Sakata la Kashfa ya Richmond: The Facts

Sakata la Kashfa ya Richmond: The Facts

Duh! Sijakuwa aware na hilo. I took his word for granted.

Lakini una hakika mzee? How much advance was paid?
When was it paid? Why then was Richmond still busy shopping for a credit line?

Ntakuwa disappointed kiasi ikiwa JK katudanganya.. maana mimi ni katika wale ambao bado hawajaloose hope nae.

Unataka akudanganye mara ngapi ndio u-lose hope naye?Huyu si ndiye alosema miezi kadhaa kuwa anawajua wala rushwa wote bali anawapa muda wa kujirekebisha.Hivi kiongozi serious angeweza kusema upuuzi wa namna hiy😵kay,alishasema na pengine kweli alikuwa na nia ya kuwaacha jamaa wajirekebishe.Hadi leo nini kimetokea?

LAbda utusaidie sie wengine kutujulisha kilichokupa hope about JK in the first place na kinachokufanya bado uendelee kuwa na hope na huyu jamaa
 
Naam Mlalahoi,

Simply put, to me mwaka mmoja ni mda mfupi kuloose hope completely na uongozi wa huyu jamaa... au kuwa na complete faith in him. I mean .. we are not even half way. Kwa hapo natofautiana kiasi na wale ambao they '.. never trusted the guy in the first place', kwa hiyo wakaanza kuponda from day one.. na chochote kizuri hawakioni, or they somehow find a way to doubt it.

Kwa mfano, miongoni mwa waajiriwa wengi wa serikali ni walimu, na tatizo lao kubwa lilikuwa ni mishahara kutowafikia kwa muda muafaka .. na hata kupita miezi kadhaa bila mshahara. Serikali hii imeweka bank guarantee kuwa ifikapo 23rd (or was it 27th?) of the month, benki iwe imewalipa mishahara yao on the dot.. hata kama pesa kutoka serikalini hazijaingia! Something like this goes unnoticed to friends of mine who don't have any chembe of hope with this administration .. but it means a lot to some of us kiasi tu kutufanya bado tubaki na vijihope.

Eeeh hiyo habari ya wala rushwa kama anao na anawakumbatia ni makosa, a serious leader doesn't do that. Ila matarajio yangu ni kuwa solution ni kuvipa meno vyombo husika na kuweka the right people to deal with it. Na hilo as far as I am concerned limeshaanza. Baadhi ya miswada ya sheria iko mbioni kupitishwa .. ikiwemo ya kuruhusu vyombo husika kufuatilia hata akaunti za suspects zilizoko nje ya nchi. Balozi Mahalu karudishwa toka uitaliano .. it remains to be seen what is next about him, ambayo ni kazi ya vyombo vya sheria .. and not the president himself. Mkuu wa PCB was politely shown the door ... sasa kama huyu mpya nae hana jipya .. that's sad.

By the way, maswali yangu ya kudodosa whether ni kweli Richmond walipewa hiyo downpayment, hayakujibiwa. Na hivyo kunifanya bado niwe na mashaka na hilo. Naomba nisieleweke kuwa nalitetea suala la Richmond. No. I'm as concerned as many of you are that the deal was fishy.

By the way, as I am writing .. I'm told that katika taarifa ya habari ya saa mbili usiku wa leo, serikali imetangaza rasmi kuisha kwa mgao wa umeme. Hata hivyo, alienitumia habari hizo kwa bahati ana backup radio inayotumia battery.. maana umeme katika eneo lake kwa sasa hakuna!
 
Kulikoni... mgao umeisha kwa sababu majenereta yanazilisha vya kutosha au kwa sababu mabwawa yamejaa? Hilo suala la walimu halitatui tatizo lililopo nalo ni mtindo wa kuwalipa watu kila baada ya siku thelathini!! can't we come up with weekly payments or bi-weekly payments systems?
 
Kulikoni... mgao umeisha kwa sababu majenereta yanazilisha vya kutosha au kwa sababu mabwawa yamejaa? Hilo suala la walimu halitatui tatizo lililopo nalo ni mtindo wa kuwalipa watu kila baada ya siku thelathini!! can't we come up with weekly payments or bi-weekly payments systems?

Mzee,
sina details za hilo tamko la mgao kwisha.. maana hiyo news nimetumiwa kwa text message tu. Tusubiri magazeti ya 'kesho'.

Ni jana tu nimesoma ripoti yako ya suggestions za kumaliza rushwa ndogo ndogo. Nakubaliana nawe weekly or biweekly payments will solve the problem a lot more, na kuongezwa mishahara. Lakini hili la kuhakikishiwa kulipwa on the dot naliona ni hatua!
 
Jamani,Mimi napata Kizunguzungu na wala sielewi nini ninachoendelea hapa.Naomba maelezo ndg zangu,Tatizo letu Tanzania ni nini? Ubovu wa viongozi wetu au kulala kwa wananchi? Mbona tunafanywa wapumbavu namna hii.Viongozi wetu wanakuwa hawana uoga hata kidogo,maana tunapelekwa kama mbuzi.Naapa hapa ipo siku!Haiwezekani wanafanya mikataba ya kijinga halafu bila aibu wanasimama majukwaani na kutuambia mlitaka tufanye nini?Wanawanyima vijana pesa zao za posho (Universities) na hapo hapo wanawapeleka watoto zao (Ridhiwani) kwenye vyuo Aghali na vya kifahali!Hivi kwa nini hakuna Impechment kwetu?Hivi kweli tutaweza kufika hata miaka mitatu kwa mwendo huu?
 
Kulikoni,
Na mimi nimesikia hiyo ya kuisha kwa mgao. Nadhani hizi mvua za nusu-el nino zimekuwa na baraka zake. Mabwawa yamejaa na hii imewapa Richmond nafasi ya kupumua. Nasikia wamenunuliwa na kampuni nyingine.
 
Ila hili la wao kununuliwa is the greatest illusion of all times!! sasa kama wamenunuliwa na watu wengine Tanesco iko vipi sasa? Je serikali ilijua kuwa hili litatokea?
 
From business perspective, hata mimi ningekuwa na pesa ningeinunua Richmond!

A small company happens to pull off a $172M deal, and doesn't have funds to fulfill its obligation. Now, assuming bei za jenereta (about $37M) tulizowekewa humu foramuni ni sahihi, if I invest in this small company or better yet buy it over .. I am guaranteed to make more than 100% profit in a matter of a few weeks.. by just buying some machines and get some good engineers to install and maintain. And we are talking millions of dollars here!

If capital is not an issue, who wouldn't buy Richmond?

And if I am Richmond, and a potential buyer shows up. I'll sell the company. See.. I managed to pull a huge deal expecting to get money from the bank, which later refuses. I'm struggling to get funds, and fighting a mess of negative publicity... with no chance of getting any more deals in the future via this company. Kama zali vile .. someone offers to buy me out. I can make some good money and transfer the mess to someone else to deal with.

Implications to Tanesco na serikali ... again tunarudi kule kule, Mkataba hatujaonyeshwa!
 
Mzee,
sina details za hilo tamko la mgao kwisha.. maana hiyo news nimetumiwa kwa text message tu. Tusubiri magazeti ya 'kesho'.

Ni jana tu nimesoma ripoti yako ya suggestions za kumaliza rushwa ndogo ndogo. Nakubaliana nawe weekly or biweekly payments will solve the problem a lot more, na kuongezwa mishahara. Lakini hili la kuhakikishiwa kulipwa on the dot naliona ni hatua!


Mgao wa umeme sasa wamalizika

2006-12-28 10:22:04
Na Usu-Emma Sindila


Mgao wa umeme uliodumu kwa takriban mwaka mmoja, hatimaye sasa umefikia kikomo, baada ya vina vya maji katika baadhi ya mabwawa ya kuzalisha nishati hiyo, kuongezeka.

Kina hicho kimeongezeka, kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini.

Kujaa kwa baadhi ya mabwawa hayo ya kuzalisha umeme, kumezifanya baadhi ya mashine na mitambo mingine ya kuzalisha nishati hiyo, kutotumika mara kwa mara isipokuwa wakati wa matumizi makubwa tu.

Hata hivyo, licha ya kina cha maji kuongezeka katika baadhi ya mabwawa, bwawa la Mtera bado limefungwa ili kuruhusu maji kujaa na kuweza kutumika kwa muda mrefu zaidi.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Bw. Arthur Mwakapugi, aliiambia Nipashe Jijini Dar es Salaam jana kuwa, hivi sasa umeme unaotumika zaidi ni ule wa maji kwa kuwa ni wa nafuu zaidi.

Bw. Mwakapugi alisema hadi kufikia jana, bwawa la Kidatu lilikuwa linazalisha megawati za umeme 193, wakati uwezo wake ni megawati 204, Kihansi lilikuwa linazalisha megawati 185.20, ambazo ni zaidi ya kiwango chake cha kawaida cha megawati 180.

’’Bwawa la New Pangani Falls lenye uwezo wa kuzalisha megawati 68, lilikuwa linazalisha megawati 66, Nyumba ya Mungu linazalisha megawati 3.50 wakati uwezo wake ni megawati nane na Bwawa la Hale ni megawati 10 wakati uwezo wake ni megawati 21,’’ alisema Bw. Mwakapugi.

Alisema uwezo wa kuzalisha umeme kwa bwawa la Kihansi, umezidi hadi kufikia kuruhusu maji yamwagike ili kulinusuru lisibomoke.

Kuhusu mitambo mingine ya kuzalisha umeme ikiwemo ya Songas, IPTL, Richmond, Aggreko na Ubungo Power Supply (UPS), alisema kwa sasa haituimiki sana.

Alisema kwamba umeme wake umekuwa ukichukuliwa pindi mahitaji yanapohitajika zaidi.

Alisema kwa siku ya jana, mitambo ya Songas iliweza kutoa megawati 35.60 za umeme na ule wa Aggreco megawati 40.70, wakati ile mingine haikutumika kufua nishati hiyo.

Alisema uwezo wa mabwawa yote ya maji nchini kuzalisha umeme ni megawati 561.

Alisema kwamba uzalishaji wa sasa ni megawati 457.1, ambayo ni sawa na asilimia 81.48 ya umeme wote unaozalishwa kutokana na nguvu za maji.

Mgao wa umeme ulianza rasmi nchini Februari 16, mwaka huu na uliathiri kwa kiasi kikubwa uzalishaji na huduma zingine za kijamii.

SOURCE: Nipashe

Ndugu zangu; ukarimu huu wa mwenyezi Mungu kuleta mvua usitufanye tuache kujadili issue za msingi- jinsi Rich-monduli ilivyotumia vyema nafasi ya ukame kutuhadaa na kutukejeli. watanzania. Nadhani ndicho mzee Rich-monduli anasubiri; kwamba sasa maadam mgao hakuna basi atapata usingizi. Tutakuwa tumejikosea haki tusipo-pursue hii issue mpaka kieleweke!
 
Kuna mtu anapenda kuwaita watanzania ni "Wadanganyika"... ingawa neno hilo ni la mzaha ukweli wake hata hivyo ni dhahiri. Kwa vile sasa tunapata umeme wa kutosha basi RDC na ndugu zake tunawasahau!! Inaitwa "danganya toto". Ila hili la RDC kuuzwa jamani nani ana habari zaidi???
 
Rivhmond Imeuzwa??
Richmond wameuza biashara yao ya kuleta genereta za kukodi Tanzania au ile biashara yao ya kuprint USA?
Kulikoni hapo juu kasema kile ambacho mfanyabiashara yeyote mtaka faida ya haraka haraka angeweza kufanya kama nafasi inajitokeza.. ILA hapa nahisi kuna jambo limekiukwa. Ktk mikataba ya aina hiyo huwa kunakuwa na categories za washindi - wa kwanza na wa pili. Endapo wa kwanza anashindwa kuanza au ku deliver, then automatically kazi anachukua yule wa pili. Kwa nini isiwe hivyo kwa Richmond jamani??
 
Hawa wameshakula hela za watu. The only way to get out of it ni kuuzwa. And I am sure hawakuuza biashara zao za Texas. Ni huduma tu za Bongo. Let's wait and hear.
 
Nnavyojua mimi ni kuwa Richmond Printing na Richmond Development Company (RDC) ni kampuni mbili tofauti, ila wamiliki ni wamoja na hata anuani ni moja. Kwa hiyo basi, kama kuuzwa kwa RDC, kama kweli imeuzwa, hakuathiri ile kampuni ya printing.. zaidi ya kuwa wamiliki kuwa a bit richer and with less headache!
 
Jukumu la vyombo vya habari si kusubiri habari! Bali ni kutafuta habari na kuileza jamii juu ya habari hiyo. Inashangaza kwa zaidi ya siku tatu tetesi za kuuzwa RDC zimesikika lakini wenzetu walioko nyumbani hawajajaribu kuulizia ukweli wa jambo hili. Bila ya shaka wanasubiri waitwe "Maelezo" ili "wapewe" habari!! Hili ni suali jepesi, "Je RDC imeuzwa? kama ndiyo kwa nani, kwa bei gani na inaathiri vipi mkataba wao na Tanesco"?
 
Skandali hili JK ana mkono wake moja kwa moja ndiyo maana analitetea tenda hilo kwa nguvu zake .
 
ABDUEL KENGE
Daily News; Friday,December 29, 2006 @00:07

THE Tanzania Electric Supply Company (TANESCO), yesterday called-off power shedding and said it would depend on hydropower. The firm assured the nation there would be no more rationing for the next one year.

Tanesco said that they are now more confident since all six hydroplants in the country are generating 464MW, beyond the national demand of 450MW. Only two reservoirs, Mtera and Nyumba ya Mungu are yet to resume generation.

The resumption of cheap hydropower to full installed capacity has enabled Tanesco to call-off buying expensive power from four private gas and diesel thermal sources that have a combined capacity of 340MW.

However, it was not immediately known how much saving the country would make out of this development, given that keeping the two-year leased thermal machines would still need money.

"I assure you that we are not going to face such power blues next year," Mr Stephen Madaba, the acting Chief Executive Officer told journalists yesterday. He said, though the Mtera water level had exceeded the minimum generational level of 690 metres above sea level by 0.82metres, the firm was reserving the water saying it would be a waste to release it to the Kidatu dam, which is now full.

"We are now planning to discharge water from Kidatu to avoid damaging the dam," Mr Madaba said adding, "we have actually cautioned people living in the Kidatu Valley of possible floods."
He added: "Even if rains stopped to day," Mr Madaba said "we need about only 100MW from hydrology to supplement the 340MW generated by thermal means to offset load-shedding."

Meanwhile Tanesco has confirmed that Richmond Development Corporation (RDC) has sold its contract to supply 100MW emergency power to Dowans Holding of United Arab Emirates (UAE) for an undisclosed amount.

Mr Madaba, who is the Generation Manager, said already Dowans have taken over the responsibility and liability and are fully abiding by the contract signed earlier by RDC.

He said the request "is provided for in the Emergency Power Purchase Agreement, where one party can reassign the contract to another." Dowans has brought part of the equipment needed for generating the remaining 80MW and yesterday technicians were busy doing final touches at the foundation.
 
Back
Top Bottom