Sakata la Lissu: Mange kufunguka

Sakata la Lissu: Mange kufunguka

Status
Not open for further replies.
kwa chadema ilivyo sasa, Mange anafaa kuwa mwenyekiti wa chama
 
Ni aibu kijana wa kitanzania kushikwa akili na Mtu anayefanya biashara ya ngono marekani.
Wazungu hawajakosea kuhusu uwezo wetu wa kufikiria! Akili ndogo! Dont think that yeye ndio chanzo! Hata awe malaya lakini anapewa data za ukweli kwa watu wapenda kweli!! Think twice dont neget everything! Even crazy people can save you from death!
 
wewe ndio mpuuzi tena mshenzi kabisa.... huwezi nipangia ni kitu gani nikomenti? Tena hasahasa kwa huyo mpuuzi mwenzako Mange.....

Ni mshenzi asifaaa kuvumilika.... janamke gani lisilo na stahaa kutwa nzima kuzusha vitu visivyo na maana.... bila shaka na wewe utakuwa unatabia za kizaramo..... badilika aisee wanaume halisi hatuna tabia hizo
Ulikuwa wap mbona kama umekurupuka,nahisi ulikuwa umeukalia ...
 
kwa chadema ilivyo sasa, Mange anafaa kuwa mwenyekiti wa chama

Take it easy. Mange sasa hivi ni kama maji. Utamsikiliza tu. Kuchangia posti inayomhusu ni uthibitisho tosha kwamba ana-influence katika jamii. She is somebody, unlike you.
 
Kumbe hapingwi! Unasema ukimpinga tu anakublock? Huyu ndiye tunamshangilia kwamba ni mwanademokrasia kumbe hataki kupingwa
Anajua wanaompinga hawapo timamu,kama unapinga ukwel ya nini? ahangaike nawe
 
Bado ajanza kuweka huo ushaidi?

Anamalizia Kwanza kuficha majina ya wale waliompa hizo taarifa ' nyeti ' na ' muhimu ' hivyo vuta subira Mkuu au lala kwanza na utakapoamka labda kwenda kukojoa baadae usiku unaweza wakati unarudi ukapitia kuona kwani anaweza akawa ameshatiririka na kuserereka kama alivyoahidi.
 
Kwa kukusaidia tu tafuta nyuzi za Bavicha kumponda Mange wakati yupo ccm, halafu tafuta nyuzi za Mange kumponda Lowasa wakati yupo ccm na alivyohamia Chadema.....

Huyo Dada usimwamini kiasi hicho....kwa siku za karibuni wameshirikiana kwa karibu sana na Chadema....ila Chadema wajiandae maana ni kama Mange ameshika mpini wao wameshika makali.

Siku akitofautiana na Chadema sijui itakuaje.....muda utaongea.
Endelea kuamini hilo
 
Mange mwaga nyuki hao mwaga nyukiiiiiiiiiiiiiiiii.......
*****
 
mange tumwagie data tutawavizia hata kwa chupa tu tuwatungue na SMG zao
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom