Sakata la Kashfa ya Richmond: The Facts

Sakata la Kashfa ya Richmond: The Facts

Richmond Facts

1. Kampuni ya Richmond not registered in USA as it claimed.
2. Failed to deliver according to contract. (As per president visit and information)
3. Tanesco has already said they were forced to sign the contract.
4. Richmond failure to deliver forcing rationing to continue.

Now what other proof we really need in order to satisfy the doubters.

Ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya lazima itumike kuokoa mapesa ya walalahoi hususani katika kampuni hii.

Dua la kuku halimpati mwewe
 
Nadhani sasa hivi tumeanza kuona njia ya maudhui ya hii topic

sasa hizo pesa za kulinunua hili Genereta ni za msaada toka nje au vipi?

Unajua huwezi kujenga hoja na hawa jamaa bila ya kuwa na complete dossier najua kwa mfanya kazi wa serikalini ni ngumu kuliweka dossier humu lakini sio mbaya akiliposti kupitia sehemu nyingine

Je pesa zilitoka EU au WORLD BANK?


no wonder hawataki kukutana na watu hapa London lakini still najua Balozi anaweza kutoa maelezo zaidi atakaporudi
 
Mwanasiasa,
Nitashukuru sana!... Kumbe upo London town?...Nisalimie sana kijana Sood pale Milton, Karl - Abdoul Karim - Mzungu (nyege), Pailonga, Jesse na wengine woote wateja wangu club.
 
Mwanasiasa,

Kabla ya kuamua nijiunge an CCM some years back, niliviangalia sana vyama vya upinzani. Siku hizo NCCR was my favourite. Napenda kukuhakikishia kuwa mapinduzi ya kweli yatapatikana ndani ya CCM, kwa ufupi labda niseme kuwa CCM ikimeguka basi ujue watanzania wamepata suluhisho, kama hakitameguka basi ndugu zangu tutawatawala kwa maisha yenu yoote.

Wengi upinzani ni waganga njaa (wengi). Halafu wengi wana uchu wa madaraka. Angalia jinsi mnavyoshindwa kuungana ili kumsimamisha mgombea mmoja.

Kuhusu uana siasa, sio kila mmoja wetu anaweza kuwa mwanasiasa mzuri, labda aigize. Mfano BWM, JK, Mwapachu, RA etc sio wana siasa. Wanasiasa ni kama akina JKN, Malechela, Seif sharif Hamad, Freeman Mbowe, Makamba, etc.
Samahani nimetoka kidogo kwenye hii topic.

FD
 
Mwanasiasa
Kwa upande wangu nadhani bado miaka mingi kabla sijaamua kuingiza kwenye siasa za bongo na nitaanza kufikiria pale nitapokanyaga ardhi ya bongo na lini itakuwa hivyo labda miaka 20 ijayo. Who knows.
 
FD, maneno yako kweli bob...
Nimeyapima sana na kweli kabisa kama kutakuwepo na mapinduzi ya kisiasa nchini basi Mapinduzi hayo yataanzia CCM. Huu ndio ukweli usiofichika ingawa inauma sana kuona mfumo wa vyama vingi umebaki kitendawili..
Kushindwa kwa Mrema, Seif Sharif na sasa Freeman ni SOMO zito sana kwetu unless tunataka kuwa kama akina Bush na Iraq!...
 
WHERE DO YOU STAND?

Father: I want you to marry a girl of my choice
Son : "I will choose my own bride!"
Father: "But the girl is Bill Gates's daughter."
Son : "Well, in that case...ok"

Next, father approaches Bill Gates.

Father: "I have a husband for your daughter."
Bill Gates:"But my daughter is too young to marry!"
Father: "But this young man is a vice-president of
the World Bank."
Bill Gates: "Ah, in that case...ok"

Finally Father goes to see the president of the World
Bank.

Father: "I have a young man to be recommended as a
vice-president. "
President: "But I already have more vice- presidents
than I need!"
Father:"But this young man is Bill Gates's
son-in-law."
President: "Ah, in that case...ok"

This is how business is done in developed countries
like the US here in TZ its a bit similar in sectors
like........ . utajaza mwenyewe
 
Mkandara,

nasema hayo kwasababu nipo CCM na naipenda CCM. CCm sio mbaya ni baadhi ya wanachama wake ndio wabaya. Sasa ikitokea watu walioshiba kihela na mawazo wakasema enough is enough, JK hapa hatukubaliani, JK naye akasema nimesema JSM hauziki kwa wananchi, JSM akasema OK kama siuziki najiondoa chama na wanaomuunga mkono wakaondoka naye... hapo kimbembe kwasababu waelewa woote wataondoka naye.

Upinzani wengi ni kama nilivyosema hapo juu, asikudanganye mtu ukaenda upinzani, utajuta!. Fikiria kama wangekua na mawazo mmbadala si wangeungana?, we unafikiri CCM tungepata 80%?, ila baadhi ya hao wapinzani ni wana CCM waliopandikizwa. Tamaa umeiona, Dk Kabourou hakuwa mtu wa kurudi CCM, jamaa anakubalika Kigoma kama rais!, angalia tamaa ya madaraka na tumbo!

Kwa ufupi bob hatuna WAZALENDO. Kama umeelewa mchango wa OGAH hapo juu utaelewa. Tenda wanapeana halafu hata ku performe hawawezi!

Ila naamini wajukuu wetu wataichukua hii nchi kwa nguvu kama wakiendelea na mtindo huu. Hakuna lisilo na mwisho. Wapo wapi marais wa maisha? Banda, Mobutu Kabanga sese seko etc?

Haya ya Richmond iko siku mtu ataulizwa hadharani na atapata haki yake kwa alichokifanya.

Baadaye ndugu yangu.
 
kama kuna angle ambayo ingebidi ifuatiliwe ni haya madai kuwa Tanesco walilazimishwa kuingia mkataba huo na Richmond. Ni nani aliyeweka pressure hiyo na kwa nini? Alikuwa na maslahi gani kwenye deal hiyo na nani alijua kuhusu pressure hii?
 
The government should come clean on this issue whoever pressurized TANESCO to sign the deal with Richmond should be known. Tanzanians are suffering because of few selfish people.

JK where are you? The buck stops with you.

_____________________________________
Dua la kuku halimpati mwewe
 
Crystal Clear Fact: The Government-Richmond deal is a rotten one especially if it is true that one of the key owners of Richmond company runs an internet cafe bussiness in Dar-es salaam
 
he! ajabu huku tunaulizia contracts

anywas sasa bila ya mtu kuumwaga huo upupu ni ngumu kubild case based on newspaper articles

na hii inahitaji courage kama ya bwan GITHONGO WA KENYA
 
ndio hapo ..kwa sababu kama pesa zinatoka EU basi ni rahisi kuwauliza hawa wazungu watoe majiobu na hapo ndipo akina Blair itabidi wajieleze

Halafu mbona kule BBC SWAHILI nako kimya? maana unaweza sema redio za bongo labda waoga lakini hii inaweza ikawa stori nzuri tuuu
 
Richmond development company
Habari za saizi ndugu zangu, mimi naomba niwaelimishe kidogo kuhusu hiyo kampuni ya richmond development company. Hizi ndiyo ukweli.

1. Kampuni hiyo ipo hapa Texas, lakini siyo corporation ni personal business hivyo haihitaji kuwa register Austin makao makuu.Hii ni jinsi ya kuiangalia
a) paste hii link http://www.cclerk.hctx.net/
b) Go to - Search Databases
c)Go to- Asumed Names
d) Enter Name - Richmond Development Company

2. Nimeenda kwenye hiyo adress na huu ndiyo ukweli
a) hiyo small building imeandikwa Richmond printing na sijaona kitu chochote kuhusu richmond development. Ni ka warehouse fulani hivi na inaonyesha wanafanya biashara ya printing.
b)Nimeulizii owner na nimekutana na watu wanaomfahamu anasema ni Mtanzania aliye na hasili ya kiasia aliamia huku miaka ya 80's na anafanya biashara ya printing. Kwa jinsi nilivyo angalia record za nyumba huyo jamaa ni tajiri kwani nyumba yake inathamani zaidi ya $1m .
c) Huyu jamaa wakati waziri mkuu sumay alivyo kuja hapa Houston alifanya private meeting na tunaona matunda yake.
d)Biashara yake imeanzishwa mwaka 2003
c) Hana specific office ya hiyo biashara ni pale pale iliko biashara nyingine.
Reply With Quote
 
Hiyo used Generator haina thamani ya hizo pesa na umaweza ukapiga sime GE ukauliza ni uizi tu huu!!!!, ni kwanini wananunua hizo machine kwa pesa nyingi hivyo kutoka kwa watu?? wakati wanaweza kupiga simu GE wakauziwa direct?? huyo jamaa anautalaamu gani wakati biashara yake ni ya printing na kampuni imeanzishwa miaka mitatu 2003!!!
 
Back
Top Bottom