under timer
JF-Expert Member
- Dec 25, 2021
- 389
- 595
Yaani ni aibu plus upumbavuKituo Cha polisi kipo Gogoni mpaka Leo hamuwajui vijana hao wenyeji wa gogoni... Gogoni inaukubwa Gani jamani mbona haya mambo ya aibu??
hii ndo point sasa ili hata sisi tuone tofauti iliyopo.Spika tutumie picha ya Michael mwenyewe
Mbon ninyi pia ni walewale tuWameanza kukataana, na Bado!
Sura ngumuuu !!Sawa
Mh Spika na Rais wa IPU amekuwa muungwana kujibu kuwa si msaidizi wakeWakuu,
Baada ya tukio la jaribio la kumteka mfanyabiashara Deogratius Tarimo, maarufu kama Deo Bonge, lililotokea eneo la Kiluvya hivi karibuni, picha za watuhumiwa zilisambaa na kuibua mjadala mtandaoni. Mmoja wa watuhumiwa alidaiwa kuwa msaidizi wa Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, hali iliyosababisha taharuki.
Kutokana na madai hayo, Spika Tulia aliibuka kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter) na kutoa ufafanuzi akisema, "Huyo pichani si Michael msaidizi wangu, wamemfananisha. Naamini wote waliohusika watapatikana na kuchukuliwa hatua stahiki."
Sakata hili limezidi kuzua mijadala huku wengi wakitaka uchunguzi wa kina kufanyika ili kuhakikisha haki inatendeka na wahusika wanawajibishwa kwa mujibu wa sheria.
Haya wafukunyuzi wa mambo tuleteeni picha tuone kama sio yeye
Soma, Pia:
- Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia
- Baada ya kushindwa kumteka Deo Bonge mchana, watekaji walirudi kumtafuta tena usiku
- Aliyerekodi tukio jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) apewe maua yake
Tumemteka nani?Mbon ninyi pia ni walewale tu
Hakuna kazi ngumu kama kutunga taarifa kwa umma ya uongo, hapo wanachakata cha kujibuHivi pamoja na picha zote hizo bado Polisi haijawaona tu?
π€£Wameanza kukataana, na Bado!
Mzee wa tangaTumemteka nani?
Huyo ni msaidizi wake bi Kiroboto. Aache kujishebedua antoe mhalifu akashtakiwe.Wakuu,
Baada ya tukio la jaribio la kumteka mfanyabiashara Deogratius Tarimo, maarufu kama Deo Bonge, lililotokea eneo la Kiluvya hivi karibuni, picha za watuhumiwa zilisambaa na kuibua mjadala mtandaoni. Mmoja wa watuhumiwa alidaiwa kuwa msaidizi wa Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, hali iliyosababisha taharuki.
Kutokana na madai hayo, Spika Tulia aliibuka kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter) na kutoa ufafanuzi akisema, "Huyo pichani si Michael msaidizi wangu, wamemfananisha. Naamini wote waliohusika watapatikana na kuchukuliwa hatua stahiki."
Sakata hili limezidi kuzua mijadala huku wengi wakitaka uchunguzi wa kina kufanyika ili kuhakikisha haki inatendeka na wahusika wanawajibishwa kwa mujibu wa sheria.
Haya wafukunyuzi wa mambo tuleteeni picha tuone kama sio yeye
Soma, Pia:
- Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia
- Baada ya kushindwa kumteka Deo Bonge mchana, watekaji walirudi kumtafuta tena usiku
- Aliyerekodi tukio jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) apewe maua yake
Hayo mengine sisi hatuyajui. Tunachotaka ni walengwa wakamatwe wawajibishwe. Hii nchi ni ya wote kile kitendo ni cha kulaani leo kwake kesho inaweza kuwa kwako pia.Deo, mke wa mtu sumu
Weka ushahidiMzee wa tanga
Wote wako pamoja.Hivi pamoja na picha zote hizo bado Polisi haijawaona tu?
Kufunguka kunategemea na watakaochukua hatua kama una uhakika watafanya hivyo.vinginevyo unaweza ukafunguka alafu ukajikuta uko mwenyewe.vinginevyo labda uamue liwalo na liwe.Deo Bonge atakuwa alidhulumu mpunga wa watu ,mbona kwenye interview na Ayo amekuwa muoga kufunguka?
Bonge anajua alicho kifanya na ndiyo maana anakua mpole kwa maana haki haiko upande wake!!Deo Bonge atakuwa alidhulumu mpunga wa watu ,mbona kwenye interview na Ayo amekuwa muoga kufunguka?
Ndg yangu kuna biashara nyingi za sirini, siyo kila deni unaweza kulidai kisheria, madeni mengine mnadaiyana nje ya mfumo wa kisheria!!Wewe ni Sadist hata kama alidhulumu, kwako hiyo NDIYO njia sahihi ya kurecover kwa jamii iliyostaaribika inayojinasibu kufuata utawala wa Sheria? Kama Ndio hivyo kazi ni kubwa!
Afanye kama yule mfanyabiashara wa magari aliyesema wazi kwamba muliro anatumika ,aliitisha press conference akamwaga mboga.Kufunguka kunategemea na watakaochukua hatua kama una uhakika watafanya hivyo.vinginevyo unaweza ukafunguka alafu ukajikuta uko mwenyewe.vinginevyo labda uamue liwalo na liwe.
Njiti anafuga genge la watekaji huoni sura yake ilivyokomaa utafikiri anakula sementi.Kuna Wakati Picha ya Patrick Chokala akiwa Msemaji wa Ikulu ilifananishwa na ya mchungaji Mtikila ππ
Zikawekwa picha za Wawili hao tukajua ni kweli mchungaji Mtikila amefananishwa na Chokala π€£