Dah! Mataifa yote haya tumezuia ndege zao wangekua wanalialia kama Watanzania sijui tungefanya nini haswa, tumezuia hadi Marekani, Sweden, India n.k, ila cha msingi na muhimu sana kwetu ni usalama wa afya zetu, na kwa vile mumepiga makelele sana hadi mnatia huruma kwa jinsi mnang'ang'ania kuja kwetu, basi mtaruhusiwa kuja ila lazima kila anayekuja na paspoti ya Tanzania apanue mdomo na kutumbukizwa kifaa cha kupima corona, ikigundulika amesheni virusi anageuzwa kwa gharama zake. Lazima tuwapime kama tunavyofanya pale mpakani, pale ambapo mlipiga makelele kama haya ikabidi tuwahurumie.
Watanzania hili la corona mumedhihirisha udhaifu mkubwa sana na imekua mwendo wa tahadhari kutolea na mataifa mengi dhidi yenu licha ya nyie kujiaminisha kwamba hamna corona.
Mnatiwa alama nyekundu kote...
Health Alert: U.S. Embassy Dar es Salaam | U.S. Embassy in Tanzania