samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,223
Kumbe Mbowe na wenzake sio wananchi......
kwahiyo wananchi wawili wakitaka katiba basi wapewe..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Mbowe na wenzake sio wananchi......
Mbowe siyo mwananchi? Hao wengine siyo wananchi? Kwako wewe, wananchi ni nani?
Ni mtazamo tu.....kwa sababu Mbowe anadai katiba mpya basi akiwa na tuhuma za kipolisi na mahakama aachwe?.... Kwanini hiyo katiba isidaiwe na wananchi na baadala yake aidai Mbowe na wenzake...?
Busara ni jambo la msingi sana katika maisha ya binadamu. Ni wazi kuwa ikikosekana haijalishi, hata kama ni mtu mzima basi hugeuka kitukoBusara ni jambo la msingi sana katika maisha ya binadamu. Ni wazi kuwa ikikosekana haijalishi, hata kama ni mtu mzima basi hugeuka kituko.
Hapa chini kuna mawazo ya mdau yenye kuangazia tumefeli wapi kama nchi.
View attachment 1905908
Inawezekana namna gani kuwa mtu yeyote hakuyaona haya?
"Inawezekana namna gani kuwa Rais au washauri wake hawakuyaona haya kwa mtizamo kama huu?" -- Fatma Karume.
Heshima kwake Shangazi na nyote waungwana ndani na nje ambao mmechagua kiweka Tanzania mbele kwa vitendo.
Kwa hakika juhudi zenu za kuitamani Tanzania iliyo bora zaidi hazitapotea bure.
Piga hao Chadema, Samia wape mfupa wa kuwashughulisha na wasambaratike.Busara ni jambo la msingi sana katika maisha ya binadamu. Ni wazi kuwa ikikosekana haijalishi, hata kama ni mtu mzima basi hugeuka kituko.
Hapa chini kuna mawazo ya mdau yenye kuangazia tumefeli wapi kama nchi.
View attachment 1905908
Inawezekana namna gani kuwa mtu yeyote hakuyaona haya?
"Inawezekana namna gani kuwa Rais au washauri wake hawakuyaona haya kwa mtizamo kama huu?" -- Fatma Karume.
Heshima kwake Shangazi na nyote waungwana ndani na nje ambao mmechagua kiweka Tanzania mbele kwa vitendo.
Kwa hakika juhudi zenu za kuitamani Tanzania iliyo bora zaidi hazitapotea bure.
kwaiyo hadi kwenye kwichikwichi bado kichwa kinakua kimefungwa🤪🤪Ubongo unaathirika na kufungwa 24/7 na hiyo kamba. Kichwa kinahitaji hewa kipumua, sasa wewe umekifunga muda wote lazima kuwe na diminished air supply, increasing heating and hence functioning......
Wananchi ni akina nani kwa mtazamo wako?Mh.Mbowe na wenzake siyo Wananchi?CCM+POLISI huwa mnafikiri kwa kutumia akili zenu kweli?Ni mtazamo tu.....kwa sababu Mbowe anadai katiba mpya basi akiwa na tuhuma za kipolisi na mahakama aachwe?.... Kwanini hiyo katiba isidaiwe na wananchi na baadala yake aidai Mbowe na wenzake...?
Piga hao Chadema, Samia wape mfupa wa kuwashughulisha na wasambaratike.
Mama Samia shughulikia na kufunga njia zote za mapato kwa kuzuiya Ugaidi. Kenge anaanza kutoka damu masikioni usiwaruhusu Chadema wakupige magoti chinja kwa kunyonga.
Sabaya amefanikiwa kusafisha na kipiga deki huku Machame na wewe maliza kitaifa. Haipendezi, na haitotokea yanayo tokea Zambia yatokee hapa Tanzania.
KIGOGO MALIZA SHUGULI HUKO TWITTER.
The party must be led by politicians ,we abhors the activists to lead Chadema.Paragraph ya mwanzo kwenye mada inakuhusu
The party must be led by politicians ,we abhors the activists to lead Chadema.
kwichi apate wapi huyu, kwanza na yeye mbaya kama alivyowatukana wenzakekwaiyo hadi kwenye kwichikwichi bado kichwa kinakua kimefungwa🤪🤪
Ongeza tawi la katiba mpya inataliwa na wananchi. Serikali ianfikia muafaka na wadau wa jinsi ya kuutekeleza.
Mahakama itaamua, ni busara ndogo tu inahitajika kutambua hilo! Hayo mashinikizo yenu kwa Serikali eti wamwachie Mbowe hayana mashiko! Kama hana kosa mahakama itamuachia huru!
kwahiyo wananchi wawili wakitaka katiba basi wapewe..
Mbowe mi-kumi mingine!
Like him, hate him. How the hell does it end up being your business?
By the way, you say,
"we abhors the activists to lead Chadema."
as who?
Hiiiiiiiii bagosha!
Ongeza tawi la katiba mpya inataliwa na wananchi. Serikali ianfikia muafaka na wadau wa jinsi ya kuutekeleza.
Huyo mtu wako kumfananisha na Mzee Madiba ni sawa na kumtukana Madiba matusi ya nguoni!! Serikali inayoogopa kufanya maamuzi sahihi sababu ya kuogopa "aibu kwa serikali" haifai kutuongoza!! Subirini Mahakama itaamua, haraka za nini? Mahakama itaamua kama kasingiziwa or vipi, and uzuri ni kwamba kesi inafanyika mchana kweupee na ikishuhudiwa na kila mwenye uhitaji wa kuishuhudia
Huyo mtu wako kumfananisha na Mzee Madiba ni sawa na kumtukana Madiba matusi ya nguoni!! Serikali inayoogopa kufanya maamuzi sahihi sababu ya kuogopa "aibu kwa serikali" haifai kutuongoza!! Subirini Mahakama itaamua, haraka za nini? Mahakama itaamua kama kasingiziwa or vipi, and uzuri ni kwamba kesi inafanyika mchana kweupee na ikishuhudiwa na kila mwenye uhitaji wa kuishuhudia
Wewe unajua je ni wawili wala siyo 10m+?