MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Dingi anazingua kinyama 🤣🤣... huyu dingi anaweza bishana na redio ikazimika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mam Samia naona una mpa mzee vipande vyake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dingi anazingua kinyama 🤣🤣... huyu dingi anaweza bishana na redio ikazimika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mam Samia naona una mpa mzee vipande vyake
Sijamuona kwenye uzi huu hata mmoja wa kusimama kwa hoja na Alama Mohamed Said.FaizaFoxy njoo msadie mzee wako na mihadala yake ya uislamu
By tthe way Kwan Sweden jus ktk siku ya idd ya kuchinja waliamu kuchoma quruan mbele ya msiki mdg uliopo hapo
Dr.Asiee mkuu umeeleZa vyema sn na mm nashangaa kila wakt Ni kujinasibisha tu kwa kina abdul Sykes kumbe Ni Bab ake kbsa ndio anapigania andikwe kwenye historia ya tanganyika
Nashangaa kuona jf inampa tuzo mbalimbali mtu Kama huyu mdini ,mbaguzi ,mchawi ,kibaraka wa Iran kwani asinyanganywe tuzo zote alizo pewa huyu mzee aliye saliwa nje ya mfumo
Kila siku sykesa na kina abduli tu na kuona Kam Nyerere hafai kuwep katk historia yoyote
Naomba jf imdhibiti Sana huyu mzee ,mfuruga amani
Dr,Asiee mkuu umeeleZa vyema sn na mm nashangaa kila wakt Ni kujinasibisha tu kwa kina abdul Sykes kumbe Ni Bab ake kbsa ndio anapigania andikwe kwenye historia ya tanganyika
Nashangaa kuona jf inampa tuzo mbalimbali mtu Kama huyu mdini ,mbaguzi ,mchawi ,kibaraka wa Iran kwani asinyanganywe tuzo zote alizo pewa huyu mzee aliye saliwa nje ya mfumo
Kila siku sykesa na kina abduli tu na kuona Kam Nyerere hafai kuwep katk historia yoyote
Naomba jf imdhibiti Sana huyu mzee ,mfuruga amani
Kama walionewa ungetumia neno Watanzania na sio ku classify kwa dini...lengo ni kuwajaza watu upepo waone wanaonewa...ili mkinukishe...Sasa katika kitu hakitatokea nchii hii ni hiki...na waulize walioinua pua kuleta machafuko Kwa mgongo wa dini kilichowakuta .....wew umeachwa kwa sababu...and not otherwise
Ujamaa...
Sheikh Rogo si ''Logo.''
Mwaka wa 2011 nilipita Geneva nikakutana na kijana mmoja akanikaribisha nyumbani kwake.
Katika mazungumzo akaniuliza kama namjua Sheikh Ilunga.
Nikamwambia namfahamu sana.
Akaniwekea video ya Sheikh Ilunga.
Nikamuomba anipige picha Ilunga akiwa ndiyo ''background.''
View attachment 2678754
View attachment 2678755
Ilunga huyo na nyuma yake ni mimi picha hii tulipiga CBE Dodoma 1989
View attachment 2678757
Asiee mkuu umeeleZa vyema sn na mm nashangaa kila wakt Ni kujinasibisha tu kwa kina abdul Sykes kumbe Ni Bab ake kbsa ndio anapigania andikwe kwenye historia ya tanganyika
Nashangaa kuona jf inampa tuzo mbalimbali mtu Kama huyu mdini ,mbaguzi ,mchawi ,kibaraka wa Iran kwani asinyanganywe tuzo zote alizo pewa huyu mzee aliye saliwa nje ya mfumo
Kila siku sykesa na kina abduli tu na kuona Kam Nyerere hafai kuwep katk historia yoyote
Naomba jf imdhibiti Sana huyu mzee ,mfuruga amani
Nawashangaa hata mimi hawa mods kwa kufuta comments zangu dhidi ya mamluki huyu. Angalia mjadala huu ulivyokaa kishari, kizushi na uongo mwingi kwanza unazua taharuki na kusababisha uchochezi. Walipigwa watu huko vijiji vya kigoma, mbalali mbeya, isesa huko rukwa na wengine waliuwawa hata masai wa ngorongoro waliuwawa lakini hatukuwatafsiri kwa minajili ya udini, Leo anaibuka mpuuzi mmoja anazua taharuki kwene habari yake kwa minajili ya udini afu mods wanamuacha. Mtu huyu ni mtoto wa Abdul sykes wa nje why mods hamtaki kuamini, habari hizi ni kwa mujibu wa faili mbalimbali za mzee huyu. Huko magomeni inafahamika kabisa.
Ujamaa...Nawashangaa hata mimi hawa mods kwa kufuta comments zangu dhidi ya mamluki huyu. Angalia mjadala huu ulivyokaa kishari, kizushi na uongo mwingi kwanza unazua taharuki na kusababisha uchochezi. Walipigwa watu huko vijiji vya kigoma, mbalali mbeya, isesa huko rukwa na wengine waliuwawa hata masai wa ngorongoro waliuwawa lakini hatukuwatafsiri kwa minajili ya udini, Leo anaibuka mpuuzi mmoja anazua taharuki kwene habari yake kwa minajili ya udini afu mods wanamuacha. Mtu huyu ni mtoto wa Abdul sykes wa nje why mods hamtaki kuamini, habari hizi ni kwa mujibu wa faili mbalimbali za mzee huyu. Huko magomeni inafahamika kabisa.
Ujamaa...Anajiona mjanja wala hajui kuwa kaachwa kwa sababu!
Taarifa zake na mienendo yake ipo kwene korido mbalimbali za vyombo vya ulinzi na usalama. Kalamu zake mda wake wa kula kulala kusafiri kutembea na ujinga ujinga wake vyote vipo under total control and strong supervision. Hawezi lijua hili.
Elimu ya propaganda na uenezi aliyosoma huko syria na iran pamoja na mafunzo madogo madogo aliyoyasomea huko egypt anajua watu hawajui kumbe Faili zake zipo kwene uratibu. Hajajiuliza hii habari ya baba yake kutimkia huko bukavu congo imepatikanaje.
Fadhili zake alizokuwa anazipata kwa mgongo wa taasisi za kidini zilizo na mafungamano na Iran anajua watu hawajui, kumbe kawekwa kiporo ili kuratibu shughuli zake na wenzie yeye hujua yupo huru kumbe sio hivyo.
Bee...Mungu akuongoze mzee wetu, mi naamini chuki haimaliziki kwa kufumbwa midomo watu ila kwa kuuweka ukweli mezani na kuonesha pumba na mchele ni upi, mtu mwenyewe ndo ataamua, sisi tunaweza kukaa kimya maana hayajatugusa ila watu walio uliwa ndugu zao huko madina hawatokaa wanene mazuri juu ya uongozi na viongozi milele pale wapatapo nafasi, kwaiyo haina maana kukaa kimya, hii ni nchi huru na huu ni uwanja huru wakutoa mawazo na maoni, mzee wetu tumia nafasi yako sisi hadhira tutachagua wenyewe wapi penye haki.