Sakata la majanga ya Moto yanayoendelea yatazima upepo kudai Katiba Mpya?

Sakata la majanga ya Moto yanayoendelea yatazima upepo kudai Katiba Mpya?

Tunaona watu wakiwa busy na maisha yao!
. Hizo movement za katiba ziko wapi?

Hata wanajeshi wako kwenye mafunzo makali humu humu nchini, je umeona wakifahamika wanafanya nini? Ww kutokujua kinachoendelea haimaanishi hakuna kinachoendelea.
 
Hata wanajeshi wako kwenye mafunzo makali humu humu nchini, je umeona wakifahamika wanafanya nini? Ww kutokujua kinachoendelea haimaanishi hakuna kinachoendelea.
Wanajeshi tunawaona na kambi zao tunajua zilipo, na tunajua wako tayari endapo nchi ikivamiwa na maadui!

Je, hizo movement za katiba zinafanyika wapi?
 
Katiba mpya or not,,,we don't have an intelligent political class on both sides of the aisle especially the ruling one,na it's reflective ya hata sisi wananchi tulivyo,hatuko serious.....Hivi kweli suala trending la kisiasa ni la kumkosesha Diamond Tuzo, au kukomoa watetea Legasi...na viongozi wetu walivo wajanja wanajua tunachotaka na wakatengeneza watu kila siku kuleta kauli za kufurahisha kwa mda mchache huku wakiendelea kutubebesha mizigo...hivi kweli nchi inayokujali inakupunguzia bei ya pombe na kukuongezea bei ya mafuta, inakupenda kweli.hayo mambo yanafanyika huku wabunge wetu wakijiongezea maposho tu na mishahara.🤣🤣🤣
 
Katiba mpya or not,,,we don't have an intelligent political class on both sides of the aisle especially the ruling one,na it's reflective ya hata sisi wananchi tulivyo,hatuko serious.....Hivi kweli suala trending la kisiasa ni la kumkosesha Diamond Tuzo, au kukomoa watetea Legasi...na viongozi wetu walivo wajanja wanajua tunachotaka na wakatengeneza watu kila siku kuleta kauli za kufurahisha kwa mda mchache huku wakiendelea kutubebesha mizigo...hivi kweli nchi inayokujali inakupunguzia bei ya pombe na kukuongezea bei ya mafuta, inakupenda kweli.hayo mambo yanafanyika huku wabunge wetu wakijiongezea maposho tu na mishahara.🤣🤣🤣


🤔🤔🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom