Sakata la Lissu: Mange kufunguka

Sakata la Lissu: Mange kufunguka

Status
Not open for further replies.
Hivi Mange ndo yule aliyesema kwamba wema analala kwa diamond mda mchache tu nikaona screenshot ya wema akikanusha!!!!!!

Wakuu msaada.
 
Ujinga ni kuamini kila kitu anachopost Mange...

Chadema Kama chanjo chenu cha kuaminika ni Mange mtazidi kupoteana siku hadi siku.
Ujinga ni kuamini na kushangilia kitu LA kufokafoka na kulalama lalama!
 
Ujinga ni kuamini kila kitu anachopost Mange...

Chadema Kama chanjo chenu cha kuaminika ni Mange mtazidi kupoteana siku hadi siku.
Wakati Mange anawafanyia kampeni CCM aliaminika, akasifiwa kila namna kwa uzalendo na kuipenda nchi na haukuwa wala haukupata kuitwa ujinga leo yuko upande wa pili mayowe... 😀😀😀
 
Mange ukipinganenae kule instar ana kublock hataki umpinge,hivyo hata kama amendika kitu na unaona una mawazo tofauti unatakiwa ujizuie kutoa hayo mawazo kama hutaki akublock.

Sijajua kwanini nae anashindwa kuvumilia kupingwa!!
 
Wakati Mange anawafanyia kampeni CCM aliaminika, akasifiwa kila namna kwa uzalendo na kuipenda nchi na haukuwa wala haukupata kuitwa ujinga leo yuko upande wa pili mayowe... 😀😀😀
Sijawahi na siji kuwa ccm.....mimi najadili kilichopo mezani.
 
Huu uzi umejaa matusi sana, hadi aibu.

Na bahati nzuri hata wachangiaji nao ukiondoa Mimi tu labda na Wewe Mkuu ni ' Wabobezi ' wazuri mno wa Matusi. Ngoja Sisi wengine tusiojua ' Kutukana ' tujifunze ' matusi ' mapya kwa Walimu wa ' matusi ' hapa.
 
Matusi ya nini vijana? Subiri apost hivyo vitu. Akimaliza mtapima kama vina chembechembe ya ukweli au anapotosha tu.
Hakuna haja ya kutukanana kama mko kwenye kilabu cha pombe.
 
Sasa pressure ya nini kama hizo habari zinatoka kwa muuza nyapu huko usa si mpotezee tu, msifikiri mtaweza kufunga watu midomo bora huo mkautumia kuwatumikia wa tanzania.
 
Na bahati nzuri hata wachangiaji nao ukiondoa Mimi tu labda na Wewe Mkuu ni ' Wabobezi ' wazuri mno wa Matusi. Ngoja Sisi wengine tusiojua ' Kutukana ' tujifunze ' matusi ' mapya kwa Walimu wa ' matusi ' hapa.

Kweli kabisa, tukilianzisha tutambuliwa kufungiwa tu.
 
Sijawahi na siji kuwa ccm.....mimi najadili kilichopo mezani.
Nimekumbushia tu... ule wembe wakati unanyoa ndevu haukuwa butu... sasa umehamia sehemu muhimu ndio tunasikia makelele lakini wembe ni uleule sikuwa na maana nyingine zaidi ya kubalance
 
Ujinga ni kuamini kila kitu anachopost Mange...

Chadema Kama chanjo chenu cha kuaminika ni Mange mtazidi kupoteana siku hadi siku.

sasa kwa tukio kama hili nani unataka tumuamini! Jeshi LA Polisi? wewe? Lumumbas? poor you! kwa uzoefu wangu kwa matukio yafananayo na haya yaliyowahi kutokea Hazikuwa kutolewa taarifa za maana kutoka vyombo husika bali wanatumika watu binafsi na wahusika wenyewe kuupata ukweli Wa mambo! kama wewe unaona Mange hana cha maana cha kusema waache wanaoamini ana cha maana cha kusema, we subiri polepole na kamanda Siro wakiongea
 
Ni aibu kijana wa kitanzania kushikwa akili na Mtu anayefanya biashara ya ngono marekani.
Upo sahihi kabisa MKUU! Ila usisahau...
"Baniani Mbaya....................."
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom