Sakata la Mechi ya YangaSc vs Simba, Kigogo Mmoja abwaga Manyanga bodi ya ligi kuu

Sakata la Mechi ya YangaSc vs Simba, Kigogo Mmoja abwaga Manyanga bodi ya ligi kuu

Hata ningekua mimi ningejihudhuru. Wiki nzima ya maandalizi ushindwe kucheza mechi sababu ya kukosa saa moja ya kufanya mazoezi kwa mkapa, ni sababu ya kitoto sana
Shida sio Hiyo shida ni Dharau iliyo Fanyika pale.
Simba Wametumia Kila Aina kutatua hili lakini hapakuwa na usaidizi sasa Ulitegemea Nini kifanyike.
Hakuna Mnyonge kati ya Simba na Yanga
 
Shida sio Hiyo shida ni Dharau iliyo Fanyika pale.
Simba Wametumia Kila Aina kutatua hili lakini hapakuwa na usaidizi sasa Ulitegemea Nini kifanyike.
Hakuna Mnyonge kati ya Simba na Yanga
Wameogopa kupeleka timu uwanjani. Wameona wakati huu sio mzuri kwao kucheza na yanga. Maneno mengine ni visingizio tu.
 
Kusema ukweli hii sababu imewakera wadau wengi wa michezo. Na nina imani hata shabiki wa simba mwenye akili timamu, hawezi kukubaliana na huu upuuzi.

Maana kwa taarifa zilizopo ni kwamba Yanga kwenye mechi iliyopita, haikuruhusiwa kuingia siku ya mwisho kufanya mazoezi kwenye huo uwanja! Lakini haikuja na hili wazo la kitoto la kugomea mechi!


Ila kwa simba limekuwa ni wazo sahihi, na Bodi ya ligi imebariki, pasipo kuangalia hasara na usumbufu kwa mashabiki na wadau wengine waliowekeza raslimali zao za kila aina kuelekea kwenye huu mchezo. This is not fair at all.

Yaani ni kwamba simba ni wageni wa uwanja wa Mkapa, kiasi cha kulazimisha kufanya mazoezi siku ya mwisho kabla ya mchezo! Na kwa nini hawakutoa taarifa mapema kwa wasimamizi wa uwanja, ili maandalizi yafanyike? Au walikuwa wanatafuta tu kisingizio cha kugoma?
Wameenda kwa kushtukiza bila kutoa taarifa kwenye management ya uwanja, hata wangeruhusiwa kuingia hayo mazoezi wangefanya gizani? maana muda ambao uwanja hautumiki taa zinazimwa.
 
Back
Top Bottom