Sakata la kuzuiwa KQ nani mshindi na nani ataathirika?

Sisi hatuna shida kushare sababu tuna rasilimali nyingi sio moja.
Tatizo ni pale katka share wanapodhani ni sehemu ya haki yao,ndipo tunapowaelekeza njia sahihi ya kupita.hata kwa namna ya maumivu.
Sawa
 
Wakenya mnaandika comment refu kama ndiyo uzi vile... na hakuna hata aya wazee. Maze tutamezea wapi tukiwa tunasoma?

Hata mtu akitaka kuwaqoute anashindwa aanzie wapi.


Tujaribu kufupisha michango na maoni yetu yasomeke vizuri. Na hayana hata aya.

Rudia vizuri kusoma comments zangu wacha uzembe, huwa nipo makini sana kwenye uandishi, huwa nazingatia kanuni zote tena kwa uangalifu.
 
Sasa hapo wa kulaumiwa ni nani? Wakorea au watanzania? Hilo kosa lao haliwahusu wakenya hata kidogo. Korean wakiamua kuitumia mbinu hiyo kuendeleza biashara zao huwa wanalazimika kisheria kuwaeleza wateja wao kuhusu 'connecting flight' ya kuunganisha kutoka Nairobi hadi Tz. Nairobi kutumiwa kwa njia hiyo huwa ina madhara yake pia. Huwa Naona France24, Aljazeera, BBC, CCTV, CNN wakiripoti kuhusu vita au maafa kule Kinshasa, Mogadishu, Malakal au Juba wakiwa kati kati mwa jiji la Nairobi. Alafu hapo chini wana 'caption', Reporting from Nairobi, Kenya.
 
Nonsense! !!!
 
Wakenya mnaandika comment refu kama ndiyo uzi vile... na hakuna hata aya wazee. Maze tutamezea wapi tukiwa tunasoma?

Hata mtu akitaka kuwaqoute anashindwa aanzie wapi.


Tujaribu kufupisha michango na maoni yetu yasomeke vizuri. Na hayana hata aya.
Kuna option nyingine nzuri zaidi, IGNORE. Wanaijeria huwa wanasema, no be by force oo!
 
Ni muda ss umefika Tz kuzama rasmi ktk sekta ya aviation ni muda ss serikal inapaswa iwekeze ktk sekta hii tuwe na direct flight za destination mbali mbali Europe, Asia walau safari 2 kwa wiki kwa kila destination
 
Haha!🤣🤣 the map you post all the time shows that you are using 'Sublimation' type of mental mechanism, which is considered a positive strategy (anger management exercises to help you stay calm) to redirect strong emotions or feelings into an object or activity that is appropriate and safe...
 
Kenya kwa sasa hivi watulie tu. Kila pande tumewazidi. Kwenye mitandao tumewazidi, kwenye utalii hawafui dafu.
Wizi wao wa Dhahabu na Tanzanite tumeuzuia. Kwa sasa wanapumulia mpira.

Hawana lolote tunawa
 
Kwani mnawaleta BURE??achani ET, watatuletea badala Yenu
 
Mungu anakuona,Nyie ndege zenu, siwezi nikasema ni chafu ila, wahudumu wenu, ni wabaya sijawahi kuona,huwezi linagnisha na ET,kwanza shirika lenu, ndege zenu zishazeeka
[emoji16][emoji16][emoji16]kwamba tatizo lao sio dogo ni Mungu mwenyewe ndio kawapa hilo tatizo[emoji23][emoji23].
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…