BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Baada ya kushindwa kutoa burudani Agosti 8, 2022 kwenye Ukumbi wa Next Door Arena, msanii Kizz Daniel kutoka Nigeria alikamatwa na polisi na kuweka kituo cha Oysterbay jijini Dar es salaam.
Leo Mwimbaji huyo akiwa na Kampuni ya Uandaaji matamasha ya burudani ya STR8UP Vibes pamoja na uongozi wake wameita waandishi wa habari kwaajili ya kutoa taarifa kamili ya nini kilitokea na hatua gani zinachukukuliwa.
Leo Mwimbaji huyo akiwa na Kampuni ya Uandaaji matamasha ya burudani ya STR8UP Vibes pamoja na uongozi wake wameita waandishi wa habari kwaajili ya kutoa taarifa kamili ya nini kilitokea na hatua gani zinachukukuliwa.