Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Lile Sakata Liloliingizia Hasara Kubwa Nchi Yetu Na Kumalizwa Bila Wahusika Kuchukuliwa Hatua Zozote Limeingia Katka Sura Mpya Kuna Baadhi Ya Vigogo Kadhaa Hawana Imani ,,na Wengine Presha Juukutokana Na Hofu Za Kutimuliwa Kazi Wakiwemo Walio Katika Tume Ya Kuchunguza Soo Hili!!!
Kwa Mujibu Wa Chanzo Chetu Vigogo Hao Ambao Kwa Namna Moja Au Nyingine Walihusishwa Katika Ripot Ya Mkuu Wa Kazi ....dk Mwakyembe
Jamaa Hivi Sasa Hawana Amani Hata Kidogo Kuna Mmojawapo Ambaye Hivi Sasa Amekuwa Mpole Badala Ya Kuonyesha Ile Haiba Yakeya Uchangamfu ..nadhani Ana Wasiwasi Sana Na Pengine Ataachia Ngzi Kilisema Chanzo,
Chnzo Kingin Kilieleza ..""huyu Jamaa Ni Jamaa Yangu Wakaribu Sana Na Nichoweza Kueleza Amejawa Na Hofu Kweli!!!!!jamaa Alihuzunika Zaidi Baada Ya Mh Pinda Katika Kujumuisha Na Kusema Ameshamaliza Mambo Mengi Yaliohusu Maelekezo Ya Tume Na Anasubiri Nafasi Ya Spika Kumpa Amwage Unga!!!!!babu Kubwa.....hapa Kidogo Pana Utata
Hawa Watu Nahisi Nao Wana Akili..wanajua Soo La Meremeta Lote..kwa Hiyo Kama Huyo Waziri Mkuu Ameshindwa Kutaja Nani Mmiliki Wa Meremeta...hakuna Jipya Wananchi..tusifanywe Wajinga,
"kwako Waziri Mkuu Pinda"
Watanzania Si Wote Mambumbumbu Sa Sahivi Naomba Hili Ulielewe..na Hakuna Anaedanganyika Na Story Kama Wenzako Wlaiopita Walivyokuwa Wakiwadaha Wananchi Ndege Inaruka Ukifanya Mchezo Unaweza Na Wewe Kukisikia Hiko Cheo Kama Lowasa..wale Wanaoukupongeza Wanakujaza Ujinga....eleza
Meremeta Kampuni Ya Nani?????????
Kiwira Imauzwaje?? Na Kwa Sh Ngapi Na Imetolewa Ngapi Bado Ngapi Wacha Longolongo Mzee
Nilisikitika Sana Kumuona Akijibu Kwa Madaa Swaala La Meremeta Ni La Usalama..kama Usalama Wezi Wataje Usalama Ni Watu Na Wamechota Zile Hela Azikuja Na Ndege Waeleze Zikwapi???
Hata Kama Ulipata Mgao Au ?????????
Cha Kusikitika Kingine Ati Jamani Wabunge Wenzangu Kiwira Ilikuwa Hoi Kabisa Alafu Badala Ya Kuelezea Umeifufua Au Umeendelea Kuiua Unadai Hilo Na Mwachia Waziri Mhusika,,
Kwenu Mawaziri
Ukitaka Chukua Ukinuna Acha...kuweni Na Makini Na Huyu Mkuu Wetu Nimemsikiliza Amekuwa Akiwapelekea Vibomu Vingi Mlipuke Na Vyo..kama Anatakiwa Kujibu Mueleze Mzee Pale Kajibu Wewe Msiogope Mjanja Huyu....pamoja Na Hilo
Nakupongeza Kwa Kupitishwa Bajeti Yako Natumaini Hamtokula Ovyo Kama Mwenzako
Edward Lowassa
Kwa Mujibu Wa Chanzo Chetu Vigogo Hao Ambao Kwa Namna Moja Au Nyingine Walihusishwa Katika Ripot Ya Mkuu Wa Kazi ....dk Mwakyembe
Jamaa Hivi Sasa Hawana Amani Hata Kidogo Kuna Mmojawapo Ambaye Hivi Sasa Amekuwa Mpole Badala Ya Kuonyesha Ile Haiba Yakeya Uchangamfu ..nadhani Ana Wasiwasi Sana Na Pengine Ataachia Ngzi Kilisema Chanzo,
Chnzo Kingin Kilieleza ..""huyu Jamaa Ni Jamaa Yangu Wakaribu Sana Na Nichoweza Kueleza Amejawa Na Hofu Kweli!!!!!jamaa Alihuzunika Zaidi Baada Ya Mh Pinda Katika Kujumuisha Na Kusema Ameshamaliza Mambo Mengi Yaliohusu Maelekezo Ya Tume Na Anasubiri Nafasi Ya Spika Kumpa Amwage Unga!!!!!babu Kubwa.....hapa Kidogo Pana Utata
Hawa Watu Nahisi Nao Wana Akili..wanajua Soo La Meremeta Lote..kwa Hiyo Kama Huyo Waziri Mkuu Ameshindwa Kutaja Nani Mmiliki Wa Meremeta...hakuna Jipya Wananchi..tusifanywe Wajinga,
"kwako Waziri Mkuu Pinda"
Watanzania Si Wote Mambumbumbu Sa Sahivi Naomba Hili Ulielewe..na Hakuna Anaedanganyika Na Story Kama Wenzako Wlaiopita Walivyokuwa Wakiwadaha Wananchi Ndege Inaruka Ukifanya Mchezo Unaweza Na Wewe Kukisikia Hiko Cheo Kama Lowasa..wale Wanaoukupongeza Wanakujaza Ujinga....eleza
Meremeta Kampuni Ya Nani?????????
Kiwira Imauzwaje?? Na Kwa Sh Ngapi Na Imetolewa Ngapi Bado Ngapi Wacha Longolongo Mzee
Nilisikitika Sana Kumuona Akijibu Kwa Madaa Swaala La Meremeta Ni La Usalama..kama Usalama Wezi Wataje Usalama Ni Watu Na Wamechota Zile Hela Azikuja Na Ndege Waeleze Zikwapi???
Hata Kama Ulipata Mgao Au ?????????
Cha Kusikitika Kingine Ati Jamani Wabunge Wenzangu Kiwira Ilikuwa Hoi Kabisa Alafu Badala Ya Kuelezea Umeifufua Au Umeendelea Kuiua Unadai Hilo Na Mwachia Waziri Mhusika,,
Kwenu Mawaziri
Ukitaka Chukua Ukinuna Acha...kuweni Na Makini Na Huyu Mkuu Wetu Nimemsikiliza Amekuwa Akiwapelekea Vibomu Vingi Mlipuke Na Vyo..kama Anatakiwa Kujibu Mueleze Mzee Pale Kajibu Wewe Msiogope Mjanja Huyu....pamoja Na Hilo
Nakupongeza Kwa Kupitishwa Bajeti Yako Natumaini Hamtokula Ovyo Kama Mwenzako
Edward Lowassa