masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Hahahaha nakumbuka wapenda umbea tulivyokesha siku ile kufatilia story hii... Na uliivalia njuga hii story khaa kama sikosei na wewe ulipata hadi PM za kutokueleweka concerning that issue
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
my friend, kama unachoongea ni cha kweli, basi Mungu ataingilia kati. ila kama unachoongea hauna uhakika nacho, umejipanga kuwachafua tu hao jamaa, madhara unayosababisha kwao na kwa waumini wao yatakurudia wewe mwenyewe mara mia. Mungu akusaidie upate ufahamu huo.
binafsi yangu, nilishawahi kusali makanisa hayo yote katika maisha yangu kwasababu mimi ni mlokole (if i am to declare my interest). sadaka wanazotoa pale kwa gwajima waumini walivyo wengi na pale mwenge kwa huyo mtume unayemsema, ni nyingi sana kiasi kwamba wasingehitaji hata kuwa na biashara ya sembe. ni hela nyingi sana kwa jumapili moja hata hutahitaji kuingia kwenye sembe. na kwa majengo yao ya kuishi yale waliyojenga hakika yake kwa sadaka zinazotolewa na vitabu wanavyouza na mafungu ya kumi etc ni mengi sana kiasi cha kumfanya mtu asione umuhimu wa kuingia kwenye iyo sembe. si kila mtu anayefanikiwa anapitia kwenye sembe...
vilevile, identity yako inajulikana, wewe ninahisi ni mbasha. kwasababu kwenye barua yako ile ya kwanza uliandika kuhusu gwajima na kuwa unataka kumshitaki, ulisema kuwa gwajima anauza sembe, hivyo ni wewe mwenyewe.
unachotakiwa kujua, watumishi wa Mungu si malaika, ila wakikosea si sawa na wewe ukikosea, wao huhukumiwa na Mungu mwenyewe, who are you to judge the saints of the Lord? Mungu pekee ndiye anawahukumu, ukiwahukumu wewe Mungu ni mwenye wivu atakurarua hata kama wamekosea. hujui wametoka mbali vipi na Mungu hadi walipofikia hapo, hujui wamevumilia mangapi kwaajili ya Mungu, hujui wamepitia mangapi and how much God values them due to what they have passed through.
kuhusu mbasha, it is unfortunate kwamba asilimia kubwa inaonyesha alikuwa anafanya ngono na yule binti. simhukumu, ila kutokana na ushahidi hasa wa DNA inaonekana alifanya ngono na under-age. hiyo ni statutory rape hata kama binti alikubali, miaka 30 ileile iko palepale tu. kuna ile clip ya audio mbasha aliongea kuomba msamaha kwa yule binti akaongea na story ndeefu kuhusu ndugu zake wa mwanza hadi mzee kulola, kwa aliyesikiliza clip ile atajua hakuna ubishi ngono ilifanyika. na kama ilifanyika, na binti akajulikana ni under 18yrs, basi hakuna ubishi kwamba mbasha alibaka na atastahili kufungwa, na asilimia za kufungwa ni kubwa sana kulingana na jinsi mbasha alivyojichanganya.
binafsi simhukumu mbasha kwa alichokifanya, ninamuonea huruma kwasababu hata mimi si malaika kwamba sijawahi kuzini ktk maisha yangu, nilishazini sana nashukuru Mungu alinisamehe. ila sidhani kama anachokifanya mbasha kinasaidia hasa kiroho kwasababu. angeyamaliza haya mambo chinichini ingemsaidia na angepata watu wanaomsapoti kwenye iyo kesi.
nilizipata nyingi sana na nina source yangu moja ya kunipa kinachojiri kwa mbasha
Hahaha shosti uwe unanikumbuka basi kwenye ufalme wako wa hizo updates, I beg u uuuh (umbea utaniua khaaa)
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
duuh ndugu yangu ni mambo nyeti sana
Oyaaaa masai dada, tunyetishiane basi nijue walau kidogo kinachojiri mpaka sasa!nilizipata nyingi sana na nina source yangu moja ya kunipa kinachojiri kwa mbasha
duuh ndugu yangu ni mambo nyeti sana
Na ni refu kuliko essay au.research paper
ndugu mtumishi sidhani kama kuna mantiki ya kumhisi mtu,kusema eti ni mbasha coz kasema jamaa anahusika na sembe,hoja yako haina mashaka,unawajua wangapi wenye kumtambua gwajima kama mzee wa sembe?
pili,tukivaa viatu vya mbasha,Mungu ametuamrisha kusamehe mara sabini ila ktk hali ya ubinadamu "human inborn traits" tumeumbwa na viashiria vya hasira na chuki,kwa issue ya gwajima kuhusishwa na kuteteleka kwa ndoa ya mbasha ni dhahiri jamaa lazima amchukie!!
tatu,ndg mtumishi,naamini fungu la kumi lina matumizi mengi kuliko kujenga mijengnw mingi ya gharama na kununua miji gari ya kifahari,hv ungejisikiaje kama ungeona sadaka yako imetumika kumlipia ada yatima aliefiwa na wazazi wote wawili? au mama aliekosa gharama za uzazi hospitali? naamin kuna haja ya kufuata mafundisho ya yesu kwa vitendo na si kwa maneno.
mwishowe alienacho hutaka zaidi hyo ni habit ya binadamu sisemi asilimia 100% kwamba uhusishwaji wa gwajima na sembe ni sahihi ila lisemwalo lipo,matajiri hupenda ku maximize wealth hata kwa njia za panya.
mwishowe kama ulivyosema,tumuachie mungu afanye maajabu yake lkn tuwe huru kwenye kuutafuta ukweli coz the "so called mitume na manabii wa siku hz ni watu tu kama mimi na wewe" wanaweza kujifanya watumishi wa mungu to conceal their true identity!!
fin.....
Team gwajima..mambo!msalimieni wana media ministries
Eti wa watumishi wa Mungu wakati wengi wao ni wezi tu. Na mwingine hapo juu anatetea hawa jamaa kujijengea majumba binafsi kwa sadaka za watu. Shame!!
my friend, kama unachoongea ni cha kweli, basi Mungu ataingilia kati. ila kama unachoongea hauna uhakika nacho, umejipanga kuwachafua tu hao jamaa, madhara unayosababisha kwao na kwa waumini wao yatakurudia wewe mwenyewe mara mia. Mungu akusaidie upate ufahamu huo.
binafsi yangu, nilishawahi kusali makanisa hayo yote katika maisha yangu kwasababu mimi ni mlokole (if i am to declare my interest). sadaka wanazotoa pale kwa gwajima waumini walivyo wengi na pale mwenge kwa huyo mtume unayemsema, ni nyingi sana kiasi kwamba wasingehitaji hata kuwa na biashara ya sembe. ni hela nyingi sana kwa jumapili moja hata hutahitaji kuingia kwenye sembe. na kwa majengo yao ya kuishi yale waliyojenga hakika yake kwa sadaka zinazotolewa na vitabu wanavyouza na mafungu ya kumi etc ni mengi sana kiasi cha kumfanya mtu asione umuhimu wa kuingia kwenye iyo sembe. si kila mtu anayefanikiwa anapitia kwenye sembe...
vilevile, identity yako inajulikana, wewe ninahisi ni mbasha. kwasababu kwenye barua yako ile ya kwanza uliandika kuhusu gwajima na kuwa unataka kumshitaki, ulisema kuwa gwajima anauza sembe, hivyo ni wewe mwenyewe.
unachotakiwa kujua, watumishi wa Mungu si malaika, ila wakikosea si sawa na wewe ukikosea, wao huhukumiwa na Mungu mwenyewe, who are you to judge the saints of the Lord? Mungu pekee ndiye anawahukumu, ukiwahukumu wewe Mungu ni mwenye wivu atakurarua hata kama wamekosea. hujui wametoka mbali vipi na Mungu hadi walipofikia hapo, hujui wamevumilia mangapi kwaajili ya Mungu, hujui wamepitia mangapi and how much God values them due to what they have passed through.
kuhusu mbasha, it is unfortunate kwamba asilimia kubwa inaonyesha alikuwa anafanya ngono na yule binti. simhukumu, ila kutokana na ushahidi hasa wa DNA inaonekana alifanya ngono na under-age. hiyo ni statutory rape hata kama binti alikubali, miaka 30 ileile iko palepale tu. kuna ile clip ya audio mbasha aliongea kuomba msamaha kwa yule binti akaongea na story ndeefu kuhusu ndugu zake wa mwanza hadi mzee kulola, kwa aliyesikiliza clip ile atajua hakuna ubishi ngono ilifanyika. na kama ilifanyika, na binti akajulikana ni under 18yrs, basi hakuna ubishi kwamba mbasha alibaka na atastahili kufungwa, na asilimia za kufungwa ni kubwa sana kulingana na jinsi mbasha alivyojichanganya.
binafsi simhukumu mbasha kwa alichokifanya, ninamuonea huruma kwasababu hata mimi si malaika kwamba sijawahi kuzini ktk maisha yangu, nilishazini sana nashukuru Mungu alinisamehe. ila sidhani kama anachokifanya mbasha kinasaidia hasa kiroho kwasababu. angeyamaliza haya mambo chinichini ingemsaidia na angepata watu wanaomsapoti kwenye iyo kesi.
Hakika wewe nimmoja wao. Ni suala la muda tu mtaona hasira yake yeye aliye juu
Mbasha hafungwi hata robo siku!!!
Eti wa watumishi wa Mungu wakati wengi wao ni wezi tu. Na mwingine hapo juu anatetea hawa jamaa kujijengea majumba binafsi kwa sadaka za watu. Shame!!
Umenena vyema kbs sadaka co kwa ajili ya kujineemesha wao na suala la sembe lipo linazungumzwa kila leo viongoz wa dini na vyama wamekuwa wakijineemesha wao ss kwann wasizungumzwe ili watu ambao hawajui wawatambue kuwa wanaongozwa na watu wa aina gani
ndugu zangu mabibi na mabwana, kwanza kabisa nilisha declare interest kwamba, nilishawahi kusali kwa gwajima mara nyingi tu, na kwa huyo wa mwenge mara nyingi tu. kwa upande wangu, nililishwa Neno la Mungu na Bwana aliongea nao kupitia wao hadi nikabadilika maisha yangu sana. kama nyie mnao ushahidi kwa hayo mnayoyasema wekeni ushahidi hapa. nijuavyo kwa gwajima ile hummer alipewa Japan alipoenda kuhubiri, alipewa magari mengi tu mengine aliwagawia watumishi wengine, na alipotoka japan na ile hummer alikuja kutangaza kanisani kuhusu kupewa gari hiyo na wajapani, na wajapani wenyewe walikuwepo wengine hadi waliolewa palepale kwa blacks...kipindi hicho lile kanisa lilikuwa pale ubungo. alihamia kawe. pale mwenge nilisali sana pia, nilimwona Mungu. mnachotakiwa kujua ni kwamba kila kanisa linalo sheria zake katika kutumia mafungu ya kumi. kibiblia wana wa Walawi (ambao ni kabila moja la waisrae ambao Mungu aliliteua kuwa ni kabila la makuhani hadi leo hii) wao hawakuruhusiwa kufanya kazi, kazi yao ilikuwa ni kutumika hekaluni tu, na waisrael walitakiwa/wanatakiwa kutoa moja ya kumi ya kila wanachopata ili kuwapa hawa walawi wasiofanya kazi wanaopoteza muda wao hekaluni kusaidia ili kuwahudumia wao wengine kiroho. huu ndio msingi wetu sisi walokole hadi leo hii, fungu la kumi ni la mtumishi wa Mungu na halitakiwi kuliwa na yeyote kibiblia, the more you have many members in your church the more fungu la kumi you will get (tithe). hii ndio sababu utakuwa watumishi wa kilokole wanakuwa na pesa kwasababu ya mafungu ya kumi wala si sadaka nyingine, na wameruhusiwa na biblia kuzitumia. sadaka nyingien ndiu huenda kwenye mambo mengine, huo ndio msingi wa fungu la kumi kibiblia. atakayekwambia vingine ni mwongo.Pamoja na utetezi wakomkwa watumishi wa Mungu, mbona huna uhakika na unachokisema? Kama wamtuhumiwa kuuza sembe, basi unapowatetea uje na ushahidi kwamba hawauzi, siyo kusema tu sadaka. You better be quite.
Kuhusu identity ya Mbasha napo huna uhakika, ila ujue hata kama ni yeye basi anaonyesha uchungu kwa mke wake. Hivi wewe mke wako ahisiwe kutembea na mchungaji wako, utakaa kimya tu? Simtetei kwa dhambi anayotuhumiwa (ubakaji). Narudia tena you better be quite.
Siyo kila mchungaji, askofu, mtume na nabii ameitwa na Mungu. Ndiyo maana Biblia imeturusu kutoaminimkila roho, bali tuzijaribu.
yap, Mungu ana wivu sana kwa watu wake. ukitaka kujua kuwa Mungu ana wivu jaribu kugusa watu wake utaona atakavyokushughulikia. wivu wa Mungu upo maeneo mengi, wivu mwingine wa Mungu ni kwamba, God never shares his glory with humans. utukufu wa Mungu ni wa Mungu mwanadamu akiiba utukufu wa Mungu Mungu ana wivu huwa anamrarua. pia, watu wa Mungu hata kama wamekosea Mungu huwa anapenda kujitukuza kupitia kwao na kuonyesha kuwa yeye ni Mungu wa rehema na neema. ukisoma kitabu cha Yoel, utaona jinsi Mungu anavyowararua maadui wa israel pamoja na kwamba waisrael walimkosea, walipomrudia kwa kufunga na kulia aliwasamehe, akawarudishia miaka yao yote iliyopotea, akawageukia maadui zao akawalisha nyama zao wenyewe. Neno la Mungu linasema 'watu wangu hawatatahayarika/my people shall never be ashamed" akimaanisha kuwa Mungu hufuta aibu kwa watu wake ili adui yao aiwaaibishe. Mungu atakusambaratisha hata wewe kama unagusa watu wa Mungu (awe muumini awe mchungaji etc, maadam ni mtu wa Mungu usimguse, utakwisha, kama hauamini jaribu).Duuu mungu ana wivu????