Sakata la Lissu: Mange kufunguka

Status
Not open for further replies.
Anzisheni na nyie akaunti yenu ya Instagram kumpinga si lazima mtumie ya kwake. Obama alipokuwa anashutumiwa na wapinzani wake alianzisha ya kwake akaiita "anti-Smear Campaign". wote mnaompinga Mange anzisheni akaunti yenu na nyie mtapata wafuasi.
Kwanini tufanye hivyo? kwani yeye anaonagopa nini kupingwa pale pale kwenye instar yake?
 
Albadili haijajibu tuu...!? Au majibu ndio hatuyataki!?
 
Kwanini tufanye hivyo? kwani yeye anaonagopa nini kupingwa pale pale kwenye instar yake?
Instagram Account ni mali binafsi ya mtu na ndiyo maana anao uwezo wa kuku-block. hoja yangu na nyie anzisheni ya kwenu kukanusha "uongo" anaousambaza. Shida iko wapi?
 
Instagram Account ni mali binafsi ya mtu na ndiyo maana anao uwezo wa kuku-block. hoja yangu na nyie anzisheni ya kwenu kakunusha "uongo" anaousambaza. Shida iko wapi?
Hoja si kwamba anao uwezo wa kufanya hivyo au hana bali kwanini afanye hivyo ni kipi anachokiogopa? Mimi nauliza sababu za yeye kufanya hivyo na si suruhisho la kukabiliana na hicho anachokifanya.
 
Hahaha povu
Huyo Kahaba atakuja na jipya gani kwenye ishu ya Lissu zaidi ya Yale Yale akina Mbowe wanayoshinda wanasema eti vyombo vya usalama ndio vinahusika!!? Sasa ati itakuwa Bombshell!! Ipi mpya?? Upuuzi!
 
Upuuzi
 
Ni aibu kijana wa kitanzania kushikwa akili na Mtu anayefanya biashara ya ngono marekani.
Nyapu yake ana hiari ya kutumia atakavyo ili mradi hajavunja sheria. Ni njia pia halali USA ya kujipatia kipato.
 
Ni aibu kijana wa kitanzania kushikwa akili na Mtu anayefanya biashara ya ngono marekani.

wawa ccm ndo mnajua hayo tu mengine zero, embu leteni maisha bora kwa kila mtanzania na sio vibaraka wa ccm tu
 
baelezeeeeeeeee
 
Ujinga ni kuamini kila kitu anachopost Mange...

Chadema Kama chanzo chenu cha kuaminika ni Mange mtazidi kupoteana siku hadi siku.
ila asimilia kubwa ya makombora yake huwa ni kweli tehe tehe tehe
 
Hata Wewe Ni matokeo ya mzazi wako kutunuku nyapu kwa Mshua wako + Kuzamishwa chumvini....


So don't get twisted Bitch
Chri
So unataka kuniambia wewe ulipatikana kupitia kwa wakina mama wenye tabia za kishezi kama za mange....

Kama ni hivyo then im very sorry for you brother......
Umeambiwa mguu pande ulihusika kwa maza wako na mipushapu ya kumwaga kutoka kwa mdingi wako yalitawala onyesho la ndani!
Matokeo yake mara paaaaap! Mkunga wa jadi huyu kukupokea.
 
Ujinga ni kuamini kila kitu anachopost Mange...

Chadema Kama chanzo chenu cha kuaminika ni Mange mtazidi kupoteana siku hadi siku.
Pia ni aibu mkoa mkubwa kuongozwa na mtu aliyetaga form four
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…