Sakata la Lissu: Mange kufunguka

Sakata la Lissu: Mange kufunguka

Status
Not open for further replies.
mtofoutishe diamond ambaye yupo pale kimaslahi na huyu malaya wa kichaga ambaye kutwa nzima amekuwa ni mtu wa kuzusha vitu vya ajabu juu ya Kiongozi wetu mpendwa JPM.....

Ni mwanamke mchonganishi sana ambaye hastahili kuitwa mama... sipatii picha hao watoto wake anawalea vipi?
Poleeee sana mkuu
 
Hapo bado kimambi hajafunguka lakini povu linawatoka he akifunguka si mtateka kabisa
 
Kaahidi kufunguka na kuweka kila kitu hadharani soon.

Kaaandika hayo katika ukurasa wake wa Instagram muda mfupi uliopita.

Amesema tusimuombee yeye bali usiku huu tumuombee Tundu Lissu na wote waliofanikisha yeye kupata hizo nyeti muhimu.

Amemalizia kwa kusema, "it will be the bombshell of all bombeshells."
Huyi Kimavi Ndo FBI nini !?
 
Ujinga ni kuamini kila kitu anachopost Mange...

Chadema Kama chanzo chenu cha kuaminika ni Mange mtazidi kupoteana siku hadi siku.
kwa akili yenu hasa mnadhani chadema ndio wanaopeleka habari kwa mange, chadema wanajua nini kuhusu serikali, ni nyie nyie ccm ndio mnaopeleka hayo mambo na mange anayatoa, kwani nyie mumekuwa waoga kuyasema,
 
Tukubali ya jana kuhusu Baraza la Mawaziri ilimpita Mange,maana kama angekuwa nayo angeitoa kabla ya Mh.Rais kutangaza.Hii ina maana vyanzo vyake vya habari sasa tumeanza kuvidhibiti na sooner or later na yeye pia tutamdhibiti.
GOOD DAY COMRADES.
 
Kaahidi kufunguka na kuweka kila kitu hadharani soon.

Kaaandika hayo katika ukurasa wake wa Instagram muda mfupi uliopita.

Amesema tusimuombee yeye bali usiku huu tumuombee Tundu Lissu na wote waliofanikisha yeye kupata hizo nyeti muhimu.

Amemalizia kwa kusema, "it will be the bombshell of all bombeshells."
Sasa hivi imekua ni bora kusikiliza ya Mange kuliko kumsikiriza Siro, maana kama Mange ni Muongo basi Siro ni Mtatanishi kabisaa yaani muongo aliyepitiliza
 
Ujinga ni kuamini kila kitu anachopost Mange...

Chadema Kama chanzo chenu cha kuaminika ni Mange mtazidi kupoteana siku hadi siku.
Hapana, Mange anaongea facts ambazo hupashwi kuzipuuza, never utakuwa hujielewi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom