Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Mzee Mwanakijiji kwani mkataba wa RDC na serikali unasemaje, kama upande mmojawapo ukishindwa kutimiza vipengele walivyokubaliana?
Kusema wataadhibiwa hii ni lugha ya kisiasa mnooo.
Obviously the president himself is involved in corruption. It is a power crisis, and power is a backbone of our economy, kwa nini Rais asifanye partnership na world reknowned players in power/energy sector kama CAT, GE ambao wana all incentives in long term working with governments worldwide? Huyu president alijua wazi kuwa hawezi kupata commissions kutoka CAT au GE kwa sababu ya transparency akaingia kimgongo mgongo na hawa watu kama Richmond. Hata hizo za songas similar deals ila tu haziku-fault.
Power crisis na kuipa richmond deal kama hii, inatupa nafasi hata bunge kuunda probe team ku-question what happened lakini state ya bunge letu ndiyo hivyo. This is enough to question the ability of the sitting president, and all the cabinet; the parliament included..
Mwanakijiji.
WAMBANDWA kauliza HAPO JUU, WHY CAN'T DRAFRTS OF THESE CONTRACTS BE AVAILABLE KWA WANANCHI WATOE MAONI YAO BEFORE EXECUTION? Je Karamagi alijibu nini?
Mwanakijiji, vipi Mzee mbona hivi sasa hukutuuliza/kutuambia kuwa utamhoji karamagi wanabodi wakachangia kukupa maswali??
Au ni mimi ndio nimepitwa na wakati!!
Kichuguu, naona umemiss sura ya 2 ibara 37 ya katiba kifungu cha 2 ambapo kinaelezea nini kifanyike endapo Rais hataweza kutekeleza wajibu wake kwa sababu ya kiafya. Kinasomeka hivi:
Endapo Baraza la Mawaziri litaona kuwa Rais hawezi
kumudu kazi zake kwa sababu ya maradhi ya mwili au ya akili,
laweza kuwasilisha kwa Jaji Mkuu azimio la kumwomba Jaji
Mkuu athibitishe kwamba Rais, kwa sababu ya maradhi ya mwili
au ya akili hawezi kumudu kazi zake. Baada ya kupokea azimio
kama hilo, Jaji Mkuu atateua bodi ya utabibu ya watu
wasiopungua watatu atakaowateua kutoka miongoni mwa
mabingwa wanaotambuliwa na sheria ya matababu ya Tanzania,
na bodi hiyo itachunguza suala hilo na kumshauri Jaji Mkuu
ipasavyo, naye aweza, baada ya kutafakari ushahidi wa kitabibu
kuwasilisha kwa Spika hati ya kuthibitisha kwamba Rais
kutokana na maradhi ya mwili au ya akili, hamudu kazi zake; na
iwapo Jaji Mkuu hatabatilisha tamko hilo ndani ya siku saba
kutokana na Rais kupata nafuu na kurejea kazini, basi
itahesabiwa kwamba kiti cha Rais ki wazi, na masharti yaliyomo
katika ibara ndogo ya (3) yatatumika.