Busara ni jambo la msingi sana katika maisha ya binadamu. Ni wazi kuwa ikikosekana haijalishi, hata kama ni mtu mzima basi hugeuka kituko.
Hapa chini kuna mawazo ya mdau yenye kuangazia tumefeli wapi kama nchi.
Inawezekana namna gani kuwa mtu yeyote hakuyaona haya?
"Inawezekana namna gani kuwa Rais au washauri wake hawakuyaona haya kwa mtizamo kama huu?" -- Fatma Karume.
Heshima kwake Shangazi na nyote waungwana ndani na nje ambao mmechagua kuiweka Tanzania mbele kwa vitendo.
Kwa hakika juhudi zenu za kuitamani Tanzania iliyo bora zaidi hazitapotea bure.
Hapa chini kuna mawazo ya mdau yenye kuangazia tumefeli wapi kama nchi.
Inawezekana namna gani kuwa mtu yeyote hakuyaona haya?
"Inawezekana namna gani kuwa Rais au washauri wake hawakuyaona haya kwa mtizamo kama huu?" -- Fatma Karume.
Heshima kwake Shangazi na nyote waungwana ndani na nje ambao mmechagua kuiweka Tanzania mbele kwa vitendo.
Kwa hakika juhudi zenu za kuitamani Tanzania iliyo bora zaidi hazitapotea bure.