Moto wa makaa hauwezu kulingana na moto wa Katiba. Harakati zimeanza toka 1995Wakuu Kwema!
Mfuatano wa Matukio ya Moto Kwa sasa unatafakarisha Sana.
Je Matukio hayo yatafanikiwa kupoteza uelekeo wa upepo wa Katiba Mpya?
Karibuni tujadili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moto wa makaa hauwezu kulingana na moto wa Katiba. Harakati zimeanza toka 1995Wakuu Kwema!
Mfuatano wa Matukio ya Moto Kwa sasa unatafakarisha Sana.
Je Matukio hayo yatafanikiwa kupoteza uelekeo wa upepo wa Katiba Mpya?
Karibuni tujadili.
Achana naye huyo jamaa ni wa ajabu sana.Mkuu kwani upo nchi gani mpaka hujui Jambo Hilo?
Bila shaka hata moto wa kariakoo ni uongo tu. Maana humu jukwaa zima hatujasikia shuhuda hata mmoja aliyeharibikiwa mali au vituEducate me, hivi huo "upepo wa kudai Katiba Mpya" unavuma wapi?
Nimeona hii kitu aiseeeh...NMB Kasulu branch inateketea huko, kazi ipo!
[emoji849][emoji849][emoji848] what??????NMB Kasulu branch inateketea huko, kazi ipo!
Ila Diallo kaongea ukweli mtupuSio moto tu hata antony dialo pia
''Matukio hayo ni ya kupangwa na serikali kuzima sakata la katiba mpya movement,wameanza na moto kisha yatakuja matukio mengine yatakayoipa nguvu serikali kuzuia mikutano ya katiba mpya kwa kigezo cha kulinda usalama na amani'' alisikika akisema bwana mmoja.Wakuu Kwema!
Mfuatano wa Matukio ya Moto Kwa sasa unatafakarisha Sana.
Je Matukio hayo yatafanikiwa kupoteza uelekeo wa upepo wa Katiba Mpya?
Karibuni tujadili.
''Matukio hayo ni ya kupangwa na serikali kuzima sakata la katiba mpya movement,wameanza na moto kisha yatakuja matukio mengine yatakayoipa nguvu serikali kuzuia mikutano ya katiba mpya kwa kigezo cha kulinda usalama na amani'' alisikika akisema bwana mmoja.Wakuu Kwema!
Mfuatano wa Matukio ya Moto Kwa sasa unatafakarisha Sana.
Je Matukio hayo yatafanikiwa kupoteza uelekeo wa upepo wa Katiba Mpya?
Karibuni tujadili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unavuma getoni kwa mdude nyagali!Educate me, hivi huo "upepo wa kudai Katiba Mpya" unavuma wapi?
Huo moto wa katiba mpya una waka wapi?Moto wa katiba Mpya hauzimiki kwa kuchoma miundombinu moto.
Moto wa makaa hauwezu kulingana na moto wa Katiba. Harakati zimeanza toka 1995
Watu wanaplan zao mzee!NMB Kasulu branch inateketea huko, kazi ipo!
Hiyo movement ya katiba mpya inafanyika wapi?''Matukio hayo ni ya kupangwa na serikali kuzima sakata la katiba mpya movement,wameanza na moto kisha yatakuja matukio mengine yatakayoipa nguvu serikali kuzuia mikutano ya katiba mpya kwa kigezo cha kulinda usalama na amani'' alisikika akisema bwana mmoja.
My take: historia inaonyesha popote duniani kuwa muda wa kudai haki ukifika hauzuiliki,kupingana na jambo la maumbile ya kihistoria ni kama kujaribu kuzuia jua kuchomoza.
Serikali inapaswa kutumia fursa hii isiyokwepeka kufanya mazungumzo na wadau ili kuridhiana namna nzuri ya kufanya,maana wadau sio upinzani tu ni wananchi wote na ata CCM wenyewe baadhi wanahitaji katiba mpya.
🚮🚮Hiyo movement ya katiba mpya inafanyika wapi?
Huo moto wa katiba mpya una waka wapi?
Mbona hatuoni huku mitaani?Muulize mama chokochoko.