Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya matishio ya kumwagika kwa damu Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, hatimaye jana damu imemwagika kweli huko Maswa ambapo dereva wa gari la mgombea wa CCM jimboni humo, ameuwawaw na wananchi wenye hasira.
Nimezungumza na Mgombea wa Chadema, John Magalle Shibuda, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, japo hakuthibisha maafa, bali ametoa upande wake wa story kuwa yeye akiwa Jukwani kwenye kampeni zake, akatuma gari lake la matangazo kutangulia kijiji kinachofuata.
Gari hilo likiwa njiani, lilivamiwa na gari la mgombea wa CCM wakitaka kuligonga ndipo likalikwepa na ikawa ndio salama yao, gari lile la mgombea wa CCM nalo likasisima, watu wakashuka na kuanza kuwashabulia hao kwenye gari la Chadema.
Kwa mujibu wa Shibuda, vijana wake wakapiga mayowe ya kuvamiwa, wanakijiji wakajitiokeza kuwasaidia ndipo waliotembeza hicho kichapo kwa dereva huyo.
Kwa vile Shibuda ni interested party, upande wake wa story lazima upatiwe balance ya upande wa pili wa CCM na hatimaye kuthibitishwa na authorities za Jeshi la polisi.
Naendelea kufuatilia upande wa pili na uthibitisho wa polisi, pia nafanya juhudi za kumtafuta mpiganaji Fredirick Katulanda ambaye siku zote husimama wima bila kuegemea upande wowote.
Hukubali ujinga kwa kumwaga damu ya mtuuuuuuuuuuuu????
Ndugu naona na wewe uko kwenye kampeni jinsi ulivyo present habari yako imekaa kishabiki kwa kuchukuwa upande mmoja tu wa maoni yaani shibuda -- kwa kuwa umewahi kuendesha vipindi vya televisheni haswa vya kukalisha wagombea na wanasiasa mbalimbali nilidhani unauzoefu wa kuchukuwa habari na maoni pande zote mbili -- umechukuwa moja ukaja kuweka hapa
Ndugu naona na wewe uko kwenye kampeni jinsi ulivyo present habari yako imekaa kishabiki kwa kuchukuwa upande mmoja tu wa maoni yaani shibuda -- kwa kuwa umewahi kuendesha vipindi vya televisheni haswa vya kukalisha wagombea na wanasiasa mbalimbali nilidhani unauzoefu wa kuchukuwa habari na maoni pande zote mbili -- umechukuwa moja ukaja kuweka hapa
-- kwa kuwa umewahi kuendesha vipindi vya televisheni haswa vya kukalisha wagombea na wanasiasa mbalimbali nilidhani unauzoefu wa kuchukuwa habari na maoni pande zote mbili -- umechukuwa moja ukaja kuweka hapa
Hukubali ujinga kwa kumwaga damu ya mtuuuuuuuuuuuu????
Radhi siombi msimamo wangu ni huo aandike habari zake kwa umakini sio kwa ushabiki yeye ni mzoefu wa haswa televisheni anajua anachofanya
Sijaita jina nimesema kwa kuwa aliwahi kuwa mwendeshaji wa vipindi vya televisheni alitakiwa kuwa mzoefu wa kuandika na kutoa maoni yake si ya upande mmoja kama hivyo anavyofanya ni mbaya sana - asiwe kama hassan ngeze wa rwanda aliyekuwa jela sasa hivi
Ndugu naona na wewe uko kwenye kampeni jinsi ulivyo present habari yako imekaa kishabiki kwa kuchukuwa upande mmoja tu wa maoni yaani shibuda -- kwa kuwa umewahi kuendesha vipindi vya televisheni haswa vya kukalisha wagombea na wanasiasa mbalimbali nilidhani unauzoefu wa kuchukuwa habari na maoni pande zote mbili -- umechukuwa moja ukaja kuweka hapa
Baada ya matishio ya kumwagika kwa damu Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, hatimaye jana damu imemwagika kweli huko Maswa ambapo dereva wa gari la mgombea wa CCM jimboni humo, ameuwawaw na wananchi wenye hasira.
Nimezungumza na Mgombea wa Chadema, John Magalle Shibuda, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, japo hakuthibisha maafa, bali ametoa upande wake wa story kuwa yeye akiwa Jukwani kwenye kampeni zake, akatuma gari lake la matangazo kutangulia kijiji kinachofuata.
Gari hilo likiwa njiani, lilivamiwa na gari la mgombea wa CCM wakitaka kuligonga ndipo likalikwepa na ikawa ndio salama yao, gari lile la mgombea wa CCM nalo likasisima, watu wakashuka na kuanza kuwashabulia hao kwenye gari la Chadema.
Kwa mujibu wa Shibuda, vijana wake wakapiga mayowe ya kuvamiwa, wanakijiji wakajitiokeza kuwasaidia ndipo waliotembeza hicho kichapo kwa dereva huyo.
Kwa vile Shibuda ni interested party, upande wake wa story lazima upatiwe balance ya upande wa pili wa CCM na hatimaye kuthibitishwa na authorities za Jeshi la polisi.
Naendelea kufuatilia upande wa pili na uthibitisho wa polisi, pia nafanya juhudi za kumtafuta mpiganaji Fredirick Katulanda ambaye siku zote husimama wima bila kuegemea upande wowote .