Sakata la mfanyabiashara Deo Bonge kutekwa, Spika Tulia afunguka "Sio Msaidizi Wangu"

Mh Spika na Rais wa IPU amekuwa muungwana kujibu kuwa si msaidizi wake
 
Huyo ni msaidizi wake bi Kiroboto. Aache kujishebedua antoe mhalifu akashtakiwe.
 
Deo, mke wa mtu sumu
Hayo mengine sisi hatuyajui. Tunachotaka ni walengwa wakamatwe wawajibishwe. Hii nchi ni ya wote kile kitendo ni cha kulaani leo kwake kesho inaweza kuwa kwako pia.
 
Deo Bonge atakuwa alidhulumu mpunga wa watu ,mbona kwenye interview na Ayo amekuwa muoga kufunguka?
Kufunguka kunategemea na watakaochukua hatua kama una uhakika watafanya hivyo.vinginevyo unaweza ukafunguka alafu ukajikuta uko mwenyewe.vinginevyo labda uamue liwalo na liwe.
 
Majibu ya spika yako vizuri na yamenyooka.Ila sasa ndo ajue kua haya mambo yasipozibitiwa hakuna ambaye atakua salama.Mtu yoyote anaweza akaingia kwenye kadhia kwasababu ya ujinga wawatu wachache.
 
Kuna Wakati Picha ya Patrick Chokala akiwa Msemaji wa Ikulu ilifananishwa na ya mchungaji Mtikila πŸ˜‚πŸ˜‚

Zikawekwa picha za Wawili hao tukajua ni kweli mchungaji Mtikila amefananishwa na Chokala 🀣
 
Wewe ni Sadist hata kama alidhulumu, kwako hiyo NDIYO njia sahihi ya kurecover kwa jamii iliyostaaribika inayojinasibu kufuata utawala wa Sheria? Kama Ndio hivyo kazi ni kubwa!
Ndg yangu kuna biashara nyingi za sirini, siyo kila deni unaweza kulidai kisheria, madeni mengine mnadaiyana nje ya mfumo wa kisheria!!
 
Kufunguka kunategemea na watakaochukua hatua kama una uhakika watafanya hivyo.vinginevyo unaweza ukafunguka alafu ukajikuta uko mwenyewe.vinginevyo labda uamue liwalo na liwe.
Afanye kama yule mfanyabiashara wa magari aliyesema wazi kwamba muliro anatumika ,aliitisha press conference akamwaga mboga.
 
Kuna Wakati Picha ya Patrick Chokala akiwa Msemaji wa Ikulu ilifananishwa na ya mchungaji Mtikila πŸ˜‚πŸ˜‚

Zikawekwa picha za Wawili hao tukajua ni kweli mchungaji Mtikila amefananishwa na Chokala 🀣
Njiti anafuga genge la watekaji huoni sura yake ilivyokomaa utafikiri anakula sementi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…