kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Iwapo Kamati ya Maamuzi Ingekaa mara tu baada Ya Dk 90 za mtanange Wa Simba na Geita, huyu Refarii Uwezekano mkubwa Asingepona kufungiwa. Martin Saanya Sasa ni Kama amesafishwa na Upepo umebadilika.
Kwamba alitoa maamuzi sahihi. Faulo ya Geita halali.!
Japo Wachambuzi wengi Wanaitwa Wachambuzi 'Uchwara' na Wakati mwingine Wameitwa takataka..!
Nguvu Ya Wachambuzi imeoneonekana kwenye kipute hicho, Wamepindua Upepo na Refa huyu anaweza Kuonekana heroes huku Wengine wakionekana Wanadandia taaluma zisizo wahusu ambazo hawana Utaalamu nazo.
Ndo hivyo tu... Kamati zinazohusika zitoe ufafanuzi Mapema kabla Watu hawajatiana Vidole vya Macho.
Kwamba alitoa maamuzi sahihi. Faulo ya Geita halali.!
Japo Wachambuzi wengi Wanaitwa Wachambuzi 'Uchwara' na Wakati mwingine Wameitwa takataka..!
Nguvu Ya Wachambuzi imeoneonekana kwenye kipute hicho, Wamepindua Upepo na Refa huyu anaweza Kuonekana heroes huku Wengine wakionekana Wanadandia taaluma zisizo wahusu ambazo hawana Utaalamu nazo.
Ndo hivyo tu... Kamati zinazohusika zitoe ufafanuzi Mapema kabla Watu hawajatiana Vidole vya Macho.