Sakata la Kashfa ya Richmond: The Facts

Sakata la Kashfa ya Richmond: The Facts

Na kama walikaa siku zote kwenye mkutano wakiwa na RDC unaweza ukahisi kilichoendelea!
 
Ogah,

Mimi ni mwakilishi wa Contractor (Estimator), nakubaliana na kauli yako hii:

Wakati wa negotiations Contractors wana tabia ya kuleta wazungumzaji wazuri sana na wanasheria wao wakali, sasa kama wawakilishi wa Client ni wababaishaji na in most cases unakuta ma-client ni ama wavivu kusoma mikataba ama ni kickbacks huwa hawazungumzi lolote wanabaki yes yes yes yes, yah yah yah yah.

Lakini kwa namna moja ama nyingine naweza kukataa kuwa ni waongeaji wazuri sana, hapana... shule ni zilezile, hawa wanasahau kuwa wanalitumikia taifa, badala yake wanaangalia nadhani kama futi saba mbele yao. Mara zote nikienda kwenye tenders za serikali huwa nashindwa kuelewa wataalam wao wanapata wapi mafunzo ya procurement. Yani hawajui kumlinda mwajiri wao hata chembe. Wapo kazini kuchukua mishahara? Wapo ili kupata rushwa? Hawajui athari za kutosoma michanganuo ya mradi husika? Mimi nakumbuka kuna tenders nyingi nimeenda, huwa wabishi wakati mnaanza kutoa clarifications mwanzoni, lakini ukiwa imara kidogo na kusimama kidete hata zile points walizokuwa wameandaa ili kuweza kukubana zinayeyuka ghafla.

Nasisitiza, ninao mkataba wa SONGAS vs TANESCO, ukiusoma unaweza kulegea, yani mikataba kama hii haitakiwi kuingia kichwa kichwa, unatakiwa uusome haswa na kuurudia kipengele baada ya kipengele kuangalia unamwathiri vipi mwajiri wako.

Anyway, yule atakayeuhitaji mkataba huu (agreement) wa Songas vs Tanesco naweza kumtumia scanned (japo ni big file). Nautafuta wa RDC na kama kuna mwenye nao namwomba sana niupitie.

./Ajabu!
 
Nimeiona kaka, tatizo nakuwa na access mbovu ya internet.

Naam naomba radhi, kuna walioniuliza mkataba wa RDC, hapana huo sina bajameni! Upo wa IPTL na TANESCO, na wa SONGAS na TANESCO.

Naangalia vema hapa naona wa IPTL ndo afadhali waweza kukubali kutumwa. Confirm if u need this stuff. Songas ni doc kubwa sana 30MB, ya IPTL iko zipped na inarushika wakuu... Duh, usalama wangu kwanza jama!

hahahaha
 
I am disgusted, this guy isn't supposed to be a minister - very arrogant [no wonder journalists in Bongo are afraid to ask him concrete questions]. How can he genuinely compare an employee and employer in RDC vs TANESCO issue? Even if he wanted to compare, doesn't he know that the public need the answers as in this case they are in employer category. [Stake holders]. Which world does he leave? Mars?

I hope MP's will really find out what is happening when parliament resumes. This contract should be explained clearly without a shadow of doubt and Karamagi and his friends should be prosecuted.

This is the problem in Bongo he thinks he can do whatever he wants, and I am wondering why the TV media can't show how RDC management leave in TZ as if they own the country. This people should be pursued and shown on TV daily in order to show the other side of their lives for the suffering of Wabongo. You can't cheat us like this and expect privacy.

One day people will say enough is enough and follow this people wherever they stay and face mob justice - time will tell.

How can he dare come with a lot of scrap like that? He promised not long ago that by early December things will be o.k. now is speaking about rain season etc. Where is his responsibility?

JK as well should act, we are sick and tired of waiting!
 
Sijaelewa statement ya Waziri, watakaoadhibiwa ni Watanzania waliotuingiza kwenye mkataba huo au wale anakina-Rich. Maana nijuavyo huwezi kumuadhibu mtu asiye ndani ya mamlaka yako. Jamani nisomesheni !!

Under circumstances; and if at all we could had an effective and good governing government, both perpetrators: namely employee and and contructor, if proven beyond reason doubt and found incompetent as per agreement in the contract must be accountable.

Laws and Regulations Governing Investments in Tanzania

Domestic Laws in Tanzania

The Constitution of the United Republic of Tanzania, 1977 is the mother of all laws of the country. It has set up an independent judiciary, among other organs of the State and does recognise the sacred right of individuals to acquire and own property. Legislations passed since 1990 to improve the investment climate in Tanzania include, among many other 'Tanzania Investment Act, 1997'

International Laws and Agreements

Investments in Tanzania are guaranteed against nationalization and expropriation. Tanzania is a member and signatory of several international agreements for protecting investments. Any dispute arising between the Government and investors are settled amicably through negotiations or may be submitted for arbitration before the international organizations.

Lakini nani atamvalisha paka kengele?
 
Kwa Bongo, adhabu watakayopewa ni kupewa tenda nyingine isiyohusiana tena na umeme...
 
Kwa Bongo, adhabu watakayopewa ni kupewa tenda nyingine isiyohusiana tena na umeme...

Tehe tehe tehe! Kwi kwi kwi...! Inawezekana ikawa ukarabati wa Ikulu! Utaambiwa wakandarasi wa mwanzo hawakufanya vizuri!
 
Mzee ES,
Tupo naye humu, kama una wasiwasi na usalama wako, wasiliana naye kwanza...
 
HALLO !!! either I have missed something or all those who have contributed to this thread have. Has anyone seen the CONTRACT between the BONGO GOVERMENT and RICHMOND. You cannot talk about " Breach of contract" if you do not know what the contract contains.Therefore has the CONTRACT been breached or not - that is the key question the goverment should be asked.Why the secrecy - hi ni SIRI kubwa .Na sikia mitaani Richmond ni Company ya mtoto ya waziri mku. Please can someone confirm this.Then all the other answers will have been answered. AMEN
 
70mainrd, mkataba waliouona hawasemi.. those who have seen it don't want to talk about it! so the only thing we can do is speculating!!
 
HALLO !!! either I have missed something or all those who have contributed to this thread have. Has anyone seen the CONTRACT between the BONGO GOVERMENT and RICHMOND. You cannot talk about " Breach of contract" if you do not know what the contract contains.Therefore has the CONTRACT been breached or not - that is the key question the goverment should be asked.Why the secrecy - hi ni SIRI kubwa .Na sikia mitaani Richmond ni Company ya mtoto ya waziri mku. Please can someone confirm this.Then all the other answers will have been answered. AMEN

Jamani,
Every contract where the 'Contractor' is supposed to deleiver, clasues like 'Breach of Contract are boldly indicated.
 
wambandwa, that is what common sense dictates.. what if common sense is not that common to these people?
 
Angalia habari hii...

At last, Richmond pumps in 20mw
ABDUEL KENGE
Daily News; Wednesday,December 20, 2006

RICHMOND Development Corporation (RDC) said yesterday
that they have started feeding 20 megawatts to the national grid after missing the deadline three weeks ago.

Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) has, however, said that RDC would still be making testing equipment and matching the same with the national grid system before full commercial operation.

Tanesco Public Relations Manager Daniel Mshana told the 'Daily News' yesterday that the gas turbine test firing and synchronisation was the final stage in connecting two systems, but anything might happen to reverse the operation.

"We have not started receiving any power from Richmond," Mr Mshana said, adding: "But if nothing goes wrong there are signs of getting power (from Richmond) soon."

RDC Country Manager Naeem Gire said they have started supplying 20MW to the national grid after successful tests and matching of RDC and Tanesco system.

"We are now supplying the national) grid with 20MW," Mr Gire, who was in jovial mood, said, some two hours before the 'Daily News' interviewed Tanesco.

He said the company has spent a huge sum of its own funds that made the mobile gas/diesel turbine operate.

He, however, declined to disclose how much it had cost RDC.
The Minster for Energy and Minerals, Mr Nazir Karamagi, said earlier that RDC were yet to be paid a single cent. The first installment was supposed to be paid after the supply of 20MW, he added.

RDC was hired in September to generate 100MW under emergence power agreement in the next two years to save the nation from long blackouts.

According to the agreement, Richmond was supposed to supply 20MW after 60 days of the signing of the contract and the remaining 80MW at later dates.

Mr Karamagi said according to the agreement signed in September, this year, Richmond was suppose to supply 100MW by February.

He also said the power shedding was set to improve by this month.

Meanwhile, the Zanzibar Electricity Corporation (ZECO) has reduced the power rationing hours, from four to two hours a day effective Monday.

The corporation's Public Relations Officer, Mr Salum Hassan, said here yesterday that the decision to review load-shedding was taken by the management, following an increase of water level at Mtera Dam.

Under the new load-shedding programme, he said Zanzibar would be divided into three zones covering both rural and urban centres.

Each zone will have two weekly power blackouts instead of four. He said the Zeco management had first consulted
with their mainland counterpart - Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) before drawing a new timetable on load-shedding.

Zanzibar has since in 1980 been receiving electricity via a marine cable from the Mainland. The marine cable, laid down in 1979, has the capacity of transmitting 45 megawatts.

Unlike in Zanzibar, Tanzania mainland experiences power blackout of more than six hours daily, following the decline of water level at the Mtera dam.

In another development, Mr Hassan said the frequent power cuts in several parts of the Zanzibar Municipality and its suburbs at the weekend were a result of technical faults at a substation situated in the town.

However, he said technicians acted swiftly and found a short-term solution.
 
We are not impressed The Government must make sure Tanesco and all the crooks who facilitated this bogus deal be prosecuted.
 
RICHMONDULI
Juzi kwenye kikao cha kamati kuu inasemekana kuna wajumbe wali-raise issue ya Richmond.Inasemekana Anna Abdallah alimuuliza Mwenyekiti wake kuhusu fununu zinazosikika kuwa kuna kigogo mmoja anahusika kwenye dili ya Richmond(now dubbed Richmonduli).Inasemekana kuwa mwenyekiti akamjibu mjumbe kuwa muhusika(mbunge wa Monduli) has come clean,in otherwords amekubali na kuomba radhi kwa bosi wake!Ukweli wa hii habari siwezi kuudhibitisha,lakini sura yake ina-kaukweli kidogo.If it is true,and i dont see why it shouldnt be it really sums up JK's first year in office,doesnt it!
 
Back
Top Bottom