Sakata la Kashfa ya Richmond: The Facts

Sakata la Kashfa ya Richmond: The Facts

Ameomba wabunge waafiki mapendekezo ya Kamati
Na sasa anatoa mapendekezo kutokana na michango

Anaanza na Maelezo ya Dk Msabaha,aliyelalalmika kuhusu suala la maneno ya kiburi ambayo waliyatumia,neno lilimkwaza Dk. Msabaha aliyesema tabia ya kibri ni tabia ya mwenyezi Mungu.anahoji je wangetumia maneno gani kuelezea mambo waliyokuwa wakiyafanya viongozi wa wizara.kama walileta urasimu katika kutoa taaarifa

Kuhusu Bwana Kubenea
Waliamua kumpongeza Kubenea sababu ya Hatua yake ya kiungwana aliyoichukua,kutokana na kuwa mmoja ya watu walihojiwa na kamati kwa hiari yake.na baada ya wiki moja baadey akamwagiwa tindikali hivyo waliona ni vyema kumpa pole..
wamemshauri dr. Msabaha asome tena taarifa ya kamti teule.
 
Kuhusu Karamagi
Wamesema Mheshimiwa karamagi alihojiwa na Kamati,Hivyo kusema hakuhojiwa ni kulidanganya bunge tukufu.na sasa wanamia kwa Lowassa
amesema kitendo cha kuwajibika kinawajengea imani serikali kutoka kwa wananchi.katibu mkuu,Kamishna wa Nishati,Waziri aliyepita na Dr. Msababa walionekana wana makosa.ndio maana tumependekeza hatua za kuchukuliwa juu yao.

pia imeonekaa kulikuwa na mawasiliano kati ya waziri Mkuu na watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini.
 
Kuhusu Lowassa

Naona Mwakyembye anaanza kuogopa
Amesema Si lazima kwamba lowassa aliibeba RDC bali inaweza kuwa ni katika kutekeleza suala la haraka ili kukabiliana na khali ya kupata ufumbuzi wa tatizo la umeme

Anaendelea kuelezea “kamati haikupendekeza Waziri mkuu awajibishwe wala awajibike,bali walimuomba afikirie,apime uzito wa suala lenyewe na aamue nini cha kufanya.
anasema kamati yao is a fact finding organ,na sio kumhukumu mtu ,Bunge ndio lenye maamuzi ya Mwisho.
 
Kuhusu Lowassa

Naona Mwakyembye anaanza kuogopa
Amesema Si lazima kwamba lowassa aliibeba RDC bali inaweza kuwa ni katika kutekeleza suala la haraka ili kukabiliana na khali ya kupata ufumbuzi wa tatizo la umeme

Anaendelea kuelezea kamati haikupendekeza Waziri mkuu awajibishwe wala awajibike,bali walimuomba afikirie,apime uzito wa suala lenyewe na aamue nini cha kufanya.
anasema kamati yao is a fact finding organ,na sio kumhukumu mtu ,Bunge ndio lenye maamuzi ya Mwisho.

Gembe nadhani ni lugha tu katumia nadhani bado hana uoga kama ule wa Rais anao endelea kuuonyesha.
 
"kujiuzuru kwa Lowassa Hasira ilitawala Busara"

"kazi ya tume haikuwa kutafuta nafasi ya Uwaziri Mkuu ila ni kutafuta ukweli kuhusu Richmond"

"kauli ya kusema kamati imemsingizia ,kamati tumeamua tumemsamehe ili kupunguza malumbano ambayo hayana faida yoyote"

"kamati ikisikia katika vyombo vya habari,mwenye taarifa ajitokeze,ila Mheshimiwa Lowassa akujitokeza kujibu,akisubiri afuatwe..na wakti huo huo akiona magazeti yakimhusisha na tuhuma hizo"

"kamati ilizingatia Natural Justice,na ndio maana Eng. stella Manyanya aliamua kuahc kazi pale TANESCO."
 
Habari zaidi kutoka eneo la tukio zimeeleza kwamba, miongoni mwa watu wanaoishi katika majengo yanayomilikiwa na kampuni hiyo, ni watoto wa waliokuwa mawaziri wawili katika Baraza la Mawaziri lililovunjwa wiki iliyopita ambao hawakuteuliwa katika serikali iliyotangazwa majuzi.

Haya ndiyo mambo mengine yanayotupa mashaka na utata wa kukubali maneno ya wamiliki. "Hata hivyo kwa nini Richmond?"Dont they sawa many more other names could have named the plazas! We need more details and clarity on the towers ownership, please.
 
haya ni mapendekezo kutoka kamti

Serikali itathimini mkataba wa RDC na Dowans,ikiwezekana kuvunja Mkataba

Mwanasheria Mkuu,wawajibishwe kwa kuliingiza taaifa katika mambo ya aibu

Katika mikataba yote ya seriklai BRELA lazima wapewe taarifa kamili kuhusu kampunizinazosajiliwa,hata balozi zetu zihusike kutoa taarifa kuhusu kampuni

Kamati inapendekeza GNT wawajibishwe mala mora kwa manufaa ya umma kwa kuliingizia taarifa hasara kwa kushindwa kutumia Elimu yao katika kufanya maamuzi sahii

Nadhir Karamagi awajibishwe

Mkurugenzi wa PCCB awajibishwa kwa manufaa ya Umma,pamoja nawatendaji wote wanaohusika na suala La RDC wawajibishwe
Bodi yawakurugenzi wa BOT na gavana wachunguze malipo yaliyofanywa kwa RDC.

Serikali ijiepushe na utaratibu wakutumia mawakala katika kufanya manunuzu ya umma,hii itasaidia kujieousha na mawakal kupandisha bei kwa manufaa yao

Dr. Msabaha,Katibu pamoja na Kamishna wa Madini wachukuliwe hatua za kinidhamu
Kamati ilimtaka waziri ajipime
 
Sina hakika kama hii ripoti ya Mwakyembe ipo hapa JF, ipo hapa.
 

Mapendekezo mapya

BRELA wametakiwa waifute RDC
Wamiliki wa Richmond wafunguliwe kesi ya jinai kwa udanganyifu na kuidanganya serikali

Serikali imeshauriwa Kuviboresha vitengo vya utabiri wa hali ya hewa na kitengo cha maji cha TANESCO

Serikali iendeshe uchunguzi rasmi kuhusu kama ni kweli uchunguzi wa PCCB liliharibiwa kwa kuficha ukweli.
Bunge iwe na maktaba ya kutunza kumbukumbuku ya mikataba yote,na wamewasilisha mikataba sita kwa kuanzia,ya aggregeko na tanesco

Ametoa hoja

Na wabunge wanataka kuchangia Wabunge wotewameafiki hoja hiyo.ila kuna waziri mmoja kakataa.ila spika amekataa kumtaja.Katibu kwa hatu inayo fuata
 
Gembe,

Good work, masikio na macho yetu yako hapa kwenye hii thread
 

Mapendekezo mapya

BRELA wametakiwa waifute RDC
Wamiliki wa Richmond wafunguliwe kesi ya jinai kwa udanganyifu na kuidanganya serikali

Serikali imeshauriwa Kuviboresha vitengo vya utabiri wa hali ya hewa na kitengo cha maji cha TANESCO

Serikali iendeshe uchunguzi rasmi kuhusu kama ni kweli uchunguzi wa PCCB liliharibiwa kwa kuficha ukweli.
Bunge iwe na maktaba ya kutunza kumbukumbuku ya mikataba yote,na wamewasilisha mikataba sita kwa kuanzia,ya aggregeko na tanesco

Ametoa hoja

Na wabunge wanataka kuchangia Wabunge wotewameafiki hoja hiyo.ila kuna waziri mmoja kakataa.ila spika amekataa kumtaja.Katibu kwa hatu inayo fuata

Sure na haya maamuzi mimi napendekeza yafanyiwe kazi with immediate effect!!! Moto uwake, uishe tuhamie EPA n.k!
 
Kwa sasa Pinda anhitimisha Bunge kwa hotuba ya kufunga bunge, naona anashukuru na kutoa pole.. bado anamwaga blah blaha kwanza.. akitoa jambo la maana nitawaambia,

Amempongeza kwa kuwa mwenyekiti wa AU.

anazungumzia RIchmond kwa sasa,
ameipongeza kamati kwa kazi waliyofanya,na kuipa serikali changamoto.jibu sahihi kwa serikali ni kufanya kazi kwa umakini na uadilifu.na amemuahidi Spika kwamba serikali itakuwa makini sana kutekeleza yale wabunge watakyopendekeza.watayapa uzito kwa kuzingatia sheria na katiba ya nchi.
 
Shukrani Gembe. Hakika wewe na Dr Mwakyembe's team mmetusaidia sana Watanzania. Naona PInda anaunda tume ya kushughulikia mapendekezo ya Richmond commitee. Good start?
 
Sure na haya maamuzi mimi napendekeza yafanyiwe kazi with immediate effect!!! moto uwake, uishe tuhamie EPA n.k!
Ila nashangaa,yaani RA haguswi kabisa,sasa ukiangalia kwa umakini bado hapa kuna usanii.Wamiliki wa RDC ni kina nani na hawafahamiki,haijasajiliwa..sasa serikali itamshtaki nani kwa kosa la kuhujumu nchi?

RA still hold the country with 80% control power.hayuko bungeni,nadhani yuko na Lowassa wanaangalia huku wakigonga glass na kumsubiria BUSH
 
Ila nashangaa,yaani RA haguswi kabisa,sasa ukiangalia kwa umakini bado hapa kuna usanii.Wamiliki wa RDC ni kina nani na hawafahamiki,haijasajiliwa..sasa serikali itamshtaki nani kwa kosa la kuhujumu nchi?

RA still hold the country with 80% control power.hayuko bungeni,nadhani yuko na Lowassa wanaangalia huku wakigonga glass na kumsubiria BUSH

See? That's what i was talkin' about!
Hivi huyu RA ni nani hadi aamue ni siku zipi aingie bungeni na siku zipi asiingie?
Sipendi na sitaki kabisa hii issue inavyoenda....
Lets put an ultimatum on this and follow up to see if it's met or not!!
 
Swala RA am sure harsh measure must be taken by CCM na Bunge maana bila ya hivyo litaleta mzozo mwingine na kama watakaa kimya basi wasije wakafanya kosa waka adibisha wapinzani .Itakuwa kazi kubwa .Mwekyembe has called for serious steps to be taken against walio dharau Tume. He was blunt na nadhani Spika sasa atajua la kufanya. We are watching.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Back
Top Bottom