Sakata la Lissu: Mange kufunguka

Sakata la Lissu: Mange kufunguka

Status
Not open for further replies.
By the way Mange ndo nani katika taifa letu hata tuone kuwa kila anacho post ni UKWELI usiopingika?
Tukijiuliza hilo na kupata jibu basi tutawaachia wanaohusika watupe majibu na si huyu.
Jpm alitamka hadharani kuwa alipoingia madarakani sukari ilikuwa sh. 5000, UONGO UONGO UONGO MTUPU!! huoni wanaosema uongo ni serikali ikiongozwa mfalme?
 
Ujinga ni kuamini kila kitu anachopost Mange...

Chadema Kama chanzo chenu cha kuaminika ni Mange mtazidi kupoteana siku hadi siku.

Sasa hivi kwenye siasa mihemko imeshika hatamu na matumizi ya fikra hayapo tena.....kila mtu pasi na kutumia utashi wake anagandana na habari au tukio linaloifurahisha nafsi yake....ndio maana kila mtu ni mwana habari kwa kuwa ni rahisi sana kuwa mwana habari kwa kuwa hadhira ipo kihisia na sio uhalisia.........unachotakiwa kufanya ni kusoma alama za nyakati na kuangalia upepo unapovuma.........

3e9f263e8ffc7e31c4e8d7c79831d4f7.jpg
 
Ngoja wamule tu coz hata nilivyomuoa nilikuta ashaliwa tatizo liko wapi hapo?

tatizo vijana wa karne mihemuko ina wa cost sana....
Umedhirisha kuwa una msongo wa mawazo, dah yaani unavuta picha lijamaa lina mdevu kama usama lina msukumiza mbuzi kagoma hahahahahaha!
 
Jpm alitamka hadharani kuwa alipoingia madarakani sukari ilikuwa sh. 5000, UONGO UONGO UONGO MTUPU!! huoni wanaosema uongo ni serikali ikiongozwa mfalme?
Bei ya bidhaa yoyote ni SUPPLY na DEMAND ikiwemo sukari. Kupanda na kushuka kunategemea mambo kama hayo.
 
Wewe *chanjo* chako ni kipi? Na wewe ujinga wako ni kuteka na kuwamiminia marisasi watu wasiokubaliana na wewe? TAL alitwambia khs ndege kukamatwa kutokana na deni lililotokana na kuvunja mkataba wa ujenzi wa barabara. Ni kweli au ni urongo?
Akikujibu unishtue!!
 
Bei ya bidhaa yoyote ni SUPPLY na DEMAND ikiwemo sukari. Kupanda na kushuka kunategemea mambo kama hayo.
Akiingia madarakani bei ya sukari ilikuwa kati ya tsh 1600 - 1800.

Muongo mkubwa eti anatuambia ilikuwa 5000!

Kwa mfano huo Mange is far more credible than king Huhihuhi.
 
Akiingia madarakani bei ya sukari ilikuwa kati ya tsh 1600 - 1800.

Muongo mkubwa eti anatuambia ilikuwa 5000!

Kwa mfano huo Mange is far more credible than king Huhihuhi.
Uchochezi
 
Akiingia madarakani bei ya sukari ilikuwa kati ya tsh 1600 - 1800.

Muongo mkubwa eti anatuambia ilikuwa 5000!

Kwa mfano huo Mange is far more credible than king Huhihuhi.
Aisee! Haya bhana!
 
Ungenis
Kwa kukusaidia tu tafuta nyuzi za Bavicha kumponda Mange wakati yupo ccm, halafu tafuta nyuzi za Mange kumponda Lowasa wakati yupo ccm na alivyohamia Chadema.....

Huyo Dada usimwamini kiasi hicho....kwa siku za karibuni wameshirikiana kwa karibu sana na Chadema....ila Chadema wajiandae maana ni kama Mange ameshika mpini wao wameshika makali.

Siku akitofautiana na Chadema sijui itakuaje.....muda utaongea.
Ungenisoma vema ungenielewa
 
Ujinga ni kuamini kila kitu anachopost Mange...

Chadema Kama chanzo chenu cha kuaminika ni Mange mtazidi kupoteana siku hadi siku.
Bora Mange kuliko Sirro aka Ziro
 
Inabidi lianzishwe jukwaa maalum la udaku na mipasho kwa wanawake na wanaume wnye tabia za kike (mashoga) iwe sehemu ya kutupia uchafu kama huu..
Hata ukimtafuta bwana Max sidhan hata atakupa dakika 2 kumshauri hilo jambo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom