bhachu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 8,443
- 9,854
Alipata A kwenye somo la KARMA na VOICES FROM WITHIN pale UDSM.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipata A kwenye somo la KARMA na VOICES FROM WITHIN pale UDSM.
Kama kawaida yenu mshaingia studio kutengeneza Jambo. Laana ya Sabaya itawatafuna Sana.Huyu bwege tunamuandalia dossier yake akiendelea kukichafua chama chetu tutaitoa hadharani tuona kama hakatafita kamba ya kujinyongea.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Huyo jamaa simuelewi kabisa.unakuja JF unajisifia eti ulipata A sheria hizo ni stress tu.Saba saba siku hizi haina ulaji kabisa.Kuna mwenzetu mmoja hapa Jukwaani hujifanya yeye hana upande na kwamba huchambua mambo kwa haki bila kuegemea upande wowote na kwamba alipata ufaulu wa kiwango cha A katika somo mojawqpo la kozi ya sheria pale UDSM.
Sasa subirini kumuona kama atathubutu kuhoji na kuchambua uamuzi wa Spika kuwaruhusu Mdee na wenzake kuendelea kuwepo Bungeni pasipo uamuzi au zuio lolote halali la Mahakama.
Tusubiri.
sio inasemekana ukikutana na Lisu muulize moto wake phd ya sheria sio imani ukiamini unapata ,tuheshimu elimu za watu,hakupewa alipambanaachana na huyo kuna Tulia inasemekana ni PhD holder. Lakini jitu la hovyo
Unauliza then unanijibu mwenyewe, Halima angeadhibiwa na Baraza kuu na rufaa ingesikilizwa na mkutano mkuu na si vinginevyo.
- Ni kweli Katiba ya CHADEMA inazuia mwanachama kwenda mahakamani, Katiba hiyo imesema kwamba ukienda mahakamani ukashindwa kesi automatically unapoteza uanachama, Ukishinda kesi hiyo uanachama hauupotezi umeelewa hapo?
- Kama Mamlaka ya kinidhamu ya Mhe.Halima Mdee ni baraza kuu, swali ni je Asiporidhika na uamuzi ataenda chombo gani kingine? Au unataka kusema ataenda Kamati kuu?
- Vyombo vya ngazi ya Juu vya kinidhamu vya CHADEMA ni Kamati kuu ambayo kisheria tunasema Ina original jurisdiction, halafu mkutano Mkuu una appellate jurisdiction yaani mamlaka ya rufaa.
- chombo chenye mamlaka ya kusikiliza kesi ni Kamati kuu Sio baraza kuu, hata Zitto alienda mahakamani kuzuia asijadiliwe na Kamati kuuUnauliza then unanijibu mwenyewe, Halima angeadhibiwa na Baraza kuu na rufaa ingesikilizwa na mkutano mkuu na si vinginevyo.
Aliwahi kuomba awe wakili wa Chadema ila walichomjibu kulingana na uwezo wake kilimuudhi sana, anadai walimdharau huku yeye alipata A darasani.Ninahisi ana personal issues na baadhi ya viongozi wa Chadema
Huyo mshamba kutwa kucha kazi yake kuipopoa Chadema sasa na yeye tutamuumbua mauchafu yake akilewa watu wanachomfanya. Kiboko yake huyo ni Mzee David Mataka tu.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Naomba nikusahihishe, Mayalla alidisco UDSM, na pia alipogombea ubunge jimbo la kawe kupitia chama chake CCM aliambulia kura moja, kwa kifupi wajumbe walipiga spana.Kuna mwenzetu mmoja hapa Jukwaani hujifanya yeye hana upande na kwamba huchambua mambo kwa haki bila kuegemea upande wowote na kwamba alipata ufaulu wa kiwango cha A katika somo mojawapo la kozi ya sheria pale UDSM.
Sasa subirini kumuona kama atathubutu kuhoji na kuchambua uamuzi wa Spika kuwaruhusu Mdee na wenzake kuendelea kuwepo Bungeni pasipo uamuzi au zuio lolote halali la Mahakama.
Tusubiri.
Unawajuwaje wanachama wa Chadema humu? Nadhani wewe ndio taahira kabisa.Wanachama wa CHadema wa humu Ni hopeless kabisa. JF Ni jukwaa huru. CHadema Ni Demokrasia na maendeleo. LINI MTAISHI HUO MOTTO WENU?
Matusi na kashfa. Hakuna madikteta kama wanachama wa chamatusi. Com. Katiba mnayotaka ya nini? Ya matusi? Why mko so stupid. Sio wote ila baadhi ya wanachama wa CHADEMA WA JF Ni zero BRAIN. Acheni matusi kwa watu wanaotoa hoja tofauti na matakwa yenu. Anzisheni Forum yenu Basi. CHADEMA FORUM where we dare to abuse.
Amepewa rushwa kubwa sn maana hana issue town tena amekuwa tapelitapeliHuyu bwege tunamuandalia dossier yake akiendelea kukichafua chama chetu tutaitoa hadharani tuona kama hakatafita kamba ya kujinyongea.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Angeficha ujinga wake na ularushwaExactly, sasa haya maamuzi ya kufukuzwa Covid yamemuumiza mno.
Kwan kuoata A ndoKuna mwenzetu mmoja hapa Jukwaani hujifanya yeye hana upande na kwamba huchambua mambo kwa haki bila kuegemea upande wowote na kwamba alipata ufaulu wa kiwango cha A katika somo mojawapo la kozi ya sheria pale UDSM.
Sasa subirini kumuona kama atathubutu kuhoji na kuchambua uamuzi wa Spika kuwaruhusu Mdee na wenzake kuendelea kuwepo Bungeni pasipo uamuzi au zuio lolote halali la Mahakama.
Tusubiri.
Izo A za michongo cho uwaga zinasumbua wenye A og watulivu awana maneno mengi ana hit kwenye point uyo ni chawa kama chawa wengine tuKuna mwenzetu mmoja hapa Jukwaani hujifanya yeye hana upande na kwamba huchambua mambo kwa haki bila kuegemea upande wowote na kwamba alipata ufaulu wa kiwango cha A katika somo mojawapo la kozi ya sheria pale UDSM.
Sasa subirini kumuona kama atathubutu kuhoji na kuchambua uamuzi wa Spika kuwaruhusu Mdee na wenzake kuendelea kuwepo Bungeni pasipo uamuzi au zuio lolote halali la Mahakama.
Tusubiri.
sio dhambi,mbona nyinyi mna jambo lenu na magufuli hata akiwa kaburini!!!Ninahisi ana personal issues na baadhi ya viongozi wa Chadema
Asante sana kwa kuweka kumbukumbu sawa.Naomba nikusahihishe, Mayalla alidisco UDSM, na pia alipogombea ubunge jimbo la kawe kupitia chama chake CCM aliambulia kura moja, kwa kifupi wajumbe walipiga spana.