Sakata la Kenya Airways na Air Tanzania: Anayeathirika ni Air Tanzania

Mbona ruhusa imetolewa tena in less than 24hrs?
 
Mbona mmesanda? Mudavadi alimtafutia nini Makamba?
 
Sasa ya nini tusubiri hiyo tarehe wakati ruhusa tuliyotaka imekuwa granted?
 
Na vile Unga ni shida huko...
Nakuelewa[emoji1]
Tunajadili za KQ na biashara ya usafiri wa anga sista, sio kuringishiana kuhusu vitu vya kawaida. Kiamsha kinywa na vyakula, kwetu sisi ambao tunajaza tumbo na mahitaji mengine yote ya watu zaidi ya 5 kila siku ya wiki, mwaka nenda mwaka rudi, sio masuala ya kuzungumzia.
 
Sasa kama ulikuwa mjadala wa KQ habari za Mihogo ya sumu umeleta za nini?

Sawa endelea na mjadala..
 
Relax,...Hizo ni mbinu tu,kwani hiyo ni mara ya kwanza?mbona hata kipindi Cha hatari Magufuli ikitokea the same shit,,,ila mambo yakazunguzwa kidemocrasia yakapita
 
Sasa Hilo swala Kenya hawafikirii wanazani sisi tu ndio tunanufaika wakati wao ndio wanaonufaika zaidi,yani tukisema Kila mtu abaki kwake nakuhakikishia wao ndio watapoteza zaidi
 
Routes nyingi lakini bado shirika la Kenya Airways linaendeshwa kwa hasara kama la Air Tanzania

Jirani unaandika pumba tupu, huwa mnapenda sifa za kijinga
 
You're as dumb as a donut.

Hahaha kuna mengi sana labda hauyajui, by the way makamba kaenda kukomboa ndege ya cargo aliyonunua “adui” Magufuli? Magufuli asingenunua ndege ya cargo makamba angekomboa nini leo na kujipa sifa ya udiplomasia ?
 
Little did you know ....

ila nimefurahishwa na makamba “anavyopigania” ndege ya cargo iliyonunuliwa na Magufuli waswahili tunasema mbaniani mbaya kiatu chake ni dawa, sasa leo hii makamba anajipa ujiko kaenda kuipigania ndege ambayo ilinunuliwa na mtu wanayemsimanga kila siku huku wakichukua sifa kwa mgongo wake …
 
Makamba na huyo Magufuli wote CCM uchaguzi ingefika wangesimama upande mmoja, ni sawa na kushadadia majibizano ya ndugu wa familia moja, unayejitia uchizi ni wewe wezako wanalumbana ila bado watazikana
 
Fit for the job.
Diplomacy is synonymous with fake-assness.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…