Ndio! lilianza sakata la report ya CAG-mabilioni yamepigwa na uthibitisho wa ukaguzi ukawekwa wazi, bunge wawakilishiwetu wakanyamaza. Kama haitoshi wakamuita CAG kwenye wanayoiita mahakama yao kujibu hoja kwa nini ameibua madudu yao na anasema ukweli kuhusu udhaifu wao hadharani, CAG akanyamazishwa wote tunajua kilichomtokea baada ya hapo
Likaja Sakata la DP-world kupewa kama bure tu Bandari zetu sio tu za baharini pia na nchi kavu pamoja na baadhi ya mapori makubwa kwa miaka 100. Wawakilishi wetu wakakalishwa chini na kamati ya chama, wakalishwa Nta na asari, midomo, akili na bongo zao zikapakwa gundi, wakaacha kufikiri, wakaacha kuongea;wakaka kimya, hata walipopewa contract na wakaambiwa hii si contract wakasema sawa kabisa hii sio contract wakavaa ukipofu wa ghafla na kujitoa akili.
Kizuri kwenye DP world hapa wananchi na wanaharakati wakapaza sauti, ndipo kidogo miaka ya contract ikapunguzwa mpaka therathini na ushee ila vipengere vingine vikabaki palepale,dhuluma ikabaki na hilo likapita
Suala la Loliondo lilikuwa ni suala hatari sana hasa kwa wao kama wawakilishi wa wananchi, tulitegemea watapaza sauti at least kuwatetea wananchi waliowaweka hapo Bungeni, wananchi wakatimuliwa kama wavamizi kwa mitutu ya Bunduki na wanajeshi, kama vita vile, kwa mara nyingine tena wananchi wakanyimwa haki yao ya kuishi, kulindwa na kupewa huduma za kijamii na serikali yao,
Wengine wakahamishwa na kupelekwa mkoa wa Tanga, tunajua kilichowapata huko sema hakiandikwi tu basi, wengine mpaka leo wanaishi kama wakimbizi nchini kwao. Mbali ya wawakilishi wao kujua, wamekaa kimya, Hii ni mara nyingine ikionyesha jinis Bunge lilivyoshindwa kutimiza wajibu wake wa kutetea wananchi waliowachagua.
Sasa suala la Mpina ni kidhihirisho tosha cha tatizo la wawakilishi wetu kutoweka maslahi ya waliowachagua , kushindwa kutuwakilisha vyema.
Mbali ya Mh Mpina kutoa ushahidi na vielelezo sasa anatishwa, kaitwa kwenye kamati ili ashughulikiwe, na wametumwa watu kumchafua kwa kuibua kashfa za kubambikiza, wengine wamekwenda mbaili eti huyu ashughulikiwa kwa kushindwa kufuata mtindo uleule wa uzezeta, kwa kutaka kuwatetea wananchi badala ya chama, wanasema sasa kwa pamoja asurubiwe, asurubiwe badala ya Bawaba (Aliyedanganya)
Mambo haya yasingetokea kama tusingekuwa na Bunge la chama kimoja, yasingetokea kama tungekuwa na wabunge wengi wa vyama pinzani. Ukitaka Bunge lifanye kazi yake kwa umakini, liwawakilishe wananchi vizuri na kulinda na kueteta maslahi ya wananchi na taifa lazima liwe na wawakilishi wa chama kisichomadarakani walio wengi na walio makini.
Ni ngumu sana kumpinga anayekupa tonge na mwenye uwezo wa kuamua kesho kukunyanganya hilo tonge. Kinachotokea kilitegemewa na wanazuoni walikwisha tahadhalisha kwamba hili Bunge litakuwa Bunge la kwanza kufanya vitu vya ajabu na sasa tunashuhudia. Waswahili wanasema kufanya kosa sio kosa bali kurudia kosa ndilo kosa kubwa.Je sisi tunasemaje huku nje tutaendelea kufanya makosa ya waziwazi
Whites people have a saying "you are the victim of your own decisions; your own choices". Now we have seen and being infringed and bloody traumatized by the consequences of our own decisions, our own choices, the choices we made or they forced us to make. Do you still want to continue being the same victim ,victim of your own choice while you can become a hero from the other choice. Time to make correct decision is now. Do not say I did not worn you.
Likaja Sakata la DP-world kupewa kama bure tu Bandari zetu sio tu za baharini pia na nchi kavu pamoja na baadhi ya mapori makubwa kwa miaka 100. Wawakilishi wetu wakakalishwa chini na kamati ya chama, wakalishwa Nta na asari, midomo, akili na bongo zao zikapakwa gundi, wakaacha kufikiri, wakaacha kuongea;wakaka kimya, hata walipopewa contract na wakaambiwa hii si contract wakasema sawa kabisa hii sio contract wakavaa ukipofu wa ghafla na kujitoa akili.
Kizuri kwenye DP world hapa wananchi na wanaharakati wakapaza sauti, ndipo kidogo miaka ya contract ikapunguzwa mpaka therathini na ushee ila vipengere vingine vikabaki palepale,dhuluma ikabaki na hilo likapita
Suala la Loliondo lilikuwa ni suala hatari sana hasa kwa wao kama wawakilishi wa wananchi, tulitegemea watapaza sauti at least kuwatetea wananchi waliowaweka hapo Bungeni, wananchi wakatimuliwa kama wavamizi kwa mitutu ya Bunduki na wanajeshi, kama vita vile, kwa mara nyingine tena wananchi wakanyimwa haki yao ya kuishi, kulindwa na kupewa huduma za kijamii na serikali yao,
Wengine wakahamishwa na kupelekwa mkoa wa Tanga, tunajua kilichowapata huko sema hakiandikwi tu basi, wengine mpaka leo wanaishi kama wakimbizi nchini kwao. Mbali ya wawakilishi wao kujua, wamekaa kimya, Hii ni mara nyingine ikionyesha jinis Bunge lilivyoshindwa kutimiza wajibu wake wa kutetea wananchi waliowachagua.
Sasa suala la Mpina ni kidhihirisho tosha cha tatizo la wawakilishi wetu kutoweka maslahi ya waliowachagua , kushindwa kutuwakilisha vyema.
Mbali ya Mh Mpina kutoa ushahidi na vielelezo sasa anatishwa, kaitwa kwenye kamati ili ashughulikiwe, na wametumwa watu kumchafua kwa kuibua kashfa za kubambikiza, wengine wamekwenda mbaili eti huyu ashughulikiwa kwa kushindwa kufuata mtindo uleule wa uzezeta, kwa kutaka kuwatetea wananchi badala ya chama, wanasema sasa kwa pamoja asurubiwe, asurubiwe badala ya Bawaba (Aliyedanganya)
Mambo haya yasingetokea kama tusingekuwa na Bunge la chama kimoja, yasingetokea kama tungekuwa na wabunge wengi wa vyama pinzani. Ukitaka Bunge lifanye kazi yake kwa umakini, liwawakilishe wananchi vizuri na kulinda na kueteta maslahi ya wananchi na taifa lazima liwe na wawakilishi wa chama kisichomadarakani walio wengi na walio makini.
Ni ngumu sana kumpinga anayekupa tonge na mwenye uwezo wa kuamua kesho kukunyanganya hilo tonge. Kinachotokea kilitegemewa na wanazuoni walikwisha tahadhalisha kwamba hili Bunge litakuwa Bunge la kwanza kufanya vitu vya ajabu na sasa tunashuhudia. Waswahili wanasema kufanya kosa sio kosa bali kurudia kosa ndilo kosa kubwa.Je sisi tunasemaje huku nje tutaendelea kufanya makosa ya waziwazi
Whites people have a saying "you are the victim of your own decisions; your own choices". Now we have seen and being infringed and bloody traumatized by the consequences of our own decisions, our own choices, the choices we made or they forced us to make. Do you still want to continue being the same victim ,victim of your own choice while you can become a hero from the other choice. Time to make correct decision is now. Do not say I did not worn you.