Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Acha woga,tulia upewe manenoUjinga ni kuamini kila kitu anachopost Mange...
Chadema Kama chanzo chenu cha kuaminika ni Mange mtazidi kupoteana siku hadi siku.
Poleeee sana mkuumtofoutishe diamond ambaye yupo pale kimaslahi na huyu malaya wa kichaga ambaye kutwa nzima amekuwa ni mtu wa kuzusha vitu vya ajabu juu ya Kiongozi wetu mpendwa JPM.....
Ni mwanamke mchonganishi sana ambaye hastahili kuitwa mama... sipatii picha hao watoto wake anawalea vipi?
Huyi Kimavi Ndo FBI nini !?Kaahidi kufunguka na kuweka kila kitu hadharani soon.
Kaaandika hayo katika ukurasa wake wa Instagram muda mfupi uliopita.
Amesema tusimuombee yeye bali usiku huu tumuombee Tundu Lissu na wote waliofanikisha yeye kupata hizo nyeti muhimu.
Amemalizia kwa kusema, "it will be the bombshell of all bombeshells."
kwa akili yenu hasa mnadhani chadema ndio wanaopeleka habari kwa mange, chadema wanajua nini kuhusu serikali, ni nyie nyie ccm ndio mnaopeleka hayo mambo na mange anayatoa, kwani nyie mumekuwa waoga kuyasema,Ujinga ni kuamini kila kitu anachopost Mange...
Chadema Kama chanzo chenu cha kuaminika ni Mange mtazidi kupoteana siku hadi siku.
Matumbo ya uzaziMange kiboko ya Lumumba.....walimsikia matumbo yanawauma......
Na pia ni aibu kwa chama kuongozwa na Disco Jocker mwenye div 0Pia ni aibu mkoa mkubwa kuongozwa na mtu aliyetaga form four
Dj Mbowe? Ana division gani?Bashite ziro brain.
OneDj Mbowe? Ana division gani?
One ya mbege labda.
Mange bana sijui hiyo bombshell ndo habari za kina mobetoVipi ameshaweka?
Ok.One ya mbege labda.
Sasa hivi imekua ni bora kusikiliza ya Mange kuliko kumsikiriza Siro, maana kama Mange ni Muongo basi Siro ni Mtatanishi kabisaa yaani muongo aliyepitilizaKaahidi kufunguka na kuweka kila kitu hadharani soon.
Kaaandika hayo katika ukurasa wake wa Instagram muda mfupi uliopita.
Amesema tusimuombee yeye bali usiku huu tumuombee Tundu Lissu na wote waliofanikisha yeye kupata hizo nyeti muhimu.
Amemalizia kwa kusema, "it will be the bombshell of all bombeshells."
Hapana, Mange anaongea facts ambazo hupashwi kuzipuuza, never utakuwa hujielewiUjinga ni kuamini kila kitu anachopost Mange...
Chadema Kama chanzo chenu cha kuaminika ni Mange mtazidi kupoteana siku hadi siku.