajasema kila kitu kitakuwa wazi

Wamesema watatoa ufafanuzi wa sheria iliyotumika katika hukumu, ufafanuzi huo utatumwa kwa pande mbili za wahusika (Yanga na Feisal) maana yake umma hauwezi kujua
 
Ni ajabu taasisi kudaiwa?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
wewe jamaa nmekunyooshea mikonono unabishana siku mbili on the row , unaelewshwa na watu zaidi ya 10 hauelewi kwani ukikaa kimya unapungukiwa nini? nia uonekane umeshinda?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
wapi hapo yanga wamesema wanamhitaji fei
 
wewe jamaa nmekunyooshea mikonono unabishana siku mbili on the row , unaelewshwa na watu zaidi ya 10 hauelewi kwani ukikaa kimya unapungukiwa nini? nia uonekane umeshinda?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Unaona ajabu mtu kubishana na watu 10 ila unaona kawaida watu 10 kubishana na mtu mmoja?

Mimi sibishani, huu ni mdahalo. Mwenye hoja convincing ndiye atayeweza kunishawishi

Sasa walio wengi hata aim ya hoja hawaijui wamekurupukia tu kuwa TFF imesema itatoa majibu j3
 
Huna hoja. Hivyo kukaa kimya, pia ni busara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…