Sakata la Kenya Airways na Air Tanzania: Anayeathirika ni Air Tanzania

Sakata la Kenya Airways na Air Tanzania: Anayeathirika ni Air Tanzania

Hahaha kuna mengi sana labda hauyajui, by the way makamba kaenda kukomboa ndege ya cargo aliyonunua “adui” Magufuli? Magufuli asingenunua ndege ya cargo makamba angekomboa nini leo na kujipa sifa ya udiplomasia ?

You're as dumb as a brick.
 
Hahaha kuna mengi sana labda hauyajui, by the way makamba kaenda kukomboa ndege ya cargo aliyonunua “adui” Magufuli? Magufuli asingenunua ndege ya cargo makamba angekomboa nini leo na kujipa sifa ya udiplomasia ?
ila nimefurahishwa na makamba “anavyopigania” ndege ya cargo iliyonunuliwa na Magufuli waswahili tunasema mbaniani mbaya kiatu chake ni dawa, sasa leo hii makamba anajipa ujiko kaenda kuipigania ndege ambayo ilinunuliwa na mtu wanayemsimanga kila siku huku wakichukua sifa kwa mgongo wake …
Makamba na Magufuli wote watanzania, kutofautiana ni sehemu ya maisha.
Wametofautiana kwa sababu ya kujenga Tanzania siyo vinginevyo.
Hivyo Makamba hawezi kutelekeza biashara ya nchi ati kwakuwa imenzishwa na mtu aliyetofatiana naye kisiasa.
 
Makamba na Magufuli wote watanzania, kutofautiana ni sehemu ya maisha.
Wametofautiana kwa sababu ya kujenga Tanzania siyo vinginevyo.
Hivyo Makamba hawezi kutelekeza biashara ya nchi ati kwakuwa imenzishwa na mtu aliyetofatiana naye kisiasa.

kwali kabisa nakuunga mkono, sasa ndege yetu inaweza piga kazi …
 
Mkuu hawa ndio wanaoishi maisha ya kukalili,Dunia inabadilika,kwa tulipofikia Kenya hawezi akamwendesha Tanzania kama anavyotaka,Tz sio wanyonge la miaka hiyo,yani ni kama USA na China tu
Na wewe huna akili pia? Au
 
Eti wanapiga stop Kenya Airways kwa jeuri gani wakati kila siku mko huko kujikomba? Msichokijua labda Kenya Airways ni mbia wa KLM-Air France kuizuia kutua Dar/Tanzania kunaathiri KLM-Air France pia, hivyo hakuna kitu hapo.

Kenya Airways itatua Dar na biti la Air Tanzania Kenya litabakia kwani anayeathirika na Air Tanzania cargo kutua Kenya ni KLM - Air France ndiyo wanaobeba maua na mboga mboga ktk Kenya kupeleka Amsterdam na ndiyo maana hata wakaingia ubia na Kenya Airways.

Hakuna kitu hapo biti litasimama na Kenya Airways itatua Tanzania, msisahahu Watanzania waliipeleka ndege yetu uholanzi makao makuu ya KLM ili ikamatwe na ikakamatwa.
unaugulia ukiwa wapi kwa sasa wewe kijakazi usiyependa nchi yako.
 
Mtoa mada huna akili au unajitoa akili....

Kama Kenya wangekuwa na hiyo advantage, wangekaza.
 
Eti wanapiga stop Kenya Airways kwa jeuri gani wakati kila siku mko huko kujikomba? Msichokijua labda Kenya Airways ni mbia wa KLM-Air France kuizuia kutua Dar/Tanzania kunaathiri KLM-Air France pia, hivyo hakuna kitu hapo.

Kenya Airways itatua Dar na biti la Air Tanzania Kenya litabakia kwani anayeathirika na Air Tanzania cargo kutua Kenya ni KLM - Air France ndiyo wanaobeba maua na mboga mboga ktk Kenya kupeleka Amsterdam na ndiyo maana hata wakaingia ubia na Kenya Airways.

Hakuna kitu hapo biti litasimama na Kenya Airways itatua Tanzania, msisahahu Watanzania waliipeleka ndege yetu uholanzi makao makuu ya KLM ili ikamatwe na ikakamatwa.
Kiazi kweli, Hukusikia kilichotokea?
 
Back
Top Bottom