Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado kuna tabia ya kuogopana ila najua Muungwana Jumatatu anawa fire out wale wote ambao Tume imewapendekeza. Kimsingi BWana Pinda hajaunda Tume ila amesema anahitaji watu kutoka sehemu mbalimbali ili kushughulikia suala hili ila JK atachukua maamuzi ya kulisaidia taifa ambayo yanaweza tangazwa baada ya Busha kuondoka.HAPA TUME YA KAZI GANE TANA JAMANI
Teh teh..kwanini Chenge na asiwe Dr. Batilda Buriani?Japo niko mbali na radio na tv,lakini jf ni kila kitu,hisia zangu zanituma kua huyo mtu atakua chenge tu huyo!
teh teh..kwanini Chenge na asiwe Dr. Batilda Buriani?
Kifupi ni kuwa ROSTAM atatakiwa kuja kujieleza kwenye bunge lijalo kutokana na matamshi yake juu ya kamati huo ndio ulikuwa uamuzi wa spika .
Bunge lijalo ni mwezi wa nne kuanzia tarehe 8.
Bunge tayari limeahirishwa hadi muda huo.
Hapo ni watu wawili tu, Dr Maltida Buriani na Chenge,sidhani kama kuna mwingine
Burian amewahi kuwa wizara ya sheria ? Au is there any connection? If I may ask maana naonekana kupitwa na nyeti hii hapa .Tafadhali saidia
This is a direct copy from Wikipedia about Almeda University. Tulichojifunza kutokana na ripoti ya Mwakyembe ni kuwa serikali yetu ilipumbaa katika kufanya utafiti wa kutosha kujua uwepo na uhalali wa kampuni ya Richmond, wabia wake wa kibiashara na haikushtuka hata pale kampuni hii ilipokosa credit. Sasa tunajua kuwa kama serikali haitafiti, basi sisi wenyewe tuwe watafiti.
Simfahamu wala sina ubaya wowote na Mh. Mustafa Mkulo, waziri wetu mpya wa fedha. Lakini baada ya kuangalia wasifu wake ulioonyesha ana shahada ya pili ya uongozi wa biashara (MBA) kutoka Almeda University, nilipatwa na shauku nijue zaidi kuhusu hicho chuo. Cha kushangaza ni kuwa hiki chuo hakiko accredited huko Marekani na kimewekwa kwenye kundi moja na vyuo vyenye kutoa shahada zisizo za kweli (diploma mill).
One may call me a paranoid person but I think many will agree with me that it's only fair to question the credentials of a person leading our treasury and advising our president on fiscal matters after seeing what Richmond/RDC/RDEVCO did to our country.